< Isaiah 52 >

1 Aries, arise: put on thy strength, O Zion: put on thy garments of thy beautie, O Ierusalem, the holy citie: for hencefoorth there shall no more come into thee the vncircumcised and the vncleane.
Amka, amka, vaa nguvu zako, Sayuni; vaa vazi lako zuri, mji mtakatifu; maana hakuna tena kutotahiriwa wala wasio safi kuingia kwako.
2 Shake thy selfe from the dust: arise, and sit downe, O Ierusalem: loose the bandes of thy necke, O thou captiue daughter, Zion.
Jikung'ute mwenyewe kutoka mavumbini; nyanyuka na ukae, ewe Yerusalemu; ondoa shanga katika shingo yako, wafungwa, binti ya Sayuni.
3 For thus sayeth the Lord, Yee were solde for naught: therefore shall ye be redeemed without money.
Maana Yahwe asema hivi, umeuzwa bure, na utakombolewa pasipo pesa.''
4 For thus saith the Lord God, My people went downe afore time into Egypt to soiourne there, and Asshur oppressed them without cause.
Maana Bwana Yahwe asema hivi, ''Hapo mwanzo watu wangu walishuka chini Misri kuishi kwa muda mfupi; Waasiria waliwanyanyasa wao hivi karibuni.
5 Nowe therefore what haue I here, saith the Lord, that my people is taken away for naught, and they that rule ouer them, make them to howle, saith the Lord? and my Name all the day continually is blasphemed?
Sasa ni kitu gani nilicho nacho hapa- Hili ni tamko Yahwe- aonae kwamba watu wake wanachukuliwa bure tu? Wale wanowaongoza wao wanafanya mzaha-Hili ni tamko la Yahwe- jina langu linakashifiwa mchan kutwa.
6 Therefore my people shall know my Name: therefore they shall know in that day, that I am he that doe speake: beholde, it is I.
Hivyo basi watu wangu watalijua jina langu; watajua kwamba siku hiyo kwamba mimi ndiye ninayesema ''Ndiyo, Ni Mimi!''
7 How beautifull vpon the mountaines are the feete of him, that declareth and publisheth peace? that declareth good tidings, and publisheth saluation, saying vnto Zion, Thy God reigneth?
Ni kwa uzuri gani juu miliima ni miguu ya mjumbe aliyeleta habari njema, atangazae amani, aliyebeba uzuri wa ukuu, aliyetangaza wokovu, anayesema kwa Sayuni, ''Mungu wako anatawala!''
8 The voyce of thy watchmen shalbe heard: they shall lift vp their voyce, and shoute together: for they shall see eye to eye, when the Lord shall bring againe Zion.
Sikiliza enyi walinzi nyanyueni sauti zenu, kwa pamoja pigeni kelele kwa furaha, maana mtamuona, kwa kila jicho lenu, kurejea kwa Yahwe Sayuni.
9 O ye desolate places of Ierusalem, bee glad and reioyce together: for the Lord hath comforted his people: he hath redeemed Ierusalem.
Pazeni sauti kwa kuimba kwa furaha, enyi mateka wa Yerusalemu; maana Yahwe amefariji watu wake; ameikomboa Yerusalemu.
10 The Lord hath made bare his holy arme in the sight of all the Gentiles, and all the endes of the earth shall see the saluation of our God.
Yahwe amewaonyesha kwamba mkono wake mtakatifu katika macho ya mataifa yote; nchi yote itauona wokovu wa Mungu wetu.
11 Depart, depart ye: goe out from thence and touche no vncleane thing: goe out of the middes of her: be ye cleane, that beare the vessels of the Lord.
Ondokeni, ondokeni, enendeni mbali na hapa; msiguse kitu chochote ambacho ni najisi; au kuishi katikati yake; jitakase mwenyewe, enyi mliobeba vyombo vya Yahwe.
12 For ye shall not goe out with haste, nor depart by fleeing away: but the Lord will goe before you, and the God of Israel will gather you together.
Maana hautakwenda nje kwa kukimbia, wala hautaondoka kwa hofu; Maana Yahwe atakuwa mbele yako; na Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi wako nyuma.
13 Beholde, my seruant shall prosper: he shall be exalted and extolled, and be very hie.
Tazameni, mtumishi wangu atafanya hekima; atakuwa juu na atanyanyuliwa juu, na atapandishwa juu.
14 As many were astonied at thee (his visage was so deformed of men, and his forme of the sonnes of men)
Na wengi watamstajabia yeye- muonekano wake umekunjamana nje ya muonekano wa mwanadamu, hivyo basi upande wake ulikuwa mbali na kitu chochote ambacho ni binadamu-
15 so shall hee sprinkle many nations: the Kings shall shut their mouthes at him: for that which had not bene tolde them, shall they see, and that which they had not heard, shall they vnderstande.
Na hivyo, mtumishi wangu atanyunyizia mataifa mengi na wafme watafunga midomo yao kwa sababu yake. Kana kwamba hawajawahi kuambiwa, wataona, kana kwamba hawakusikia, wataelewa.

< Isaiah 52 >