< Psalms 141 >

1 A psalm of David. Lord, I call to you: hasten, to me, attend to my voice, when I call to you.
Ee Yahwe, ninakulilia wewe; uje upesi kwangu. Unisikilize nikuitapo.
2 Let my prayer be presented as incense before you, and my uplifted hands as the evening meal-offering.
Maombi yangu na yawe kama uvumba mbele zako; mikono yangu iliyoinuliwa na iwe kama dhabihu ya jioni.
3 Set, O Lord, a watch on my mouth, put a guard on the door of my lips.
Ee Yahwe, uweke mlinzi kinywani mwangu; mngojezi malangoni pa midomo yangu.
4 Incline not my heart to an evil matter, to busy myself in deeds of wickedness, in company with workers of evil: never may I partake of their dainties.
Usiruhusu tamaa ya moyo wangu kutamani uovu wowote wala kushiriki katika matendo ya dhambi na watu waishio maovuni. Nisile vyakula vyao vya anasa.
5 A wound or reproof from a good person in kindness is oil which my head shall never refuse. In their misfortune my prayer is still with them.
Mwenye haki na anipige; nao utakuwa ni wema kwangu. Anirudi; itakuwa kama mafuta kichwani pangu; kichwa changu na kisikatae kupokea. Lakini maombi yangu siku zote yatakuwa dhidi ya matendo yao mauvu.
6 Abandoned they are to the hands of their judges: they shall learn that my words are true.
Viongozi wao watatupwa chini toka juu mlimani; watayasikia maneno yangu kuwa ni matamu.
7 Like stones on a country road cleft and broken so lie our bones scattered for Death to devour. (Sheol h7585)
Watalazimika kusema, “Kama vile jembe moja livunjapo ardhi, hivyo mifupa yetu imesambaratishwa kinywani pa kuzimu.” (Sheol h7585)
8 But my eyes are turned towards you, O Lord. Do not pour out my life, for in you I take refuge.
Hakika macho yangu yanakutazama wewe, Yahwe, Bwana; katika wewe napata kimbilio; usiiache nafsi yangu.
9 Keep me safe from the trap they have laid for me, from the snares of the workers of trouble.
Unilinde dhidi ya mitego waliyoiweka kwa ajili yangu, na matanzi yao watendao maovu.
10 Into their own nets let wicked people fall; while I pass by in safety.
Waovu na waangukie kwenye nyavu zao wenywe pindi mimi nitorokapo.

< Psalms 141 >