< Deuteronomy 14 >

1 Ye are the children of the LORD your God: ye shall not cut yourselves, nor make any baldness between your eyes for the dead.
Ninyi ni watu wa Yahwe Mungu wenu. Msijikate wenyewe, wala kunyoa sehemu za nyuso zenu kwa ajili ya wafu.
2 For thou art an holy people unto the LORD thy God, and the LORD hath chosen thee to be a peculiar people unto himself, above all peoples that are upon the face of the earth.
Kwa kuwa mu taifa lilowekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wenu, na Yahwe amewachagua kuwa watu kwa ajili ya urithi wake, zaidi kuliko watu wote walio juu ya uso wa dunia.
3 Thou shalt not eat any abominable thing.
Hampaswi kula kitu chochote kilicho chukizo.
4 These are the beasts which ye shall eat: the ox, the sheep, and the goat,
Hawa ni wanyama ambao mnaweza kula: ng'ombe, kondoo, mbuzi,
5 the hart, and the gazelle, and the roebuck, and the wild goat, and the pygarg, and the antelope, and the chamois.
kulungu, paa, kulungu wa kiume, mbuzi wa mwituni, paa mweupe na pofu na kondoo wa mlimani
6 And every beast that parteth the hoof, and hath the hoof cloven in two, [and] cheweth the cud, among the beasts, that ye shall eat.
Mnaweza kula wanyama wowote ambao wamegawanyika kwato, ambaye ana kwato zilizogawanyika mara mbili, na utafuna macheuo.
7 Nevertheless these ye shall not eat of them that chew the cud, or of them that have the hoof cloven: the camel, and the hare, and the coney, because they chew the cud but part not the hoof, they are unclean unto you:
Hata hivyo, hampaswi kula baadhi ya wanyama ambao utafuna macheuo au ambao wana kwato zilizogawanyika mara mbili: ngamia, sungura, pomono, kwa sababu watafuna macheuo lakini hawajagawanyika kwato, ni najisi kwenu.
8 and the swine, because he parteth the hoof but cheweth not the cud, he is unclean unto you: of their flesh ye shall not eat, and their carcases ye shall not touch.
Nguruwe ni najisi kwenu pia kwa sababu amegawanyika kwato lakini hatafuni macheuo; ni najisi kwenu. Msile nyama ya nguruwe, na msiguse mizoga yao.
9 These ye shall eat of all that are in the waters: whatsoever hath fins and scales shall ye eat:
Haya yaliyo ndani ya maji mnaweza kula: chochote kilicho na mapesi na magamba;
10 and whatsoever hath not fins and scales ye shall not eat; it is unclean unto you.
lakini chochote kisichokuwa na mapesi na magamba msile; ni najisi kwenu.
11 Of all clean birds ye may eat.
Ndege wote safi mnaweza kula.
12 But these are they of which ye shall not eat: the eagle, and the gier eagle, and the ospray;
Lakini hawa ni ndege ambao hampaswi kula: tai, tumbusi, kipungu,
13 and the glede, and the falcon, and the kite after its kind;
mwewe mwekundu na mweusi, aina yoyote ya kipanga.
14 and every raven after its kind;
Hampaswi kula aina yoyote ya kunguru,
15 and the ostrich, and the night hawk, and the seamew, and the hawk after its kind;
na mbuzi na mwewe wa usiku, Lanes ndege wa baharini, aina yoyote ya mwewe,
16 the little owl, and the great owl, and the horned owl;
bundi mdogo, bundi mkubwa, na bundi mweupe,
17 and the pelican, and the vulture, and the cormorant;
Mwari, nyamafu ya tai, mnandio.
18 and the stork, and the heron after its kind, and the hoopoe, and the bat.
Hampaswi kula korongo, aina yoyote ya kongoti, hudihudi, na popo.
19 And all winged creeping things are unclean unto you: they shall not be eaten.
Wote wenye mabawa; vitu vya utando ni najisi kwenu; havipaswi kuliwa.
20 Of all clean fowls ye may eat.
Mnaweza kula vitu vyote virukavyo.
21 Ye shall not eat of any thing that dieth of itself: thou mayest give it unto the stranger that is within thy gates, that he may eat it; or thou mayest sell it unto a foreigner: for thou art an holy people unto the LORD thy God. Thou shalt not seethe a kid in its mother’s milk.
Hampaswi kula chochote kinachokufa chenyewe; mnaweza kumpa mgeni ambaye yuko katika mji wenu, kwamba anaweza kula au mnaweza kuuza kwa mgeni. Kwa kuwa mu taifa lilolowekwa wakfu kwa ajili ya Yahwe Mungu wenu. Hampaswi kumchemusha mbuzi kijana katika maziwa ya mama yake.
22 Thou shalt surely tithe all the increase of thy seed, that which cometh forth of the field year by year.
Hakika mnapaswa kutoa fungu la kumi la mavuno ya mbegu zenu zote, ambazo huja kutoka kwenye shamba kila mwaka.
23 And thou shalt eat before the LORD thy God, in the place which he shall choose to cause his name to dwell there, the tithe of thy corn, of thy wine, and of thine oil, and the firstlings of thy herd and of thy flock; that thou mayest learn to fear the LORD thy God always.
Mnapaswa kula mbele ya Yahwe Mungu wenu, katika eneo ambalo atachagua kama patakatifu pake, fungu la kumi la nafaka zenu, za mvinyo mpya, na mafuta yenu, na mzaliwa wa kwanza wa wanyama na mifugo, kwamba mnaweza kujifunza daima kumheshimu Yahwe Mungu wenu.
24 And if the way be too long for thee, so that thou art not able to carry it, because the place is too far from thee, which the LORD thy God shall choose to set his name there, when the LORD thy God shall bless thee:
Kama safari ni ndefu kwenu na kwamba hamwezi kuibeba, kwa sababu eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kama patakatifu pake ni mbali kwenu, basi, wakati Yahwe Mngu anawabariki,
25 then shalt thou turn it into money, and bind up the money in thine hand, and shalt go unto the place which the LORD thy God shall choose:
mtabadilisha sadaka katika pesa. Fungeni pesa kwenye mkono, na nendeni kwenye eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua.
26 and thou shalt bestow the money for whatsoever thy soul desireth, for oxen, or for sheep, or for wine, or for strong drink, or for whatsoever thy soul asketh of thee: and thou shalt eat there before the LORD thy God, and thou shalt rejoice, thou and thine household:
Huko mtatumia pesa kwa chochote mnatamani kwa ng'ombe au kondoo, au kwa mvinyo, au kwa kinywaji imara, au kwa chochote mnatamani; mtakula hapo mbele ya Yahwe Mungu wenu, na mtafurahi, nyie na nyumba zenu.
27 and the Levite that is within thy gates, thou shalt not forsake him; for he hath no portion nor inheritance with thee.
Mlawi ambaye yuko malangoni mwenu- msimsahau, kwa kuwa hana sehemu wala urithi pamoja nanyi.
28 At the end of every three years thou shalt bring forth all the tithe of thine increase in the same year, and shalt lay it up within thy gates:
Mwisho mwa kila miaka mitatu mtawasilisha mafungu yote ya kumi ya mazao kwa mwaka huo huo, na mtatunza katika malango yenu;
29 and the Levite, because he hath no portion nor inheritance with thee, and the stranger, and the fatherless, and the widow, which are within thy gates, shall come, and shall eat and be satisfied; that the LORD thy God may bless thee in all the work of thine hand which thou doest.
na Mlawi, kwa sababu hana sehemu wala urithi pamoja nanyi, na mgeni, na yatima, na wajane walio ndani ya malango yenu, watakuja na kula na kurithika. Fanya hivyo kwa Yahwe Mungu wenu aweze kuwabariki katika kazi zote za mikono yenuo mnazofanya.

< Deuteronomy 14 >