< Micah 2 >

1 Woe to those who lie awake planning evil, who in the light of morning carry out their plan because they have the power to do it.
Ole wao wale wanao wanaokusudia mabaya, kwa wale wanaokusudia kwenye vitanda vyao kufanya maovu. Katika asubuhi wanayafanya kwa sababu wana nguvu.
2 They covet fields and seize them, desire houses and take them, they crush householder and his household, people and their possessions.
Wanatamani mashamba na kuyapunguza; wanazitamani nyumba na kuzichukua. Wanadhulumu mtu na nyumba yake, mtu na urithi wake.
3 Therefore the Lord says: ‘I am planning disaster from which you cannot save your neck, nor walk proudly because it will be a terrible time.
Kwa hiyo Yahwe asema hivi, “Tazama, nakaribia kuleta janga dhidi ya huu ukoo, ambalo hamtazitoa shingo zenu. Hamtatembea kwa kiburi, kwa kuwa itakuwa wakati wa uovu.
4 On that day they will sing a taunt-song to you, this mocking lament: “My people’s estate is being measured for sale, our captors are dividing our fields. We are completely undone.”
Katika siku hiyo maadui zako wataimba wimbo kuhusu wewe, na kuomboleza kwa maombolezo ya huzuni. Wataimba, 'Sisi Waisraeli tumeangamizwa kabisa; Yahwe hubadilisha eneo la watu wangu. Je ataliondoaje kutoka kwangu? Huwagawia mshamba yetu kusaliti.”'
5 There will be no one to measure out land for you from the Lord’s community.
Kwa hiyo, ninyi watu matajiri hamtakuwa uzao kugawanya eneo kwa kupiga kura katika mkutano wa Yahwe.
6 ‘“Don’t rant!” they urge, “Of such things one does not prophesy! Shame will not overtake us!
“Msitabiri,” wanasema. “Hawatayatabiri haya mambo; lawama hazitakuja.”
7 Is the Lord impatient, or are such things his deeds? Are not his words favourable to the family of Jacob?” Aren’t my commands good for those who obey them?
Je litasemwa kweli, nyumba ya Yakobo, “je Roho ya Yahwe? Je haya ni matendo yake kweli?” Maneno yangu hayafai kwa kila mmoja atembeaye kwa unyoofu?
8 But you, you stand up as a foe against those who are peaceful; you strip the robe from those who pass by quietly, averse to conflict.
Hivi karibuni watu wangu wameinuka kama adui. Mmelivua joho, nguo, kutoka wale wapitao wasioshutumiwa, kama maaskari kurudi kutoka kwenye vita kwa kile wakifikiriacho ni salama.
9 Women of my people you drive out from their happy homes, from their young children you take away my glory forever.
Mnawaendesha wanawake wangu kwa watu wangu kutoka kwenye nyumba nzuri; mnachukua baraka kutoka kwa watoto wao wadogo daima.
10 Rise and begone, for this is no place to rest. Your uncleanness brings destruction, severe destruction.
Inukeni na muondoke, kwa kuwa hii sio sehemu ambayo mnaweza kuishi, kwa sababu ya unajisi wake; imeangamizwa kwa maangamizo kabisa.
11 If a person walking in wine and falsehood were to say, “I will prophesy to you of wine and strong drink,” then he would be the perfect prophet for this people!’
Kama mtu akija kwenu katika roho ya uongo na kudanganya na kusema, “Nitatabiri kwenu kuhusu mvinyo na kilevi kikali,” angeweza kufikiriwa kuwa nabii kwa ajili ya hawa watu.
12 ‘I will assuredly assemble all of Jacob, I will surely gather the survivors of Israel. I will herd them together as sheep in a fold, like a flock in the pasture, and the land will resound with the sounds of multitudes.
Nitawaleta pamoja wote hakika, Yakobo. Hakika nitawakusanya mabaki ya Israeli. Nitawaleta pamoja kama kondoo katika zizi, kama kundi la wanyama katika malisho. Kutakuwa na kelele kwasababu ya wingi wa watu.
13 ‘The one who breaks out goes first. They have broken forth and passed by the gate and through it have they gone out. Their king leads before them, the Lord at their head.’
Mtu avunjaye hufungua njia zao kwa ajili yao kwenda mbele yao. Wamebomoa kupitia lango na kutoka nje; mfalme wao atapita mbele yao. Yahwe atakuwa mbele yao.

< Micah 2 >