< Psalms 150 +

1 Hallelujah. Praise God in his holy place. Praise him in the sky, his stronghold.
Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe katika patakatifu pake; msifuni katika mbingu za ukuu wake.
2 Praise him for his deeds of power. Praise him for his boundless greatness.
Msifuni yeye kwa matendo yake makuu; msifuni yeye kwa kadri ya wingi wa ukuu wake.
3 Praise him with blast of horn; praise him with harp and lyre.
Msifuni kwa mlipuko wa pembe; msifuni kwa kinanda na kinubi.
4 Praise him with timbrel and dance; praise him with strings and pipe.
Msifuni kwa ngoma na kucheza; msifuni kwa vyombo vya nyuzi na filimbi.
5 Praise him with resounding cymbals, praise him with clashing cymbals.
Msifuni kwa matoazi yavumayo; msifuni kwa matoazi avumayo sana.
6 Let all that has breath praise the Lord. Hallelujah.
Kila kilicho na pumzi kimsifu Yahwe. Msifuni Yahwe.

< Psalms 150 +