< Esther 10 >

1 And the king Ahasuerus laid a tribute upon the land, and upon the isles of the sea.
Kisha Mfalme Ahusiero akaweka kodi juu ya nchi na maeneo ya bahari.
2 And all the acts of his power and of his might, and the declaration of the greatness of Mordecai, unto which the king advanced him, are they not written in the book of the chronicles of the kings of Media and Persia?
Mafanikio yote na nguvu na ukuu wake, pamoja na wa Modekai ambao mfalme alimwinua, yameandikwa katika Kitabu cha Kumbukumbu ya wafalme wa Wamedi na Waajemi.
3 For Mordecai the Jew was next unto king Ahasuerus, and great among the Jews, and accepted of the multitude of his brethren, seeking the wealth of his people, and speaking peace to all his seed.
Modekai Muyahudi alikuwa wa pili kutoka kwa Mfalme Ahusiero. Alikuwa mkuu na maarufu miongoni mwa ndugu zake Wayahudi, kwa sababu alitetea mahitaji ya watu wake na haki za watu na akatetea amani kwa watu wote.

< Esther 10 >