< Hebrews 13 >

1 Let brotherly love continue.
Basi upendo wa ndugu na uendelee.
2 Do not forget to show hospitality to strangers, for in doing so, some have entertained angels without knowing it.
Msisahau kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivi, baadhi wamewakaribisha malaika pasipo kujua.
3 Remember those who are in bonds, as bound with them; and those who are ill-treated, since you are also in the body.
Kumbuka wote waliomo gerezani, kana kwamba mulikuwa nao kule pamoja nao, na kama miili yenu ilitendewa kama wao.
4 Let marriage be held in honor among all, and let the bed be undefiled: for God will judge the sexually immoral and adulterers.
Basi ndoa na iheshimiwe na wote na basi kitanda cha ndoa kifanywe kuwa safi, kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.
5 Be free from the love of money, content with such things as you have, for he has said, "I will never leave you or forsake you."
Basi njia zenu za maisha ziwe huru katika upendo wa pesa. Muwe wanoridhika na vitu mulivyonavyo, kwani Mungu mwenyewe alisema, “Sitawaacha ninyi kamwe, wala kuwatelekeza ninyi.”
6 So we can confidently say, "The Lord is my helper; I will not fear. What can humans do to me?"
Basi tulidhikeni ili tusema kwa ujasiri, “Bawa ni msaidizi wangu; Sitaogopa. Mwanadamu aweza kunifanya nini?”
7 Remember your leaders, who spoke to you the word of God, and considering the results of their conduct, imitate their faith.
Wafikirieni wale walio waongoza, wale waliongea neno la Mungu kwenu, na kumbukeni matokeo ya mienendo yao; igeni imani zao.
8 Jesus (the) Messiah is the same yesterday, today, and forever. (aiōn g165)
Yesu Kristo ni yeye jana, leo, na ata milele. (aiōn g165)
9 Do not be carried away by all kinds of strange teachings, for it is good that the heart be established by grace, not by food, through which those who were so occupied were not benefited.
Usije ukaongozwa na mafundisho mbalimbali ya kigeni kwani ni vizuri kwamba moyo ujengwe kwa neema, na siyo kwa sheria kuhusu chakula hayo hayatawasaidia wale wanaoishi kwa hayo.
10 We have an altar from which those who serve the holy tabernacle have no right to eat.
Tunayo madhabau ambayo wale wanaotumika ndani ya hekalu hawana haki ya kula.
11 For the bodies of those animals, whose blood is brought into the holy place by the high priest as an offering for sin, are burned outside of the camp.
Kwa kuwa damu za wanyama, zilizotolewa dhabihu kwa ajili ya dhambi, ililetwa na kuhani mkuu ndani ya sehemu takatifu, lakini miili yao ilichomwa nje ya kambi.
12 Therefore Jesus also, that he might sanctify the people through his own blood, suffered outside of the gate.
Kwa hiyo Yesu naye aliteseka nje ya lango la mji, hili kwamba kuweka wakfu watu kwa Mungu kupitia damu yake.
13 Let us therefore go out to him outside of the camp, bearing the abuse he bore.
Na kwa hiyo twendeni kwake nje ya kambi, tukizibeba fadheha zake.
14 For we do not have here an enduring city, but we seek that which is to come.
Kwani hatuna makao ya kudumu katika mji huu. Badala yake tutafute mji ambao unakuja.
15 Through him, then, let us offer up a sacrifice of praise to God continually, that is, the fruit of lips that confess his name.
Kupitia Yesu mnapaswa mara kwa mara kujitoa sadaka ya kumtukuza Mungu, kumsifu kwamba tunda la midomo yetu likili jina lake.
16 But do not forget to be doing good and sharing, for with such sacrifices God is well pleased.
Na usisahau kufanya mazuri na kusadiana ninyi kwa ninyi, kwa kuwa ni kwa sadaka kama hiyo ndiyo Mungu hupendezwa sana.
17 Obey your leaders and submit to them, for they watch on behalf of your souls, as those who will give account, that they may do this with joy, and not with groaning, for that would be unprofitable for you.
Tiini na kujishusha kwa viongozi wenu, kwani wanaendelea kuwalinda kwa ajili ya nafsi zenu, kama wale watakaotoa hesabu. Tiini ili kwamba viongozi wenu waweze kuwatunza kwa furaha, na sio kwa huzuni, ambayo haitawasaidia.
18 Pray for us, for we are persuaded that we have a good conscience, desiring to live honorably in all things.
Tuombeni, kwani tuna uhakikwa kwamba tuna dhamira njema, tunatamani kuishi maisha ya heshima katika mambo yote.
19 I strongly urge you to do this, that I may be restored to you sooner.
Na nyote ninawatia moyo zaidi mfanye hivi, ili kwamba niweze kurudi kwenu hivi karibuni.
20 Now may the God of peace, who brought again from the dead the great Shepherd of the sheep with the blood of an everlasting covenant, our Lord Jesus, (aiōnios g166)
Sasa Mungu wa amani, ambaye aliwaleta tena kutoka kwa wafu mchungaji mkuu wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano la milele, (aiōnios g166)
21 make you complete in every good thing to do his will, working in us that which is well pleasing in his sight, through Jesus (the) Messiah, to whom be the glory forever. Amen. (aiōn g165)
Atawapa uwezo kwa kila jambo zuri kufanya mapenzi yake, akifanya kazi ndani yetu iliyo njema ya kupendeza machoni pake, kupitia Yesu Kristo, kwake uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
22 But I exhort you, brothers, endure the word of exhortation, for I have written to you in few words.
Sasa ninakutia moyo, ndugu, kuchukualiana na neno la kutia moyo ambalo kwa ufupi nililiandika kwenu.
23 Know that our brother Timothy has been freed, with whom, if he comes shortly, I will see you.
Fahamu kwamba ndugu yetu Timotheo ameshaachiwa huru, ambaye pamoja naye nitawaona kama atakuja hivi karibuni.
24 Greet all of your leaders and all the saints. Those from Italy send you greetings.
Salimia viongozi wako wote na waumini wote. Wale wanaotoka Italia wanakusalimia.
25 Grace be with you all.
Na neema iwe nanyi nyote.

< Hebrews 13 >