< Isaiah 19 >

1 The burden of Egypt. Beholde, the Lord rideth vpon a swift cloude, and shall come into Egypt, and the idoles of Egypt shall be moued at his presence, and the heart of Egypt shall melt in the middes of her.
Tamko kuhusu Misri. Ona, Yahwe atasafiri katika mawimbi mepesi na anakuja Misri; Sanamu za Misri zitatemeka mbele yake, na mioyo ya Wamisri itayeyuka ndani yao wenyewe.
2 And I will set the Egyptians against the Egyptians: so euery one shall fight against his brother, and euery one against his neighbour, citie against citie, and kingdome against kingdome.
Nitawachanganya Wamisri juu dhidi ya Wamisiri: Mtu atapigana dhidi ya ndugu yake, mji dhidi ya miji, na ufalme dhidi ya ufalme.
3 And the spirite of Egypt shall faile in the middes of her, and I will destroy their counsell, and they shall seeke at the idoles, and at the sorcerers, and at them that haue spirits of diuination, and at the southsayers.
Roho ya Misri itadhohofishwa kutoka ndani. Nitauharibu ushauri wake, japo wanafikiria ushauri wa sanamu, roho za watu waliokufa, na mizimu, na
4 And I will deliuer the Egyptians into the hand of the cruell Lordes, and a mightie King shall rule ouer them, sayth the Lord God of hostes.
Nitawacha Wamisiri kwenye mikono ya viongozi wakatili, kiongozi imara atawaongoza wao- Hili ni tamko la Yahwe Bwana wa majehi.''
5 Then the waters of the sea shall faile, and the riuers shall be dryed vp, and wasted.
Maji ya bahari yatakauka juu, na mto uakauka na kuwa mtupu.
6 And the riuers shall goe farre away: the riuers of defence shalbe emptied and dryed vp: the reedes and flagges shall be cut downe.
Mito itakuwa michafu; mikondo ya Misri itakuwa dhii na kukauka; mwanzi na bendera zake zitapeperushwa mbali.
7 The grasse in the riuer, and at the head of the riuers, and all that groweth by the riuer, shall wither, and be driuen away, and be no more.
Mianzi ya Nile, kwa mdomo wa mto Nile, na mbegu zote zitakazo katika mashamba ya Nilezitakauka zote, zitageuka kuwa mavumbi, na kupeperukia mbali.
8 The fishers also shall mourne, and all they that cast angle into the riuer, shall lament, and they that spread their nette vpon the waters, shall be weakened.
Wavuvi watalia na kuomboleza, na wale watakao shusha neti kwenye maji watauzunika.
9 Moreouer, they that worke in flaxe of diuers sortes, shall be confounded, and they that weaue nettes.
Wafanyakazi ya kuchana kitani watafaidika na hao washonao nguo nyeupe watajeuka kuwa mchonaji.
10 For their nettes shalbe broken, and all they, that make pondes, shalbe heauie in heart.
Washona nguo wa Misri wataangamizwa; na wote waloajiriwa watahuzunika nafsini mwao.
11 Surely the princes of Zoan are fooles: the counsell of the wise counselers of Pharaoh is become foolish: how say ye vnto Pharaoh, I am the sonne of the wise? I am the sonne of the ancient Kings?
Wakuu wa Zoana ni wajinga kabisa. Washauri wenye busara wa Farao ni wapumbavu. Unawezaje kumwambia Farao, ''Mimi ni mtoto wa watu wenye busara,
12 Where are nowe thy wise men, that they may tell thee, or may knowe what the Lord of hostes hath determined against Egypt?
''Wako wapi hao watu wenye busara? mtoto wa mfalme wa zamani? Waache wakuambie? na ijulikane kitu ambacho Yahwe wa majeshi amekipanga kuhusiana na Misri.
13 The princes of Zoan are become fooles: the princes of Noph are deceiued, they haue deceiued Egypt, euen the corners of the tribes thereof.
Wakuu wa Zoani wamekuwa wajinga, wakuu wa Memphisi wamegawanyika; wameifanya Misri iende kinyume, na mawe ya pembeni ya makabila yao.
14 The Lord hath mingled among them the spirite of errours: and they haue caused Egypt to erre in euery worke thereof, as a drunken man erreth in his vomite.
Yahwe amechanganya roho wa kuvurugwa katika yao, na wamefanya Wamisri kwenda kinyume kwa yote wanoyafanya, kama mlevi anavyoyumbayumba uku akitapika.
15 Neither shall there be any worke in Egypt, which the head may doe, nor the tayle, ye branch nor the rush.
Hakuna kitu ambacho mtu yeyote anaweza kukifanya kwa ajili ya Misri, kama kichwa au mkia, tawi au mwanzi.
16 In that day shall Egypt be like vnto women: for it shall be afraide and feare because of the moouing of the hand of the Lord of hostes, which he shaketh ouer it.
Siku hiyo, Wamisri watakuwa kama wanawake. watatemeka na kuogopa mkono wa Yahwe wa majeshi ulioinuliwa juu yao.
17 And the land of Iudah shall be a feare vnto Egypt: euery one that maketh mention of it, shalbe afraid thereat, because of ye counsell of the Lord of hostes, which he hath determined vpon it.
Nchi ya Yuda itakuwa sababu ya utisho kwa Misri. Yeyote atakao wakumbusha wao kuhusu yeye, wataogopa sana, kwa sababu ya mpango wa Yahwe, anaoukusudia juu yao.
18 In that day shall fiue cities in the lande of Egypt speake the language of Canaan, and shall sweare by the Lord of hostes. one shall be called the citie of destruction.
Siku hiyo kutakuwa na miji mitano katika nchi ya Misri wanaozungumza lugha ya Kanaani na kuapa kimtii Yahwe wa majeshi. Moja kati ya miji hii itaitwa mji wa ulioharibiwa.
19 In that day shall the altar of the Lord be in the middes of the land of Egypt, and a pillar by the border thereof vnto the Lord.
Siku hiyo kutakuwa madhabahu kwa ajili ya Yahwe katika ya nchi ya Misri, na jiwe la chumvi karibu na Yahwe.
20 And it shall be for a signe and for a witnes vnto the Lord of hostes in the land of Egypt: for they shall crie vnto the Lord, because of the oppressers, and he shall send them a Sauiour and a great man, and shall deliuer them.
Itakuwa kama ishara na ushahidi kwa Yahwe wa majeshi katika nchi ya Misri. Atawatumia mkombozi na mlinzi, na atawokoa wao.
21 And the Lord shall be knowen of the Egyptians, and the Egyptians shall knowe the Lord in that day, and doe sacrifice and oblation, and shall vowe vowes vnto the Lord, and performe them.
Yahwe atajulikana Misri, na Wamisri watamkubali Yahwe siku hiyo. Watamuabudu kwa sadaka na matoleo, na wataweka agano na kulitimiza.
22 So ye Lord shall smite Egypt, he shall smite and heale it: for he shall returne vnto ye Lord, and he shall be intreated of them and shall heale them.
Yahwe ataipga Misri, ataipiga na kuiponya. Halafu watamrudia Yahwe; atasikiliza maombi yao na kuwaponya.
23 In that day shall there be a path from Egypt to Asshur, and Asshur shall come into Egypt, and Egypt into Asshur: so the Egyptians shall worship with Asshur.
Siku hiyo kutakuwa na njia kuu kutoka Misri kwenda Asiria, na Waasira watakuja Misri, na Wamisri watakwenda Asira; na Wamisri wataabudu pamoja na Waasiria.
24 In that day shall Israel be the third with Egypt and Asshur, euen a blessing in the middes of the land.
Siku hiyo, Israeli itakuwa ya tatu pamoja na Misri na Asiria, baraka katikati ya nchi;
25 For the Lord of hostes shall blesse it, saying, Blessed be my people Egypt and Asshur, the worke of mine hands, and Israel mine inheritance.
Yahwe wa majeshi atawabariki na kusema, '' wabarikiwe Wamisri, watu wangu; Wasiria, kazi ya mikono yangu; na Israeli urithi wangu.

< Isaiah 19 >