< Isaiah 7 >

1 And in the dayes of Ahaz, the sonne of Iotham, the sonne of Vzziah king of Iudah, Rezin the King of Aram came vp, and Pekah the sonne of Remaliah King of Israel, to Ierusalem to fight against it, but he could not ouercome it.
Siku zile wakati Ahazi mtoto wa Yothani mtoto wa Uzia, mfalme wa Yuda, Rezeni mfalme wa Amramu, na Peka mtoto wa Remaelia, mfalme wa Israeli, walienda Yerusalemu kupigana vita nao, lakini hawakuweza kushinda vita.
2 And it was tolde the house of Dauid, saying, Aram is ioyned with Ephraim: therefore his heart was moued, and the heart of his people, as the trees of the forest are moued by the winde.
Ilitaarifiwa kwa nyumba ya Daudi kwamba Amramu amejiunga na Efraimu. Moyo wake na moyo watu wake ukatetemeka, kama vile miti ya misitu inavyopepea kwa upepo.
3 Then sayde the Lord vnto Isaiah, Goe foorth nowe to meete Ahaz (thou and Sheariashub thy sonne) at the ende of the conduit of the vpper poole, in the path of the fullers fielde,
Ndipo Yahwe akamwambia Isaya, ''Nenda nje na kijana wako, Sheari Jashubu ukaonane na Ahazi mwisho wa mfereji wa birika la juu, katika njia kuu ya uwanja Dobi.
4 And say vnto him, Take heede, and be still: feare not, neither be faint hearted for the two tailes of these smoking firebrands, for the furious wrath of Rezin and of Aram, and of Remaliahs sonne:
Mwambie, 'awe makini, awe mtulivu, asiogope au vitisho kwa sababu ya mikia hii miwili ya vingi hivi vitokavyo moshi, kwa sababu ya hasira kubwa ya Resini na Amramu, na mtoto wa Remalia.
5 Because Aram hath taken wicked counsell against thee, and Ephraim, and Remaliahs sonne, saying,
Amramu, Ephraimu, na mtoto wa Remaeli wamepanga mabaya juu yako; wamesema, '' njooni tuwavamie Yuda na kuwaogopesha,
6 Let vs goe vp against Iudah, and let vs waken them vp, and make a breach therein for vs, and set a King in the mids thereof, euen the sonne of Tabeal.
njooni tujipange na tumueweke mfalme wetu ndani ya Yuda, mtoto wa Tabaeli.''
7 Thus sayth the Lord God, It shall not stand, neither shall it be.
Bwana Yahwe asema, ''haitatokea; haitaonekana,
8 For the head of Aram is Damascus, and the head of Damascus is Rezin: and within fiue and threescore yeere, Ephraim shalbe destroyed from being a people.
maana kichwa cha Amramu ni Damaskasi, na kishwa cha Damaskasi ni Rezini. Ndani ya miaka sitini na tano, ndoto za Ephraimu zitasambaratishwa na hapatakuwa na watu.
9 And the head of Ephraim is Samaria, and the head of Samaria is Remaliahs sonne. If ye beleeue not, surely ye shall not be established.
Efraimu ni kichwa Samaria, na kishwa cha Samaria ni mtoto wa Remaria. Na kama hamtasimama imara katika imani yenu, hakika hamtakuwa salama''.
10 And the Lord spake againe vnto Ahaz, saying,
Bwana akaongea tena na Ahazi,
11 Aske a signe for thee of the Lord thy God: aske it, either in the depth beneath or in the height aboue. (Sheol h7585)
''Omba ishara ya Yahwe Mungu wako; omba juu ya hilo kwa kina au kwa kiwango cha juu.'' (Sheol h7585)
12 But Ahaz sayd, I wil not aske, neither will I tempt the Lord.
Lakini Ahazi anasema, sintomba wala kumjaribu Yahwe.''
13 Then he sayd, Heare you nowe, O house of Dauid, Is it a small thing for you to grieue men, that ye will also grieue my God?
Hivyo Isaya akajibu, ''sikilizen, nyumba ya Daudi. Je haijatosha kwa watu kuujaribu uvumilivu wa watu? Je ni lazima kuujaribu uvumilivu wa Mungu?
14 Therefore the Lord himselfe will giue you a signe. Beholde, the virgine shall conceiue and beare a sonne, and she shall call his name Immanu-el.
Hivyo basi Mungu mwenyewe atawapa yeye mwenywe ishara: ona, mwanamke bikira atapata mimba na kumzaa mtoto, na atamwita Emanueli.
15 Butter and hony shall he eate, till he haue knowledge to refuse the euill, and to chuse the good.
Atakula siagi na asali na wakati anapojua kuyakataa maovu na kuchagua mema.
16 For afore the childe shall haue knowledge to eschew the euill, and to chuse the good, the land, that thou abhorrest, shalbe forsaken of both her Kings.
Maana kabla mtoto ajajua kuyakataa maovu na kuchagua mema, nchi ambayo wewe unawachukia wafalme itakuwa ukiwa.
17 The Lord shall bring vpon thee, and vpon thy people, and vpon thy fathers house (the dayes that haue not come from the day that Ephraim departed from Iudah) euen the King of Asshur.
Yahwe ataleta juu yako, juu ya watu wako, na juu ya nyumba ya baba yako siku hazijatimmia tangu Efraimu alipompokea Yuda- atamleta mfalme wa Asiria.''
18 And in that day shall the Lord hisse for the flie that is at the vttermost part of the floods of Egypt, and for the bee which is in the lande of Asshur,
Mda huo Yahwe atapuliza filimbikwa ajili ya kupaa kutoka mkondo wa umbali wa Misri, na maana nyuki kutoka nchi ya Asiria.
19 And they shall come and shall light all in the desolate valleys, and in the holes of the rockes, and vpon all thorny places, and vpon all bushy places.
Zitakuja na kukaa chini ya korongo, ndani ya mapango ya miamba, kwenye vichaka vya miba, na kwenye malisho.
20 In that day shall the Lord shaue with a rasor that is hired, euen by them beyond the Riuer, by the King of Asshur, the head and the heare of the feete, and it shall consume the beard.
Katika mda huo Bwana atamnyoa kichwani kichwani na nywele za miguuni kwa wembe ulioazimwa mto Efrarate— mfalme wa Asiria - na vilevile utasafisha ndevu zote.
21 And in the same day shall a man nourish a yong kow, and two sheepe.
Siku hiyo, mtu atahifadhi ndama na na kondoo wawili,
22 And for the abundance of milke, that they shall giue, hee shall eate butter: for butter and hony shall euery one eate, which is left within the land.
na kwasababu ya maziwa yatakayo patikana ni mengi, atakula siagi, maana kila atakaye bakia kwnye nchi atakula siagi na asali.
23 And at the same day euery place, wherein shalbe a thousand vines, shalbe at a thousand pieces of siluer: so it shalbe for the briers and for the thornes.
Mda huo, kutakuwa na maelfu ya mizabibu na thamani elfu za shekeli, hakutakuwa na kitu zaidi ya kuzalisha mbigiri na miiba.
24 With arrowes and with bowe shall one come thither: because all the land shall be briers and thornes.
Watu watenda pale kuwinda kwa upinde, kwa sababu nchi yote itazalisha mbigiri na miiba.
25 But on all the mountaines, which shalbe digged with the mattocke, there shall not come thither the feare of briers and thornes: but they shalbe for the sending out of bullocks, and for the treading of sheepe.
Watakaa mbali na vilima vitalimwa kwa jembe, kwa sababu ya hofu ya mbigiri na miiba, lakini hapo patakuwa mahali pa kuchungia ngo'mbe na kondoo

< Isaiah 7 >