< Isaiah 14 >

1 For the Lord wil haue compassion of Iaakob, and wil yet chuse Israel, and cause them to rest in their owne lande: and the stranger shall ioyne him selfe vnto them, and they shall cleaue to the house of Iaakob.
Yahwe atakuwa na huruma juu ya Yakobo; atamchagua tena Israeli na kumrudisha tena kwenye nchi yake. Wageni wataungana nao na wataambatana wenyewe na nyumba ya Yakobo.
2 And the people shall receiue them and bring them to their owne place, and the house of Israel shall possesse them in the land of the Lord, for seruants and handmaids: and they shall take them prisoners, whose captiues they were, and haue rule ouer their oppressours.
Mataifa yataletwa katika maeneo yao wenyewe. Ndipo nyumba ya Israeli itawachukwa katika nchi ya Yahwe kwa watumishi wa kiume na wakike. Watachukuwa wafungwa wale waliokamatwa, na watawaongoza wale waliokuwa wanawanyanyasa.
3 And in that day when the Lord shall giue thee rest from thy sorrow, and from thy feare, and from the sore bodage, wherein thou didest serue,
Siku hiyo Yahwe atatoa pumziko kutoka kwenye mateso na maumivu, na kutoka kwenye kazi ngumu ambayo waliitajika kuzifanya,
4 Then shalt thou take vp this prouerbe against the King of Babel, and say, Howe hath the oppressor ceased? and the gold thirsty Babel rested?
mtaimba hii kauli wimbo juu ya mfalme wa Babeli, ''Ni kwa jinsi gani wayanyasaji wamefika mwisho, kiburi cha hasira kimekwisha!
5 The Lord hath broken the rodde of the wicked, and the scepter of the rulers:
Yahwe amevunja wafanyakazi waovu, fimbo ya hao viongozi,
6 Which smote the people in anger with a continuall plague, and ruled the nations in wrath: if any were persecuted, he did not let.
inayowapeleka watu kwenye laana na mapigo yasiyopimika, wanoongoza taifa kwa hasira,
7 The whole worlde is at rest and is quiet: they sing for ioye.
yote iko katika punziko na utulivu; wmeanza kusherekea kwa kiimba.
8 Also the firre trees reioyced of thee, and the cedars of Lebanon, saying, Since thou art laid downe, no hewer came vp against vs.
Hata mti wa mseprasi inafuhaia pamoja mierezi ya Lebanoni; inasema, Tangu ulipoweka chini, hakuna mkata kuni aliyekuja kutungusha sisi,
9 Hel beneath is mooued for thee to meete thee at thy comming, raising vp the deade for thee, euen all the princes of the earth, and hath raised from their thrones all the Kinges of the nations. (Sheol h7585)
Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol h7585)
10 All they shall crie, and saie vnto thee, Art thou become weake also as we? art thou become like vnto vs?
Watazungumza na kukuambia wewe, 'umekuwa dhaifu kama sisi.
11 Thy pompe is brought downe to ye graue, and the sounde of thy violes: the worme is spred vnder thee, and the wormes couer thee. (Sheol h7585)
Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol h7585)
12 How art thou fallen from heauen, O Lucifer, sonne of the morning? and cutte downe to the grounde, which didest cast lottes vpon the nations?
Kwa jinsi gani ulivyoanguka kutoka mbinguni, nyota ya siku, jua la asubuhi! ni kwa jinsi gani mlivyoshushwa chini, umeyashinda mataifa!
13 Yet thou saidest in thine heart, I will ascende into heauen, and exalt my throne aboue beside the starres of God: I will sitte also vpon the mount of the Congregation in the sides of the North.
Unasema katika moyo wako, ' Nitapaa kutoka juu mbinguni, nitanyanyua enzi yangu juu ya nyota za Mungu, na nitakaa kwenye mlima wa kukusanyikia, kwa mbali kufika kaskazini.
14 I wil ascend aboue ye height of the cloudes, and I will be like the most high.
Nitapaa juu umbali wa mawingu; Nitalifanya mimi mwenyewe kama Mungu aliye juu zaidi.'
15 But thou shalt bee brought downe to the graue, to the sides of the pit. (Sheol h7585)
Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol h7585)
16 They that see thee, shall looke vpon thee and consider thee, saying, Is this the man that made the earth to tremble, and that did shake the kingdomes?
Wale wanaokuona watakuangalia wewe, watakuangalia sana. Watasema, Je ni huyu mtu aliyefanya dunia itetemeke, nani aliyetingisha falme,
17 He made the worlde as a wildernesse, and destroied the cities thereof, and opened not the house of his prisoners.
ni nani aliyefanya dunia kama jangwa, ni nani aliyeharibu miji yake, na hataki kuwachia wafungwa waende nyumbani?'
18 All the Kings of the nations, euen they all sleepe in glorie, euery one in his owne house.
Wafalme wote wamataifa, wote kwa pamoja wamelala chini kwa heshima, kila mtu kwa kaburi lake.
19 But thou art cast out of thy graue like an abominable branch: like the raiment of those that are slaine, and thrust thorowe with a sword, which goe downe to the stones of the pit, as a carkeise troden vnder feete.
Lakini umetupwa nje ya kaburi lako kama tawi lilivyotupwa mbali. Maiti imekufunika kama vazi, na wale wanaochomwa kwa upanga, nani wale washukao mpaka misingi ya shimo.
20 Thou shalt not be ioyned with them in the graue, because thou hast destroied thine owne lande, and slaine thy people: the seede of the wicked shall not be renoumed for euer.
Hautaunganishwa pamoja katika mazishi, kwa sababu umeiharibu nchi yako na kuuwa watu wako. Watoto wa watenda maovu hawatatajwa tena.''
21 Prepare a slaughter for his children, for the iniquitie of their fathers: let them not rise vp nor possesse the land, nor fil the face of the world with enemies.
Anda machinjio kwa ajili ya watoto wake, kwa sababu ya uovu wa mababu zao, hivyo basi hawatanyanyuka juu na na kuimiliki aridhi ya nchi iliyojaa miji ya dunia yote.''
22 For I wil rise vp against them (sayth the Lord of hostes) and will cut off from Babel the name and the remnant and the sonne, and the nephew, sayth the Lord:
Nitapanda juu yao''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi. Nitang'oa jina katika Babeli, uzao, na ukoo''- hili ndilo tamko la Yahwe.
23 And I wil make it a possession to ye hedgehogge, and pooles of water, and I will sweepe it with the besome of destruction, sayeth the Lord of hostes.
Tena nitaifanya nchi hiyo kuwa makao ya bundi, dimbwi la maji, nanitawafagia kwa mfagio wa uharibifu''- hili ni tamko la Yahwe wa majeshi.
24 The Lord of hostes hath sworne, saying, Surely like as I haue purposed, so shall it come to passe, and as I haue consulted, it shall stand:
Yahwe wa majeshi ameapa, ''Hakika, kama nilivyodhamiria, itakuwa kama ilivyo; na kama nilivyo kusudia itakuwa:
25 That I will breake to pieces Asshur in my land, and vpon my mountaines will I treade him vnder foote: so that his yoke shall depart from them, and his burden shall be taken from off their shoulder.
Nitawavunja Waasiria kwa mikono yangu, na kukanyaga milima kwa miguu yangu mwenyewe. Hivyo nira yake itanyanyuliwa juu yao na mzigo juu ya mabega yao.''
26 This is the counsell that is consulted vpon the whole worlde, and this is the hande stretched out ouer all the nations,
Huu ni mpango uliokusudiwa katika nchi yote, na huu ndio mkono ulionyanyuliwa juu ya mataifa.
27 Because the Lord of hostes hath determined it, and who shall disanull it? and his hande is stretched out, and who shall turne it away?
Kwa maana Yahwe wa majeshi amepanga hivi; ni nani atakayemzia yeye? Mkono wake umenyanyuliwa juu, ni nani atakajemrudisha nyuma?
28 In the yeere that King Ahaz died, was this burden.
Katika miaka ambayo mfalme Ahazi alipokufa, hili ndio tamko lilokuja:
29 Reioyce not, (thou whole Palestina) because the rod of him that did beat thee, is broken for out of the serpents roote shall come forth a cockatrise, and the fruit therof shalbe a firy flying serpent.
Msishangilie, enyi wafilisti wote, kwamba fimbo ya kukupigia wewe imevunjika. Maana katika njia ya nyoka atatoka fira, na watoto wake watakuwa moto nyoka wanaopaa.
30 For the first borne of the poore shall be fed, and the needie shall lie downe in safetie: and I will kill thy roote with famine, and it shall slay thy remnant.
Na mtoto wa kwanza wa maskini watachunga kondoo wao kwenye malisho yangu, na wahitaji watalala chini salama. Nitaiuwa mizizi yenu kwa njaa ambayo atawauwa wakazi wenu wote.
31 Howle, O gate, crie, O citie: thou whole lande of Palestina art dissolued, for there shall come from the North a smoke, and none shalbe alone, at his time appointed.
Omboleza, ewe lang, lia, ewe mji; ninyi nyote mtayeyukia mbali, Ufilisti. Maana kutoka kaskazini limetoka wingu la moshi, na hakuna hata mmoja atakaye odoka kwenye nafasi yake.
32 What shall then one answere the messengers of the Gentiles? That the Lord hath stablished Zion, and the poore of his people shall trust in it.
Ni kivipi mtu mmoja atamjibu mjumbe wa taifa? Kwamba Yahwe ameipata Sayuni, na ndani yake walionewa watatafuta kimbilio.

< Isaiah 14 >