< 1 Chronicles 6 >

1 The sons of Levi; Gershon, Kohath, and Merari.
Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
2 And the sons of Kohath; Amram, Izhar, and Hebron, and Uzziel.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
3 And the children of Amram; Aaron, and Moses, and Miriam. The sons also of Aaron; Nadab, and Abihu, Eleazar, and Ithamar.
Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
4 Eleazar brings forth Phinehas, Phinehas brings forth Abishua,
Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
5 And Abishua brings forth Bukki, and Bukki brings forth Uzzi,
Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
6 And Uzzi brings forth Zerahiah, and Zerahiah brings forth Meraioth,
Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
7 Meraioth brings forth Amariah, and Amariah brings forth Ahitub,
Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
8 And Ahitub brings forth Zadok, and Zadok brings forth Ahimaaz,
Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
9 And Ahimaaz brings forth Azariah, and Azariah brings forth Johanan,
Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
10 And Johanan brings forth Azariah, (he it is that executed the priest's office in the temple that Solomon built in Jerusalem: )
Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
11 And Azariah brings forth Amariah, and Amariah brings forth Ahitub,
Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
12 And Ahitub brings forth Zadok, and Zadok brings forth Shallum,
Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
13 And Shallum brings forth Hilkiah, and Hilkiah brings forth Azariah,
Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
14 And Azariah brings forth Seraiah, and Seraiah brings forth Jehozadak,
Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
15 And Jehozadak went into captivity, when the LORD carried away Judah and Jerusalem by the hand of Nebuchadnezzar.
Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
16 The sons of Levi; Gershom, Kohath, and Merari.
Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
17 And these be the names of the sons of Gershom; Libni, and Shimei.
Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
18 And the sons of Kohath were, Amram, and Izhar, and Hebron, and Uzziel.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
19 The sons of Merari; Mahli, and Mushi. And these are the families of the Levites according to their fathers.
Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
20 Of Gershom; Libni his son, Jahath his son, Zimmah his son,
Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
21 Joah his son, Iddo his son, Zerah his son, Jeaterai his son.
Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
22 The sons of Kohath; Amminadab his son, Korah his son, Assir his son,
Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
23 Elkanah his son, and Ebiasaph his son, and Assir his son,
Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
24 Tahath his son, Uriel his son, Uzziah his son, and Shaul his son.
Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
25 And the sons of Elkanah; Amasai, and Ahimoth.
Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
26 As for Elkanah: the sons of Elkanah; Zophai his son, and Nahath his son,
Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
27 Eliab his son, Jeroham his son, Elkanah his son.
Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
28 And the sons of Samuel; the firstborn Vashni, and Abiah.
Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
29 The sons of Merari; Mahli, Libni his son, Shimei his son, Uzza his son,
Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
30 Shimea his son, Haggiah his son, Asaiah his son.
Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
31 And these are they whom David set over the service of song in the house of the LORD, after that the ark had rest.
Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
32 And they ministered before the dwelling place of the tabernacle of the congregation with singing, until Solomon had built the house of the LORD in Jerusalem: and then they waited on their office according to their order.
Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
33 And these are they that waited with their children. Of the sons of the Kohathites: Heman a singer, the son of Joel, the son of Shemuel,
Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
34 The son of Elkanah, the son of Jeroham, the son of Eliel, the son of Toah,
Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
35 The son of Zuph, the son of Elkanah, the son of Mahath, the son of Amasai,
Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
36 The son of Elkanah, the son of Joel, the son of Azariah, the son of Zephaniah,
Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
37 The son of Tahath, the son of Assir, the son of Ebiasaph, the son of Korah,
Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
38 The son of Izhar, the son of Kohath, the son of Levi, the son of Israel.
Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
39 And his brother Asaph, who stood on his right hand, even Asaph the son of Berachiah, the son of Shimea,
Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
40 The son of Michael, the son of Baaseiah, the son of Malchiah,
Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
41 The son of Ethni, the son of Zerah, the son of Adaiah,
Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
42 The son of Ethan, the son of Zimmah, the son of Shimei,
Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
43 The son of Jahath, the son of Gershom, the son of Levi.
Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
44 And their brethren the sons of Merari stood on the left hand: Ethan the son of Kishi, the son of Abdi, the son of Malluch,
Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
45 The son of Hashabiah, the son of Amaziah, the son of Hilkiah,
Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
46 The son of Amzi, the son of Bani, the son of Shamer,
Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
47 The son of Mahli, the son of Mushi, the son of Merari, the son of Levi.
Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
48 Their brethren also the Levites were appointed unto all manner of service of the tabernacle of the house of God.
Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
49 But Aaron and his sons offered upon the altar of the burnt offering, and on the altar of incense, and were appointed for all the work of the place most holy, and to make an atonement for Israel, according to all that Moses the servant of God had commanded.
Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
50 And these are the sons of Aaron; Eleazar his son, Phinehas his son, Abishua his son,
Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
51 Bukki his son, Uzzi his son, Zerahiah his son,
Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
52 Meraioth his son, Amariah his son, Ahitub his son,
Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
53 Zadok his son, Ahimaaz his son.
Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
54 Now these are their dwelling places throughout their castles in their coasts, of the sons of Aaron, of the families of the Kohathites: for theirs was the lot.
Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
55 And they gave them Hebron in the land of Judah, and the suburbs thereof round about it.
Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
56 But the fields of the city, and the villages thereof, they gave to Caleb the son of Jephunneh.
lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
57 And to the sons of Aaron they gave the cities of Judah, namely, Hebron, the city of refuge, and Libnah with her suburbs, and Jattir, and Eshtemoa, with their suburbs,
Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
58 And Hilen with her suburbs, Debir with her suburbs,
Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
59 And Ashan with her suburbs, and Bethshemesh with her suburbs:
Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
60 And out of the tribe of Benjamin; Geba with her suburbs, and Alemeth with her suburbs, and Anathoth with her suburbs. All their cities throughout their families were thirteen cities.
na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
61 And unto the sons of Kohath, which were left of the family of that tribe, were cities given out of the half tribe, namely, out of the half tribe of Manasseh, by lot, ten cities.
Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
62 And to the sons of Gershom throughout their families out of the tribe of Issachar, and out of the tribe of Asher, and out of the tribe of Naphtali, and out of the tribe of Manasseh in Bashan, thirteen cities.
Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
63 Unto the sons of Merari were given by lot, throughout their families, out of the tribe of Reuben, and out of the tribe of Gad, and out of the tribe of Zebulun, twelve cities.
Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
64 And the children of Israel gave to the Levites these cities with their suburbs.
Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
65 And they gave by lot out of the tribe of the children of Judah, and out of the tribe of the children of Simeon, and out of the tribe of the children of Benjamin, these cities, which are called by their names.
Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
66 And the residue of the families of the sons of Kohath had cities of their coasts out of the tribe of Ephraim.
Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
67 And they gave unto them, of the cities of refuge, Shechem in mount Ephraim with her suburbs; they gave also Gezer with her suburbs,
Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
68 And Jokmeam with her suburbs, and Bethhoron with her suburbs,
Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
69 And Aijalon with her suburbs, and Gathrimmon with her suburbs:
Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
70 And out of the half tribe of Manasseh; Aner with her suburbs, and Bileam with her suburbs, for the family of the remnant of the sons of Kohath.
Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
71 Unto the sons of Gershom were given out of the family of the half tribe of Manasseh, Golan in Bashan with her suburbs, and Ashtaroth with her suburbs:
Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
72 And out of the tribe of Issachar; Kedesh with her suburbs, Daberath with her suburbs,
Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
73 And Ramoth with her suburbs, and Anem with her suburbs:
Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
74 And out of the tribe of Asher; Mashal with her suburbs, and Abdon with her suburbs,
Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
75 And Hukok with her suburbs, and Rehob with her suburbs:
Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
76 And out of the tribe of Naphtali; Kedesh in Galilee with her suburbs, and Hammon with her suburbs, and Kirjathaim with her suburbs.
Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
77 Unto the rest of the children of Merari were given out of the tribe of Zebulun, Rimmon with her suburbs, Tabor with her suburbs:
Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
78 And on the other side Jordan by Jericho, on the east side of Jordan, were given them out of the tribe of Reuben, Bezer in the wilderness with her suburbs, and Jahzah with her suburbs,
Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
79 Kedemoth also with her suburbs, and Mephaath with her suburbs:
Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
80 And out of the tribe of Gad; Ramoth in Gilead with her suburbs, and Mahanaim with her suburbs,
Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
81 And Heshbon with her suburbs, and Jazer with her suburbs.
Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.

< 1 Chronicles 6 >