< Psalms 5 >

1 For the leader: A psalm of David, to be accompanied by the flute. Hear my words, Lord: give heed to my whisper.
Sikiliza nikuitapo, Yahweh; tazama kuugua kwangu.
2 Attend to my loud cry for help, my king and my God.
Sikiliza sauti yangu nikuitapo, Ee Mfalme wangu na Mungu wangu, kwa kuwa ni kwako Bwana naomba.
3 When I pray to you, Lord, in the morning, hear my voice. I make ready for you in the morning, and look for a sign.
Yahweh; sikia kilio changu asubuhi; na asubuhi nitaleta dua yangu kwako na kungoja kwa matarajio.
4 For you are no God who takes pleasure in wickedness: no one of evil can be your guest.
Hakika wewe ni Mungu usiye kubaliana na uovu; watu waovu hawawezi kuwa wageni wako.
5 No braggarts can stand in your presence, you hate all workers of wrong.
Wenye kiburi hawata simama katika uwepo wako; wewe unawachukia wote wanaofanya maovu.
6 You destroy all speakers of lies, people of blood and deceit you abhor.
Nawe utawaharibu waongo; Yahweh huwadharau vurugu na watu wadanganyifu.
7 But I, through your kindness abundant, may enter your house, and towards the shrine of your temple may reverently bow.
Lakini kwangu mimi, kwa sababu ya ukuu na uaminifu wa agano lako, nitakuja nyumbani mwako; na kwa heshima nitakuinamia mbele ya hekalu lako takatifu.
8 Lead me, Lord, in your righteousness because of my enemies. Make your way level before me.
Oh Bwana, uniongoze katika haki yako kwa sababu ya adui zangu; usawazishe njia yako mbele yangu.
9 For their mouth is a stranger to truth, their heart is a pit of destruction. Their throat is a wide open grave, their tongue the smooth tongue of the hypocrite.
Kwa kuwa midomoni mwao hamna ukweli; utu wao wa ndani ni mwovu; makoo yao ni kaburi lililo wazi; husifu kinafiki kwa ulimi wao.
10 Condemn them, God; let their schemes bring them down to the ground. For their numberless crimes thrust them down for playing the rebel against you.
Mungu, wafanye kuwa na hatia; mipango yao iwe kuanguka kwao! Kwa ajili ya makosa yao mengi uwatoe nje, kwa kuwa wamekuasi wewe.
11 But let all who take refuge in you ring out their gladness forever. Protect those who love your name, so they may exult in you.
Bali wale wanao kukimbilia wafurahi; uwafanye wapige kelele kwa shangwe siku zote kwa sababu unawapigania; uwafanye wenye furaha ndani yako, wale walipendao jina lako.
12 For you give your blessing, Lord, to the godly, and the shield of your favour protects them.
Kwa maana utawabariki wenye haki, Yahweh; utawazunguka kwa neema kama ngao.

< Psalms 5 >