< Genesis 14 >

1 And in the dayes of Amraphel King of Shinar, Arioch King of Ellasar, Chedor-laomer King of Elam, and Tidal king of the nations:
Ikiwa katika siku za Amrafeli, mfalme wa shinari, Arioko, mfalme wa Elasari, Kedorlaoma, mfalme wa Elam na Tidali, mfalme wa Goimu,
2 These men made warre with Bera King of Sodom, and with Birsha King of Gomorah, Shinab King of Admah, and Shemeber King of Zeboiim, and the King of Bela, which is Zoar.
walifanya vita dhidi ya Bera mfalme wa Sodoma, Birsha, mfalme wa Gomora, Shinabu, mfalme wa Adma, Shemeberi, mfalme wa Seboim, na mfalme wa Bela(pia ikiitwa Soari).
3 All these ioyned together in the vale of Siddim, which is the salt Sea.
Hawa wafalme watano wa mwisho waliungana pamoja katika bonde la Sidim (pia likiitwa bahari ya chumvi).
4 Twelue yeere were they subiect to Chedor-laomer, but in the thirteenth yeere they rebelled.
Kwa miaka kumi na mbili walimtumikia Kedorlaoma, lakini katika mwaka wa kumi na tatu waliasi.
5 And in the fourteenth yeere came Chedor-laomer, and the Kings that were with him, and smote the Rephaims in Ashteroth Karnaim, and the Zuzims in Ham, and the Emims in Shaueh Kiriathaim,
Kisha katika mwaka wa kumi na nne, Kedorlaoma na wafalme waliokuwa pamoja nae walikuja na kuwashambulia Warefai katika Ashteroth Karnaimu, na Wazuzi katika Hamu, Waemi katika Shawe Kiriathaimu,
6 And the Horites in their mount Seir, vnto the plaine of Paran, which is by the wildernesse.
na Wahori katika mlima wao wa Seiri, mpaka El Parani iliyo karibu na jangwa.
7 And they returned and came to En-mishpat, which is Kadesh, and smote all the countrey of the Amalekites, and also the Amorites that dwelled in Hazezon-tamar.
Kisha wakarudi wakaja En Misifati (Pia ikiitwa Kadeshi), na kuishinda nchi yote ya Waamaleki, na pia Waamori ambao waliishi Hasasoni Tamari.
8 Then went out the King of Sodom, and the King of Gomorah, and the King of Admah, and the King of Zeboiim, and the King of Bela, which is Zoar: and they ioyned battell with them in the vale of Siddim:
Kisha mfalme wa Sodoma, mfalme wa Gomora, mfalme wa Adma, mfalme wa Seboim, na mfalme wa Bela (pia ikiitwa Soari) walikwenda na kuandaa vita
9 To wit, with Chedor-laomer king of Elam, and Tidal king of nations, and Amraphel king of Shinar, and Arioch king of Ellasar: foure Kings against fiue.
dhidi ya Kadorlaoma, mfalme wa Elam, Tidali mfalme wa Goim, Amrafeli, mfalme wa Shinari, Arioki, mfalme wa Elasari; wafme wanne dhidi ya wale watano.
10 Now the vale of Siddim was full of slime pits, and the Kings of Sodom and Gomorah fled and fell there: and ye residue fled to the mountaine.
Na sasa bonde la Sidimu lilikuwa limejaa mashimo ya lami, na wafalme wa Sodoma na Gomora walipokimbia, wakaanguka pale. Wale waliosalia wakakimbilia milimani.
11 Then they tooke all the substance of Sodom and Gomorah, and al their vitailes and went their way.
Kwa hiyo adui akachukua mali zote za Sodoma na Gomora na vyakula vyao vyote, na wakaenda zao,
12 They tooke Lot also Abrams brothers sonne and his substance (for he dwelt at Sodom) and departed.
walipoondoka, wakamchukua pia Lutu, mtoto wa ndugu yake na Abram ambaye aliishi Sodoma, pamoja na mali zake zote.
13 Then came one that had escaped, and told Abram the Ebrew, which dwelt in the plaine of Mamre ye Amorite, brother of Eshcol, and brother of Aner, which were confederat with Abram.
Mmoja ambaye alitoroka alikuja na kumwambia Abram mwebrania. Alikuwa anaishi katika mialoni ya Mamre, mwamori ambaye alikuwa ni ndugu wa Eshkoli na Aneri ambao walikuwa washirika wa Abram.
14 When Abram heard that his brother was taken, he brought forth of them that were borne and brought vp in his house, three hundreth and eighteene, and pursued them vnto Dan.
Abram aliposikia kuwa maadui wamemteka ndugu yake, akawaongoza wanaume waliofunzwa na kuzaliwa nyumbani mwake 318 na akawaongoza hadi Dani.
15 Then he, and his seruants deuided them selues against them by night, and smote them and pursued them vnto Hobah, which is on the left side of Damascus,
Akawagawanya watu wake dhidi yao usiku na kuwavamia, na kuwafukuza mpaka Hoba, ambayo iko kaskazini mwa Dameski.
16 And he recouered all the substance, and also brought againe his brother Lot, and his goods, and the women also and the people.
Kisha akarudisha mali zote, pia akamrudisha ndugu yake Lutu na mali zake, pamoja na wanawake na watu wengine.
17 After that he returned from the slaughter of Chedor-laomer, and of the Kings that were with him, came the King of Sodom foorth to meete him in the valley of Shaueh, which is the Kings dale.
Baada ya Abram kurudi kutoka kumpiga Kadorlaoma na wafalme waliokuwa pamoja nae, mfalme wa Sodoma akatoka kuonana nae katika bonde la Shawe (pia iliitwa bonde la mfalme).
18 And Melchi-zedek King of Shalem brought foorth bread and wine: and he was a Priest of the most high God.
Melkizedeki, mfalme wa Salem, akaleta mkate na divai. Alikuwa ni kuhani wa Mungu aliye juu sana.
19 Therefore he blessed him, saying, Blessed art thou, Abram, of God most high possessour of heauen and earth,
Alimbariki akisema, “Abarikiwea Abram na Mungu aliye juu sana, muumba wa mbingu na nchi.
20 And blessed be the most high God, which hath deliuered thine enemies into thine hand. And Abram gaue him tythe of all.
Abarikiwe Mungu aliye juu sana, ambaye amekupatia adui zako katika mikono yako.” Kisha Abram akampatia sehemu ya kumi ya kila kitu.
21 Then the King of Sodom saide to Abram, Giue me the persons, and take the goodes to thy selfe.
Mfalme wa Sodama akamwambia Abram, “Nipatie watu, na ujichukulie wewe mwenyewe mali.”
22 And Abram said to the King of Sodom, I haue lift vp mine hand vnto the Lord the most hie God possessor of heauen and earth,
Abram akamwambia mfalme wa Sodoma, “Nimeinua juu mkono wangu kwa Yahwe, Mungu aliye juu sana, muumbaji wa mbingu na nchi,
23 That I will not take of all that is thine, so much as a threde or shoolatchet, lest thou shouldest say, I haue made Abram riche,
kwamba sitachukua uzi wala gidamu ya kiatu, au kitu chochote ambacho ni chako, 'ili kwamba usiseme, nimemfanya Abram kuwa tajiri.'
24 Saue onely that, which the yong men haue eaten, and the partes of the men which went with me, Aner, Eshcol, and Mamre: let them take their partes.
Sitachukua chochote isipokuwa kile ambacho vijana wamekula na sehemu za watu waliokwenda nami. Aneri, Eskoli, na Mamre na wachukue sehemu zao.”

< Genesis 14 >