< Ezra 2 >

1 Now these are the children of the province that went up out of the captivity, of those which had been carried away, whom Nebuchadnezzar the king of Babylon had carried away unto Babylon, and came again unto Jerusalem and Judah, every one unto his city;
Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
2 Which came with Zerubbabel: Jeshua, Nehemiah, Seraiah, Reelaiah, Mordecai, Bilshan, Mizpar, Bigvai, Rehum, Baanah. The number of the men of the people of Israel:
Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
3 The children of Parosh, two thousand an hundred seventy and two.
Waporoshi: 2, 172
4 The children of Shephatiah, three hundred seventy and two.
Wana wa Shefatia: 372
5 The children of Arah, seven hundred seventy and five.
Wana wa Ara: 775.
6 The children of Pahathmoab, of the children of Jeshua and Joab, two thousand eight hundred and twelve.
Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
7 The children of Elam, a thousand two hundred fifty and four.
Wana wa Eliamu: 1, 254.
8 The children of Zattu, nine hundred forty and five.
Wana wa Zatu: 945.
9 The children of Zaccai, seven hundred and threescore.
Wana wa Zakai: 760.
10 The children of Bani, six hundred forty and two.
Wana wa Binui: 642.
11 The children of Bebai, six hundred twenty and three.
Wana wa Bebai: 623.
12 The children of Azgad, a thousand two hundred twenty and two.
Wana wa Azgadi: 1, 222.
13 The children of Adonikam, six hundred sixty and six.
Wana wa Adonikamu: 666.
14 The children of Bigvai, two thousand fifty and six.
Wana wa Bigwai: 2, 056.
15 The children of Adin, four hundred fifty and four.
Wana wa Adini: 454.
16 The children of Ater of Hezekiah, ninety and eight.
Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
17 The children of Bezai, three hundred twenty and three.
Wana wa Besai: 323.
18 The children of Jorah, an hundred and twelve.
Wana wa Harifu: 112.
19 The children of Hashum, two hundred twenty and three.
Wanaume wa Hashimu: 223.
20 The children of Gibbar, ninety and five.
Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
21 The children of Bethlehem, an hundred twenty and three.
Wanaume wa Bethlehemu: 123.
22 The men of Netophah, fifty and six.
Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
23 The men of Anathoth, an hundred twenty and eight.
Wanaume wa Anathothi: 128.
24 The children of Azmaveth, forty and two.
Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
25 The children of Kirjatharim, Chephirah, and Beeroth, seven hundred and forty and three.
Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
26 The children of Ramah and Gaba, six hundred twenty and one.
Wanaume wa Rama na Geba: 621.
27 The men of Michmas, an hundred twenty and two.
Wanaume wa Mikmashi: 122.
28 The men of Bethel and Ai, two hundred twenty and three.
Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
29 The children of Nebo, fifty and two.
Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
30 The children of Magbish, an hundred fifty and six.
Wanaume wa Magbishi: 156.
31 The children of the other Elam, a thousand two hundred fifty and four.
Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
32 The children of Harim, three hundred and twenty.
nne. Wanaume wa Harimu: 320.
33 The children of Lod, Hadid, and Ono, seven hundred twenty and five.
Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
34 The children of Jericho, three hundred forty and five.
Wanaume wa Yeriko: 345.
35 The children of Senaah, three thousand and six hundred and thirty.
Wanaume wa Senaa: 3, 630.
36 The priests: the children of Jedaiah, of the house of Jeshua, nine hundred seventy and three.
Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
37 The children of Immer, a thousand fifty and two.
Wana wa Imeri: 1, 052.
38 The children of Pashur, a thousand two hundred forty and seven.
Wana wa Pashuri: 1, 247.
39 The children of Harim, a thousand and seventeen.
Wana wa Harimu: 1, 017.
40 The Levites: the children of Jeshua and Kadmiel, of the children of Hodaviah, seventy and four.
Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
41 The singers: the children of Asaph, an hundred twenty and eight.
nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
42 The children of the porters: the children of Shallum, the children of Ater, the children of Talmon, the children of Akkub, the children of Hatita, the children of Shobai, in all an hundred thirty and nine.
Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
43 The Nethinims: the children of Ziha, the children of Hasupha, the children of Tabbaoth,
Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
44 The children of Keros, the children of Siaha, the children of Padon,
Keros, Siaha, Padoni.
45 The children of Lebanah, the children of Hagabah, the children of Akkub,
Lebana, Hagaba, Akubu,
46 The children of Hagab, the children of Shalmai, the children of Hanan,
Hagabu, Salmai, Hanani
47 The children of Giddel, the children of Gahar, the children of Reaiah,
Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 The children of Rezin, the children of Nekoda, the children of Gazzam,
Resini, Nekoda, Gazamu,
49 The children of Uzza, the children of Paseah, the children of Besai,
Uza, Pasea, Besai,
50 The children of Asnah, the children of Mehunim, the children of Nephusim,
Asna, Meunimu, Nefusimu:
51 The children of Bakbuk, the children of Hakupha, the children of Harhur,
Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
52 The children of Bazluth, the children of Mehida, the children of Harsha,
Basluthi, Mehida, Barsha:
53 The children of Barkos, the children of Sisera, the children of Thamah,
Barkosi, Sisera, Tema:
54 The children of Neziah, the children of Hatipha.
Nesia, Tefa
55 The children of Solomon's servants: the children of Sotai, the children of Sophereth, the children of Peruda,
Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
56 The children of Jaalah, the children of Darkon, the children of Giddel,
Yaala, Darkoni, Gideli,
57 The children of Shephatiah, the children of Hattil, the children of Pochereth of Zebaim, the children of Ami.
Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
58 All the Nethinims, and the children of Solomon's servants, were three hundred ninety and two.
Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
59 And these were they which went up from Telmelah, Telharsa, Cherub, Addan, and Immer: but they could not show their father's house, and their seed, whether they were of Israel:
Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
60 The children of Delaiah, the children of Tobiah, the children of Nekoda, six hundred fifty and two.
pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
61 And of the children of the priests: the children of Habaiah, the children of Koz, the children of Barzillai; which took a wife of the daughters of Barzillai the Gileadite, and was called after their name:
Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
62 These sought their register among those that were reckoned by genealogy, but they were not found: therefore were they, as polluted, put from the priesthood.
Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
63 And the Tirshatha said unto them, that they should not eat of the most holy things, till there stood up a priest with Urim and with Thummim.
Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
64 The whole congregation together was forty and two thousand three hundred and threescore,
Jumla ya kundi 42, 360,
65 Beside their servants and their maids, of whom there were seven thousand three hundred thirty and seven: and there were among them two hundred singing men and singing women.
ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
66 Their horses were seven hundred thirty and six; their mules, two hundred forty and five;
Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
67 Their camels, four hundred thirty and five; their asses, six thousand seven hundred and twenty.
Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
68 And some of the chief of the fathers, when they came to the house of the LORD which is at Jerusalem, offered freely for the house of God to set it up in his place:
Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
69 They gave after their ability unto the treasure of the work threescore and one thousand drams of gold, and five thousand pound of silver, and one hundred priests' garments.
Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
70 So the priests, and the Levites, and some of the people, and the singers, and the porters, and the Nethinims, dwelt in their cities, and all Israel in their cities.
Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.

< Ezra 2 >