< 1 Chronicles 8 >

1 Now Benjamin brings forth Bela his firstborn, Ashbel the second, and Aharah the third,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Nohah the fourth, and Rapha the fifth.
Noha, na Rafa.
3 And the sons of Bela were, Addar, and Gera, and Abihud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 And Abishua, and Naaman, and Ahoah,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 And Gera, and Shephuphan, and Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 And these are the sons of Ehud: these are the heads of the fathers of the inhabitants of Geba, and they removed them to Manahath:
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 And Naaman, and Ahiah, and Gera, he removed them, and brings forth Uzza, and Ahihud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 And Shaharaim brings forth children in the country of Moab, after he had sent them away; Hushim and Baara were his wives.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 And he brings forth of Hodesh his wife, Jobab, and Zibia, and Mesha, and Malcham,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 And Jeuz, and Shachia, and Mirma. These were his sons, heads of the fathers.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 And of Hushim he brings forth Abitub, and Elpaal.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 The sons of Elpaal; Eber, and Misham, and Shamed, who built Ono, and Lod, with the towns thereof:
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 Beriah also, and Shema, who were heads of the fathers of the inhabitants of Aijalon, who drove away the inhabitants of Gath:
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 And Ahio, Shashak, and Jeremoth,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 And Zebadiah, and Arad, and Ader,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 And Michael, and Ispah, and Joha, the sons of Beriah;
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 And Zebadiah, and Meshullam, and Hezeki, and Heber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Ishmerai also, and Jezliah, and Jobab, the sons of Elpaal;
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 And Jakim, and Zichri, and Zabdi,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 And Elienai, and Zilthai, and Eliel,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 And Adaiah, and Beraiah, and Shimrath, the sons of Shimhi;
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 And Ishpan, and Heber, and Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 And Abdon, and Zichri, and Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 And Hananiah, and Elam, and Antothijah,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 And Iphedeiah, and Penuel, the sons of Shashak;
Ifdeia, na Penueli.
26 And Shamsherai, and Shehariah, and Athaliah,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 And Jaresiah, and Eliah, and Zichri, the sons of Jeroham.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 These were heads of the fathers, by their generations, chief men. These dwelt in Jerusalem.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 And at Gibeon dwelt the father of Gibeon; whose wife's name was Maachah:
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 And his firstborn son Abdon, and Zur, and Kish, and Baal, and Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 And Gedor, and Ahio, and Zacher.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 And Mikloth brings forth Shimeah. And these also dwelt with their brethren in Jerusalem, opposite to them.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 And Ner brings forth Kish, and Kish brings forth Saul, and Saul brings forth Jonathan, and Malchishua, and Abinadab, and Eshbaal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 And the son of Jonathan was Meribbaal; and Meribbaal brings forth Micah.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 And the sons of Micah were, Pithon, and Melech, and Tarea, and Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 And Ahaz brings forth Jehoadah; and Jehoadah brings forth Alemeth, and Azmaveth, and Zimri; and Zimri brings forth Moza,
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 And Moza brings forth Binea: Rapha was his son, Eleasah his son, Azel his son:
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 And Azel had six sons, whose names are these, Azrikam, Bocheru, and Ishmael, and Sheariah, and Obadiah, and Hanan. All these were the sons of Azel.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 And the sons of Eshek his brother were, Ulam his firstborn, Jehush the second, and Eliphelet the third.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 And the sons of Ulam were mighty men of valour, archers, and had many sons, and sons' sons, an hundred and fifty. All these are of the sons of Benjamin.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Chronicles 8 >