< Hosea 13 >

1 When Ephraim spake, there was trembling: hee exalted him selfe in Israel, but he hath sinned in Baal, and is dead.
Efraimu alipozungumza, kulikuwa na tetemeko. Alijikuza katika Israeli, lakini akawa na hatia kwa sababu ya ibada ya Baali, naye akafa.
2 And nowe they sinne more and more, and haue made them molten images of their siluer, and idoles according to their owne vnderstanding: they were all the woorke of the craftesmen: they say one to another whiles they sacrifice a man, Let them kisse the calues.
Sasa wanafanya dhambi zaidi na zaidi. Wanatengeneza sanamu za chuma kutoka kwenye fedha zao, sanamu kwa kadiri ya ufanisi wao, zote ni kazi ya mafundi. Watu wanasema juu yao, 'Watu hawa watoao dhabihu na kumbusu ndama.'
3 Therefore they shall bee as the morning cloude, and as the morning dewe that passeth away, as the chaffe that is driuen with a whirlewind out of the floore, and as the smoke that goeth out of the chimney.
Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi, kama umande unaoondoka mapema, kama makapi yanayotokana na upepo kutoka kwenye sakafu, na kama moshi utokao kwenye bomba.
4 Yet I am the Lord thy God from the land of Egypt, and thou shalt knowe no God but me: for there is no Sauiour beside me.
Lakini mimi ndimi Bwana, Mungu weko, tangu nchi ya Misri. Hutamjua Mungu mwingine bali mimi; wala zaidi yangu, hakuna mkombozi mwingine.
5 I did knowe thee in the wildernesse, in the land of drought.
Nilikujua jangwani, katika nchi yenye kame.
6 As in their pastures, so were they filled: they were filled, and their heart was exalted: therefore haue they forgotten me.
Wakati ulipokuwa na malisho, ulishiba; na wakati uliposhiba, moyo wako ukainuliwa. Kwa sababu hiyo umenisahau.
7 And I wil be vnto them as a very lyon, and as a leopard in the way of Asshur.
Nitakuwa kama simba; kama chui nitaangalia kando ya njia.
8 I will meete them, as a beare that is robbed of her whelpes, and I will breake the kall of their heart, and there will I deuoure them like a lion: the wilde beast shall teare them.
Nitawaangamiza kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake. Nami nitararua vifua vyao, na huko nitawaangamiza kama simba, kama vile mnyama wa mwitu atakayerarua vipande vipande.
9 O Israel, one hath destroyed thee, but in me is thine helpe.
Nitawaangamiza, Israeli; nani atakayekusaidia?
10 I am: where is thy King, that shoulde help thee in al thy cities? and thy iudges, of whom thou saidest, Giue me a King, and princes?
Mfalme wako yuko wapi, ili akuokoe katika miji yako yote? Wako wapi wakuu, ambao kwao umeniambia hivi, 'Nipe mfalme na wakuu'?
11 I gaue thee a King in mine anger, and I tooke him away in my wrath.
Nimekupa mfalme kwa hasira yangu, nikamchukua kwa ghadhabu yangu.
12 The iniquitie of Ephraim is bound vp: his sinne is hid.
Uovu wa Efraimu umehifadhiwa; hatia yake imehifadhiwa.
13 The sorowes of a trauailing woman shall come vpon him: he is an vnwise sonne, els would he not stande still at the time, euen at the breaking forth of the children.
Atakuwa na uchungu wa kujifungua, lakini ni mwana mjinga, kwa maana wakati wa kuzaliwa, hatatoka tumboni.
14 I wil redeeme them from the power of the graue: I will deliuer them from death: O death, I wil be thy death: O graue, I will be thy destruction: repentance is hid from mine eyes. (Sheol h7585)
Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol h7585)
15 Though he grewe vp among his brethren, an East winde shall come, euen the winde of the Lord shall come vp from the wildernesse, and drie vp his veine, and his fountaine shalbe dryed vp: he shall spoyle the treasure of all pleasant vessels.
Ingawa Efraimu anafanikiwa kati ya ndugu zake, upepo wa mashariki utakuja; upepo wa Bwana utapiga kutoka jangwani. Kijito cha maji cha Efraimu kitauka, na kisima chake hakitakuwa na maji. Adui yake atapora ghala lake la kila kitu cha thamani.
16 Samaria shalbe desolate: for she hath rebelled against her God: they shall fall by the sworde: their infants shalbe dashed in pieces, and their women with childe shalbe ript.
Samaria itakuwa na hatia, kwa sababu amemuasi dhidi ya Mungu wake. Wataanguka kwa upanga; watoto wao wadogo watavunjwa, na wanawake wao wajawazito watatambuliwa wazi.

< Hosea 13 >