< Isaiah 61 >

1 The Spirit of the Lord God is vpon mee, therefore hath the Lord anoynted mee: hee hath sent mee to preache good tidings vnto the poore, to binde vp the broken hearted, to preach libertie to the captiues, and to them that are bound, the opening of the prison,
Roho ya Bwana Yahwe i juu yangu, maana Yahwe amenipaka mafuta mimi kuhiubiri habari njema kwa wenye taabu. Amenituma mimi kuwaponywa waliopondeka mioyo, kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kufungua gereza ili waliofungwa waweze kutoka.
2 To preache the acceptable yeere of the Lord, and the day of vengeance of our God, to comfort all that mourne,
Amenituma mimi kuutangaza mwaka wa Yahwe uliokubalika, siku ya kisasi cha Mungu wetu, na kuwafariji wale wote wanaomboleza.
3 To appoint vnto them that mourne in Zion, and to giue vnto them beautie for ashes, the oyle of ioye for mourning, the garment of gladnesse for the spirit of heauinesse, that they might be called trees of righteousnesse, the planting of the Lord, that he might be glorified.
Amenituma mimi - kuwapa wale waoombolezao katika Sayuni -kuwapa wao kilemba cha majivu, mafuta ya furaha badala ya kuomboleza, vazi la kusifu katika eneo la roho ya ubutu, kuwaita mialoni ya haki, iliyooteshwa na Yahwe, ili aweze kutukuzwa.
4 And they shall builde the olde waste places, and raise vp the former desolations, and they shall repaire the cities that were desolate and waste through many generations.
Wataijenga tena mahali pa kale palipohaibiwa; wataparejesha mahali palipokuwa na ukiwa. Watairejesha miji iliyoharibiwa, Mahali penye ukiwa kutoka vizazi vingi vilivyopita.
5 And the strangers shall stande and feede your sheepe, and the sonnes of the strangers shall be your plowmen and dressers of your vines.
Wageni watasimama na kulisha makumdi yako, na watoto wa wageni watafanya kazi kwenye mashamba yako na mizabu.
6 But ye shall be named the Priestes of the Lord, and men shall say vnto you, The ministers of our God, Ye shall eate the riches of the Gentiles, and shalbe exalted with their glorie.
Mtaitwa makuhani wa Yahwe; watawaita watumishi wa Mungu wetu. Mtakula utajiri wa mataifa, na utajivuinia katika utajiri wake.
7 For your shame you shall receiue double, and for confusion they shall reioyce in their portion: for in their lande they shall possesse the double: euerlasting ioy shall be vnto them.
Badala yake aibu yenu itaongezeka; na badala ya fedhea walifurahia juu ya sehemu yao. Hivyo basi sehemu yao itaongezeka mara mbili katika nchi na furaha ya milele itakuwa yao.
8 For I the Lord loue iudgement and hate robberie for burnt offering, and I wil direct their worke in trueth, and will make an euerlasting couenant with them.
Maana Mimi, Yahwe, ninapenda haki, na ninachukia wizi na vurugu zisizo za haki. Nitawalipa wao kataka haki na Nitafanya agano la milele na wao.
9 And their seede shall be knowen among the Gentiles, and their buddes among the people. All that see them, shall know them, that they are the seede which the Lord hath blessed.
Uzao wao utajulikana miongoni mwa mataifa, na watoto wao miongoni mwa watu. Wote watakaowaona watawakubali wao, kwamba ni watu wangu ambao Yahwe amewabariki.
10 I will greatly reioyce in the Lord, and my soule shall be ioyfull in my God: for he hath clothed mee with the garments of saluation, and couered me with the robe of righteousnes: hee hath decked me like a bridegrome, and as a bride tireth herselfe with her iewels.
Nitafurahia sana katika Yahwe; Katika Mungu nitafurahia. Maana amenivika mimi kwa vazi la wokovu; amenivika mimi kwa vazi la haki, kama bwana harusi aliyejipamba mwenywe kwa kilemba, na kama bibi harusi aliyejipamba kwa vito.
11 For as the earth bringeth foorth her bud, and as the garden causeth to growe that which is sowen in it: so the Lord God will cause righteousnesse to grow and praise before all the heathen.
Maana kama nchi inavyozalisha miti inayochipukia na kama bustani inavyofanya miti yake ikuie, hivyo Bwana atasasbabisha haki na sifa kuchipukia mbele ya mataifa yote.

< Isaiah 61 >