< Micah 1 >

1 The word of the Lord, that came vnto Micah the Morashite in the dayes of Iotham, Ahaz, and Hezekiah Kings of Iudah, which he sawe concerning Samaria, and Ierusalem.
Hili ni neno la Yahwe ambalo lilikuja kwa Mika Mmorashti katika siku za Yotahamu, Ahazi, na Hezekeia, mfalme wa Yuda, lile neno aliloliona kuhusiana na Samaria na Yerusalemu.
2 Heare, al ye people: hearke thou, O earth, and all that therein is, and let the Lord God be witnes against you, euen ye Lord from his holy Teple.
Sikilizeni, ninyi watu wote. Sikilizeni, dunia, na vyote vilivyomo kwenye dunia. Acheni Yahwe ashuhudiwe dhidi yenu, Bwana kutoka kwenye hekalu lake takatifu.
3 For beholde, the Lord commeth out of his place, and will come downe, and tread vpon the hie places of the earth.
Tazama, Yahwe anakuja kutoka mahali pake; atashuka chini na kupakanyaga mahali pa juu katika dunia.
4 And the mountaines shall melt vnder him (so shall the valleys cleaue) as waxe before the fire, and as the waters that are powred downewarde.
Milima itayeyuka chini yake; mabonde yatapasuka vipande vipande kama mshumaa mbele ya moto, kama maji ambayo yamemwagika chini ya mteremko mkali.
5 For the wickednes of Iaakob is all this, and for the sinnes of the house of Israel: what is the wickednes of Iaakob? Is not Samaria? and which are the hie places of Iudah? Is not Ierusalem?
Haya yote ni kwasababu ya uasi wa Yakobo, na kwasababu ya dhambi za nyumba ya Israeli. Je sababu ilikuwa nini kwa uasi wa Yakobo? Je ilikuwa Samaria? Je sababu ilikuwa nini kwa mahali pa juu pa Yuda? Je haiukuwa Yerusalemu?
6 Therefore I wil make Samaria as an heape of the fielde, and for the planting of a vineyard, and I will cause the stones thereof to tumble downe into the valley, and I will discouer the foundations thereof.
“Nitaifanya Samaria rundo la uharibifu katika shamba, kama eneo la kupandia mizabibu. Nitayavuta mawe ya jengo lake kwenda kwenye bonde; Nitaifunua misingi yake.
7 And all the grauen images thereof shalbe broken, and all the giftes thereof shalbe burnt with the fire, and all the idoles thereof will I destroy: for she gathered it of the hire of an harlot, and they shall returne to the wages of an harlot.
Sanamu zake zote za kuchonga zitapondwa vipande vipande; na zawadi zake zote zitachomwa moto. Kwa kuwa zawadi zake za ukahaba amezikusanya, na kama malipo ya ukahaba yatarudi.”
8 Therefore I will mourne and howle: I wil goe without clothes, and naked: I will make lamentation like the dragons, and mourning as the ostriches.
Kwa sababu hii nitalia na kuomboleza; nitaenda peku peku na uchi; Nitaomboleza kama mbeha na kuomboleza kama bundi.
9 For her plagues are grieuous: for it is come into Iudah: the enemie is come vnto the gate of my people, vnto Ierusalem.
Kwa kuwa jeraha lake haliponi, kwa kuwa imefika kwa Yuda. Imefikia lango la watu wangu, hadi Yerusalemu.
10 Declare ye it not at Gath, neither weepe ye: for the house of Aphrah roule thy selfe in the dust.
Msiache kuwambia kuhusu katika Gathi; msilie tena. Katika Bethi Leafra nabiringisha mwenyewe kwenye mavumbi.
11 Thou that dwellest at Shaphir, go together naked with shame: she that dwelleth at Zaanan, shall not come forth in ye mourning of Beth-ezel: the enemie shall receiue of you for his standing.
Piteni karibu na, makao ya Shafiri, katika uchi na aibu. Makazi ya Zaanani hayatatoka nje. Maombolezo ya Beth Ezeli, kwa ajili ya ulinzi yamechukuliwa.
12 For the inhabitant of Maroth wayted for good, but euill came from the Lord vnto the gate of Ierusalem.
Kwa kuwa wakaaji wa Marothi hungoja habari njema, kwa sababu hofu, kwa sababu msiba umetoka kwa Yahwe hadi kwenye malango ya Yerusalemu.
13 O thou inhabitant of Lachish, binde the charet to the beastes of price: she is the beginning of the sinne to the daughter of Zion: for the transgressions of Israel were found in thee.
Wfuungeni lijamu farasi wakokote gari la farasi, makazi ya Lakishi. Wewe Lakishi, ulikuwa mwanzo wa dhambi kwa binti Sayuni, kwa kuwa makosa ya Israeli yalionekana kwako.
14 Therefore shalt thou giue presents to Moresheth Gath: the houses of Achzib shalbe as a lye to the Kings of Israel.
Hivyo utaipa zawadi ya kuagia Moreshethi Gathi; mji wa Akzibu utawavunja moyo wafalme wa Israeli.
15 Yet will I bring an heire vnto thee, O inhabitant of Mareshah, he shall come vnto Adullam, the glorie of Israel.
Tena nitaleta ushindi kwako, makazi ya Maresha; uzuri wa Israeli utakuja Adulamu.
16 Make thee balde: and shaue thee for thy delicate children: enlarge thy baldenesse as the eagle, for they are gone into captiuity from thee.
Kata kipara chako na kata nywele zako kwa ajili ya watoto ambao unaowafurahisha. Fanya kipara chako mwenyewe kama tai, kwa ajili ya watoto wako watakao kwenda utumwani kutoka kwako

< Micah 1 >