< Habakkuk 1 >

1 The oracle which Habakkuk the prophet saw.
Ujumbe ambao habakuki nabii alipokea,
2 LORD, how long will I cry, and you will not hear? I cry out to you "Violence." and will you not save?
Yahwe, kwa muda gani nitalilia msaada, na hutasikia? Nimekulilia wewe katika kitisho, 'vurugu' lakini hutaniokoa.
3 Why do you show me iniquity, and look at perversity? For destruction and violence are before me. There is strife, and contention rises up.
Kwanini unanifanya nione mabaya na kuangalia matendo mabaya. Uharibifu na vurugu uko mbele yangu; kuna mapambano, na ushindani unainuka.
4 Therefore the law is paralyzed, and justice never goes forth; for the wicked surround the righteous; therefore justice goes forth perverted.
Walakini sheria ni dhaifu, na haki haiishi kwa wakati wowote. Sababu uovu umezunguka haki; walakini haki ya uongo inatoweka. “Yahwe” anamjibu habakuki
5 "Look, you scoffers, and watch, and be utterly amazed, and perish; for I am working a work in your days which you will not believe, though it is told you.
“Angalia mataifa na uwajaribu; stajaabishwa na shangazwa! Sababu nina uhakika kuhusu kufanya kitu katika siku zako kwamba hutaamini itakapotaarifiwa kwenu.
6 For, look, I raise up the Chaldeans, that bitter and hasty nation, that march through the breadth of the earth, to possess dwelling places not his own.
Sababu angalia! nakaribia kuwainua Wakaldayo - taifa katili na lenye kishindo - wanatembea kupitia upana wa nchi kuteka nyumba zisizo za kwao.
7 He is feared and dreaded. His judgment will be from himself, and his authority will come from himself.
Wanahofu na kuogopa; hukumu yao na uzuri kutoka kwao unaendelea.
8 His horses also are swifter than leopards, and are more fierce than the evening wolves. And their horsemen press proudly on, and, their horsemen come from afar. They fly as an eagle that hurries to devour.
Farasi wao pia wanambio sana kuliko chui, wepesi sana kuliko mbwa mwitu wa jioni. Farasi wao huwaseta, na wapanda farasi wao wanakuja kutoka mbali - wanapaa kama tai anayewahi kula.
9 All of them come for violence. Their hordes face the desert. He gathers prisoners like sand.
Wote wanakuja kwa vurugu; makundi yao yanakwenda kama upepo wa jangwani, na wanakusanya mateka kama mchanga.
10 And he will scoff at kings and deride rulers. He laughs at every stronghold, for he builds up an earthen ramp, and takes it.
Wanawadhihaki wafalme, na viongozi ni dhihaka kwaajili yao. Huicheka kila ngome, maana hurundika mavumbi na kuyaondoa.
11 Then he sweeps by like the wind, and goes on. He is indeed guilty, whose strength is his god."
Ndipo upepo utapita; itaendelea kupita - watu wenye hatia, ambao uwezo wao ni katika mungu.” Habakuki anamuuliza Yahwe swali lingine
12 Aren't you from everlasting, LORD my God, my Holy One? We will not die. LORD, you have appointed him for judgment. You, Rock, have established him to punish.
“Wewe si wa tangu nyakati za zamani, Yahwe Mungu wangu, uliye Mtakatifu? Sisi hatutakufa. Yahwe aliwatenga kwaajili ya hukumu, na ninyi, Mwamba, mmeimarisha kwaajili ya kusahihisha.
13 You who have purer eyes than to see evil, and who cannot look on perversity, why do you tolerate those who deal treacherously, and keep silent when the wicked swallows up the man who is more righteous than he,
Macho yenu ni safi kuangaza juu ya uovu, lakini hamuwezi kuangalia matendo mabaya kwa fadhila; kwa nini mnaangalia kwa upendeleo hivyo juu ambao wanasaliti? Kwanini kunyamaza wakati uovu unameza sana wenye haki zaidi yao?
14 and make men like the fish of the sea, like the crawling creatures, that have no ruler over them?
unawafanya watu kama samaki baharini, kama vitu vitambaavyo bila kiongozi juu yao.
15 He takes up all of them with the hook, and he catches them in his net and gathers them in his dragnet. Therefore he rejoices and is glad.
Wao wanawaleta wote kwa ndoano; wanawakokota watu kutoka kwenye nyavu za samaki na kuwakusanya kwenye wavu wao. Hii ndiyo sababu wanafurahi na kupiga kelele kwa uchangamfu sana.
16 Therefore he sacrifices to his net, and burns incense to his dragnet, because by them his life is luxurious, and his food is good.
Walakini wanatoa sadaka kwenye nyavu zao za kuvulia na kuchoma ubani kwenye nyavu zao, sababu wanyama wanene ni sehemu yao, na nyama iliyonona ni chakula chao.
17 Will he therefore continually empty his net, killing the nations without mercy?
Kwa sababu hiyo watamaliza nyavu zao za kuvulia na kuendelea kuchicha mataifa, bila kuhisi huruma”?

< Habakkuk 1 >