< Joshua 12 >

1 Now these are the kings of the land, which the children of Israel stroke, and possessed their land on the other side Jordan toward the rising of the sun, from the river Arnon unto mount Hermon, and all the plain on the east:
Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
2 Sihon king of the Amorites, who dwelt in Heshbon, and ruled from Aroer, which is upon the bank of the river Arnon, and from the middle of the river, and from half Gilead, even unto the river Jabbok, which is the border of the children of Ammon;
Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
3 And from the plain to the sea of Chinneroth on the east, and unto the sea of the plain, even the salt sea on the east, the way to Bethjeshimoth; and from the south, under Ashdothpisgah:
Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
4 And the coast of Og king of Bashan, which was of the remnant of the giants, that dwelt at Ashtaroth and at Edrei,
Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
5 And reigned in mount Hermon, and in Salcah, and in all Bashan, unto the border of the Geshurites and the Maachathites, and half Gilead, the border of Sihon king of Heshbon.
Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
6 Them did Moses the servant of the LORD and the children of Israel strike: and Moses the servant of the LORD gave it for a possession unto the Reubenites, and the Gadites, and the half tribe of Manasseh.
Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
7 And these are the kings of the country which Joshua and the children of Israel stroke on this side Jordan on the west, from Baalgad in the valley of Lebanon even unto the mount Halak, that goes up to Seir; which Joshua gave unto the tribes of Israel for a possession according to their divisions;
Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
8 In the mountains, and in the valleys, and in the plains, and in the springs, and in the wilderness, and in the south country; the Hittites, the Amorites, and the Canaanites, the Perizzites, the Hivites, and the Jebusites:
Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
9 The king of Jericho, one; the king of Ai, which is beside Bethel, one;
Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
10 The king of Jerusalem, one; the king of Hebron, one;
mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
11 The king of Jarmuth, one; the king of Lachish, one;
mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
12 The king of Eglon, one; the king of Gezer, one;
mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
13 The king of Debir, one; the king of Geder, one;
mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
14 The king of Hormah, one; the king of Arad, one;
mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
15 The king of Libnah, one; the king of Adullam, one;
mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
16 The king of Makkedah, one; the king of Bethel, one;
mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
17 The king of Tappuah, one; the king of Hepher, one;
mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
18 The king of Aphek, one; the king of Lasharon, one;
mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
19 The king of Madon, one; the king of Hazor, one;
mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
20 The king of Shimronmeron, one; the king of Achshaph, one;
mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
21 The king of Taanach, one; the king of Megiddo, one;
mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
22 The king of Kedesh, one; the king of Jokneam of Carmel, one;
mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
23 The king of Dor in the coast of Dor, one; the king of the nations of Gilgal, one;
mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
24 The king of Tirzah, one: all the kings thirty and one.
mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.

< Joshua 12 >