< Psalms 63 >

1 A Psalm of David, when he was in the wilderness of Idumea. O God, my God, I cry to you early; my soul has thirsted for you: how often has my flesh [longed] after you, in a barren and trackless and dry land!
Mungu, wewe ni Mungu wangu! Ninakutafuta wewe kwa bidii, moyo wangu unakiu yako, mwili wangu unakutamani sana wewe, katika ukame na nchi iliyochoka mahali ambapo hakuna maji.
2 Thus have I appeared before you in the sanctuary, that I might see your power and your glory.
Hivyo nimekutafuta wewe katika watu watakatifu kuona nguvu zako na utukufu wako.
3 For your mercy is better than life: my lips shall praise you.
Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakusifu wewe.
4 Thus will I bless you during my life: I will lift up my hands in your name.
Hivyo nitakutukuza wewe niwapo hai; kwa jina lako nitainua mikono yangu juu.
5 Let my soul be filled as with marrow and fatness; and [my] joyful lips shall praise your name.
Itakuwa kana kwamba nilikula mlo wa mafuta na wenye kunona, kwa midomo ya furaha kinywa changu kitakusifu wewe,
6 Forasmuch as I have remembered you on my bed: in the early seasons I have meditated on you.
nikufikiripo kitandani mwangu na kukutafakari wewe wakati wa saa za usiku.
7 For you have been my helper, and in the shelter of your wings will I rejoice.
Kwa maana umekuwa msaada wangu, na katika uvuli wa mbawa zako ninafurahia.
8 My soul has kept very close behind you: your right hand has upheld me.
Ninashikamana nawe; mkono wako wa kuume unanisaidia.
9 But they vainly sought after my soul; they shall go into the lowest parts o the earth.
Lakini wale watafutao kuuharibu uhai wangu wataenda chini kwenye sehemu ya chini kabisa ya nchi;
10 They shall be delivered up to the power of the sword; they shall be portions for foxes.
watakabidhiwa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
11 But the king shall rejoice in God; every one that swears by him shall be praised; for the mouth of them that speak unjust things has been stopped.
Bali mfalme atashangilia katika Mungu; yeyote anaye apa kupitia yeye atajivunia yeye, lakini vinywa ya wale wasemao uongo watanyamazishwa.

< Psalms 63 >