< Chronicles I 8 >

1 Now Benjamin begot Bale his firstborn, and Asbel his second [son], Aara the third, Noa the fourth,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 and Rapha the fifth.
Noha, na Rafa.
3 And the sons of Bale were, Adir, and Gera, and Abiud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 and Abessue, and Noama, and Achia,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 and Gera, and Sephupham, and Uram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 These [were] the sons of Aod: these are the heads of families to them that dwell in Gabee, and they removed them to Machanathi:
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 and Nooma, and Achia and Gera, he removed them, and he begot Aza, and Jachicho.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 And Saarin begot [children] in the plain of Moab, after that he had sent away Osin and Baada his wives.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 And he begot of his wife Ada, Jolab, and Sebia, and Misa, and Melchas,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 and Jebus, and Zabia, and Marma: these [were] heads of families.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 And of Osin he begot Abitol, and Alphaal.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 And the sons of Alphaal; Obed, Misaal, Semmer: he built Ona, and Lod, and its towns:
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 and Beria, and Sama; these [were] heads of families among the dwellers in Elam, and they drove out the inhabitants of Geth.
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 And his brethren [were] Sosec, and Arimoth,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 and Zabadia, and Ored, and Eder,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 and Michael, and Jespha, and Joda, the sons of Beria:
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 and Zabadia, and Mosollam, and Azaki, and Abar,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 and Isamari, and Jexlias, and Jobab, the sons of Elphaal:
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 and Jakim, and Zachri, and Zabdi,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 and Elionai, and Salathi,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 and Elieli, and Adaia, and Baraia, and Samarath, sons of Samaith:
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 and Jesphan, and Obed, and Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 and Abdon, and Zechri, and Anan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 and Anania, and Ambri, and Aelam, [and] Anathoth,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 and Jathin, and Jephadias, and Phanuel, the sons of Sosec:
Ifdeia, na Penueli.
26 and Samsari, and Saarias, and Gotholia,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 and Jarasia, and Eria, and Zechri, son of Iroam.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 These [were] heads of families, chiefs according to their generations: these lived in Jerusalem.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 And the father of Gabaon lived in Gabaon; and his wife's name was Moacha.
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 And her firstborn son was Abdon, and Sur, and Kis, and Baal, and Nadab, and Ner,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 and Gedur and his brother, and Zacchur, and Makeloth.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 And Makeloth begot Samaa: for these lived in Jerusalem in the presence of their brethren with their brethren.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 And Ner begot Kis, and Kis begot Saul, and Saul begot Jonathan, and Melchisue, and Aminadab, and Asabal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 And the son of Jonathan [was] Meribaal; and Meribaal begot Micha.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 And the sons of Micha; Phithon, and Melach, and Tharach, and Achaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 And Achaz begot Jada, and Jada begot Salaemath, and Asmoth, and Zambri; and Zambri begot Maesa;
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 and Maesa begot Baana: Rhaphaea [was] his son, Elasa his son, Esel his son.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 And Esel [had] six sons, and these [were] their name; Ezricam his firstborn, and Ismael, and Saraia, and Abdia, and Anan, and Asa: all these [were] the sons of Esel.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 And the sons of Asel his brother; Aelam his firstborn, and Jas the second, and Eliphalet the third.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 And the sons of Aelam were mighty men, bending the bow, and multiplying sons and grandsons, a hundred [and] fifty. All these [were] of the sons of Benjamin.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< Chronicles I 8 >