< Job 20 >

1 Then Sophar the Minaean answered and said,
Ndipo Sofari, Mnaamathi alijibu na kusema,
2 I did not suppose that you would answer thus: neither do you understand more than I.
“Mawazo yangu yananifanya mimi nijibu kwa haraka kwa sababu ya mashaka yaliyomo ndani yangu mimi.
3 I will hear my shameful reproach; and the spirit of my understanding answers me.
Mimi ninasikia kukemewa ambako kunaniondolea heshima mimi, lakini roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.
4 Hast you [not] known these things of old, from the time that man was set upon the earth?
Je, unafahamu kwamba ukweli huu kutoka enzi za kale, wakati Mungu alipomweka mwanadamu juu ya nchi:
5 But the mirth of the ungodly is a signal downfall, and the joy of transgressors is destruction:
ushindi wa mtu mwovu ni mfupi, na furaha ya mtu asiyemcha Mungu hudumu kwa kitambo tu?
6 although his gifts should go up to heaven, and his sacrifice reach the clouds.
Ingawa urefu wake yeye hufikia juu kwenye mbingu, na kichwa chake yeye kufikia kwenye mawingu,
7 For when he shall seem to be now established, then he shall utterly perish: and they that knew him shall say, Where is he?
bado mtu huyo atapotea siku zote kama mavi yake yeye mwenyewe; wale waliokuwa wamemuona yeye watasema, 'Yuko wapi yeye'?
8 Like a dream that has fled away, he shall not be found; and he has fled like a vision of the night.
Yeye atapaa mbali kama ndoto na hataonekana; ndivyo ilivyo, yeye atakuwa amefukuzwa mbali kama ono la
9 The eye has looked upon him, but shall not [see him] again; and his place shall no longer perceive him.
usiku. Jicho ambalo lilimuona yeye halitamuona yeye tena; mahali pake hapatamuona yeye tena.
10 Let [his] inferiors destroy his children, and let his hands kindle the fire of sorrow.
Watoto wake wataomba msamaha kwa watu maskini, mikono yake itaweza kurudisha utajiri wake.
11 His bones have been filled with [vigour of] his youth, and it shall lie down with him in the dust.
Mifupa yake imejaa nguvu za ujanani, lakini zitalala naye chini katika mavumbi.
12 Though evil be sweet in his mouth, [though] he will hide it under his tongue;
Japokuwa uovu ni mtamu katika mdomo wake yeye, japokuwa yeye anauficha chini ya ulimi wake yeye,
13 though he will not spare it, and will not leave it, but will keep it in the midst of his throat:
japokuwa anaushikilia pale na hauruhusu kwenda lakini bado huushikilia katika mdomo wake yeye -
14 yet he shall not at all be able to help himself; the gall of an asp is in his belly.
chakula katika koromeo lake yeye hugeuka kuwa uchungu; hugeuka kuwa sumu ya majoka ndani yake yeye.
15 [His] wealth unjustly collected shall be vomited up; a messenger [of wrath] shall drag him out of his house.
Yeye humeza chini utajiri, lakini yeye atautapika tena; Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake yeye.
16 And let him suck the poison of serpents, and let the serpent's tongue kill him.
Yeye atamumunya sumu ya majoka; ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.
17 Let him not see the milk of the pastures, nor the supplies of honey and butter.
Yeye hatafurahia vijito vya maji, wingi wa asali na siagi.
18 He has laboured unprofitably and in vain, [for] wealth of which he shall not taste: [it is] as a lean thing, unfit for food, which he can’t swallow.
Yeye atayarudisha matunda ya kazi yake na hataweza kuyala; yeye hatafurahia utajiri alioupata kwa biashara zake yeye.
19 For he has broken down the houses of many mighty men: and he has plundered an habitation, though he built [it] not.
Kwa kuwa yeye amewakandamiza na kuwasahau watu maskini; yeye kwa uonevu, amezichukua mbali nyumba ambazo hakuzijenga yeye.
20 There is no security to his possessions; he shall not be saved by his desire.
Kwa sababu yeye mwenyewe hakujua utoshelevu wowote, yeye hataweza kuokoa kitu chochote katika kile ambacho alijifurahisha.
21 There is nothing remaining of his provisions; therefore his goods shall not flourish.
Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza; kwa hiyo mafanikio yake yeye hayatakuwa ya kudumu.
22 But when he shall seem to be just satisfied, he shall be straitened; and all distress shall come upon him.
katika wingi wa utajiri wake yeye ataanguka katika mahangaiko; mkono wa kila mmoja ambaye yuko katika umaskini utakuja kinyume chake yeye.
23 If by any means he would fill his belly, let [God] send upon him the fury of wrath; let him bring a torrent of pains upon him.
Wakati akiwa katika kulijaza tumbo lake, Mungu atatupa hasira ya ghadhabu yake juu yake yeye; Mungu ataunyeshea chini juu yake yeye wakati yeye anakula.
24 And he shall by no means escape from the power of the sword; let the brazen bow wound him.
Ingawa mtu huyo atakimbia kutoka katika silaha ya chuma, upinde wa shaba utampiga yeye.
25 And let the arrow pierce through his body; and let the stars be against his dwelling-place: let terrors come upon him.
Mshale utatoboa kupitia mgongoni mwake na utatokezea; ni dhahiri, ncha inayong'ra itatokezea nje kupitia ini lake yeye; watesi huja tena juu yake.
26 And let all darkness wait for him: a fire that burns not out shall consume him; and let a stranger plague his house.
Giza lliilo kamilika limetunzwa kwa akiba zake; moto usiopulizwa utamla yeye kwa haraka; utameza kile kilichoachwa katika hema yake.
27 And let the heaven reveal his iniquities, and the earth rise up against him.
Mbingu zitauweka wazi uovu wake, na nchi itainuka juu dhidi yake yeye kama shahidi.
28 Let destruction bring his house to an end; let a day of wrath come upon him.
Utajiri wa nyumba yake utatoweka; bidhaa zake zitamwagika mbali siku ya ghadhabu ya Mungu.
29 This is the portion of an ungodly man from the Lord, and the possession of his goods [appointed him] by the all-seeing [God].
Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kutoka kwa Mungu, urithi uliotunzwa akiba na Mungu kwa ajili yake yeye.”

< Job 20 >