< Psalms 46 >

1 For the leader. Of the Korahites, on alamoth. A song. God is our refuge and strength, a very present help in trouble.
Mungu kwetu ni kimbilio la usalama na nguvu, upatikanao tele wakati wa mateso.
2 So we have no fear, though earth should change, and the hills totter into the heart of the ocean.
Hivyo hatutaogopa, hata kama dunia italazimika kubadilika, hata kama milima italazimika kutetemeka na kuangukia kwenye mtima wa bahari, hata kama maji yatavuma kwa kishindo kikuu,
3 Let its waters roar and foam, let the mountains shake with the swelling thereof. On our side is the Lord of hosts, our sure defence is the God of Jacob. (Selah)
hata kama milima itatetemeka kwa vurugu ya maji. (Selah)
4 A river there is, whose streams make glad God’s city, the home the Most High has hallowed.
Kuna mto, mikondo yake huufanya mji wa Mungu kufurahi, mahali patakatifu pa hema ya Aliye Juu.
5 God is within her: she cannot be shaken. God helps her at the turn of the morning.
Mungu yuko katikati yake; naye hatasogezwa; Mungu atamsaidia, naye atafanya hivyo asubuhi na mapema.
6 Nations roared, kingdoms tottered: he uttered his voice, earth melted away.
Mataifa yalikasirika na falme zikataharuki; yeye alipaza sauti yake, na nchi ikayeyuka.
7 On our side is the Lord of hosts, our sure defence is the God of Jacob.
Yahwe wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. (Selah)
8 Come and see what the Lord has done, working appallingly in the earth.
Njoni, mtazame matendo ya Yahwe, uharibifu alioufanya juu ya nchi.
9 He stills wars to the ends of the earth – breaking the bow, snapping the spear, burning the chariots in the fire.
Anaisitisha vita kwenye nchi; yeye anauvunja upinde na kuikata vipande vipande mishale; anazichoma ngao.
10 ‘Refrain; and know surely that I am God, high over the nations, high over the world.’
Mkae kimya na mjue kuwa mimi ni Mungu; nitainuliwa juu ya nchi.
11 On our side is the Lord of Hosts, our sure defence is the God of Jacob. (Selah)
Mungu wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. Serah

< Psalms 46 >