< Ezekiel 18 >

1 The worde of the Lord came vnto me againe, saying,
Neno la Yahwe likanijia tena, kusema,
2 What meane ye that ye speake this prouerbe, concerning the land of Israel, saying, The fathers haue eaten sowre grapes, and the childrens teeth are set on edge?
“Je mnamaana gani, ninyi mliotumia hii mithali kuhusiana na nchi ya Israeli na kusema, 'Wababa wamekula zabibu mbichi, na meno ya watoto imetiwa ganzi'?
3 As I liue, sayth the Lord God, ye shall vse this prouerbe no more in Israel.
Kama nishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-bila shaka hakutakuwa na fursa yoyote tena kwa ajili yenu kuitumia hii mithali katika Israeli.
4 Beholde, all soules are mine, both the soule of the father, and also the soule of the sonne are mine: the soule that sinneth, it shall die.
Tazama! Kila uhai ni mali yangu-uhai wa baba na uhai wa mwana pia, ni mali yangu! roho itendayo dhambi ndiyo itakayokufa!
5 But if a man be iust, and doe that which is lawfull, and right,
Itasemwaje kuhusu mtu mwenye haki na achukuaye yaliyo halali na haki-
6 And hath not eaten vpon the mountaines, neither hath lift vp his eyes to the idoles of the house of Israel, neither hath defiled his neighbours wife, neither hath lyen with a menstruous woman,
kama asipokula juu ya milima au kuinua macho yake kwa sananmu za nyumba ya Israeli, na hakumnajisi mke wa jirani yake, wala kumsemesha mwanamke katika kipindi chake cha mwezi, je! Yu mwenye haki?
7 Neither hath oppressed any, but hath restored the pledge to his dettour: he that hath spoyled none by violence, but hath giuen his bread to the hungry, and hath couered the naked with a garment,
Je! Itasemwaje kuhusu mtu ambaye hakumkandamiza yeyote, na kumrudisha mdeni wake kwa kile kilichokuwa kimewekwa kwa ajili ya rehani, na hakuiba lakini kuwapatia chakula wenye njaa na kuwafunika uchi kwa nguo, je yu mwenye haki?
8 And hath not giuen foorth vpon vsurie, neither hath taken any increase, but hath withdrawen his hand from iniquitie, and hath executed true iudgement betweene man and man,
Je! Itasemwaje kuhusu mtu ambaye hakuchukua faida kubwa kwa ile pesa aliyokopa, na hakuchukua faida kubwa kwa kile alichokiuza?
9 And hath walked in my statutes, and hath kept my iudgements to deale truely, he is iust, he shall surely liue, sayth the Lord God.
Amesemwa kwamba amechukua yaliyo halali na kuimarisha uaminifu kati ya watu. Kama huyo mtu akitembea katika sheria zangu na kuzishika hukumu zangu kufanya kwa uaminifu, kisha ahadi kwa ajili ya mtu mwenye haki ni hii: Ataishi hakika! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
10 If he beget a sonne, that is a thiefe, or a sheader of blood, if he do any one of these things,
Lakini akizaa mwana mnyang'anyi mmwaga damu na kufanya mengi katika haya mambo kama yalivyotajwa hapa,
11 Though he doe not all these things, but either hath eaten vpon the mountaines, or defiled his neighbours wife,
hata kama baba yake hakufanya mojawapo katika haya mambo, lakini akala juu ya milima na akamnajisi mke wa jirani yake, Je! itasemwaje juu yake?
12 Or hath oppressed the poore and needy, or hath spoyled by violence, or hath not restored the pledge, or hath lift vp his eyes vnto the idoles, or hath committed abomination,
Huyu mtu huwakandamiza maskini na wahitaji, na huwakamata na kuwanyang'anya, na hawarudishii dhamana, na huyanua macho yake kwa sanamu na kufanya matendo maovu,
13 Or hath giuen forth vpon vsurie, or hath taken increase, shall he liue? he shall not liue: seeing he hath done all these abominations, he shall die the death, and his blood shall be vpon him.
na hukopesha pesa kwa faida ya juu sana na kufanya faida kubwa juu ya anachokiuza, Je! huyo mtu ataishi? Hakika hataishi! Atakufa hakika na damu yake itakuwa juu yake kwa sababu amefanya haya mambo ya chuki.
14 But if he beget a sonne, that seeth all his fathers sinnes, which he hath done, and feareth, neither doeth such like,
Lakini Tazama! tuseme kuna mtu aliyezaa mwana, na mwana wake huona dhambi zote za baba yake alizozifanya, na kupitia kuziona, hakuyafanya hayo mambo.
15 That hath not eaten vpon the mountaines, neither hath lift vp his eyes to the idols of ye house of Israel, nor hath defiled his neighbours wife,
Huyo mwana hakula juu ya milima, na hakuinua macho yake kwa sanamu za nyumba ya Israeli, na hakumtia unajisi mke wa jirani yake, Je! itasemwaje juu yake?
16 Neither hath oppressed any, nor hath withholden the pledge, neither hath spoyled by violence, but hath giuen his bread to the hungry, and hath couered the naked with a garment,
Yule mwana hakumkandamiza yeyote, au kutwaa dhamana, au kupoteza vitu, lakini badala yake kutoa chakula chake kwa wenye njaa na kuwafunika wenye uchi kwa nguo.
17 Neither hath withdrawen his hand from the afflicted, nor receiued vsurie nor increase, but hath executed my iudgements, and hath walked in my statutes, he shall not die in the iniquitie of his father, but he shall surely liue.
Huyo mwana hakumkandamiza yeyote au au kuchukua faida ambayo ni ya juu sana au kufanya manufaa kwa ajili ya mkopo, lakini ameyashika maagizo yangu na kuenenda sawa sawa na sheria zangu; huyo mwana hatakufa kwa ajili ya dhambi za baba yake: Ataishi hakika!
18 His father, because he cruelly oppressed and spoyled his brother by violence, and hath not done good among his people, loe, euen he dyeth in his iniquitie.
Baba yake, kwa kuwa aliwakandamiza wengine kwa nguvu nyingi na kumnyang'anya ndugu yake, na kufanya yasiyo mema miongoni mwa watu wake-tazama, atakufa katika uovu wake.
19 Yet say ye, Wherefore shall not the sonne beare the iniquitie of the father? because ye sonne hath executed iudgement and iustice, and hath kept all my statutes, and done them, he shall surely liue,
Lakini ninyi husema, 'Kwa nini mwana asibebe uovu wa baba yake?' Kwa sababu mwana hubeba yaliyo halali na haki na kuzitunza amri zangu; huzifanya. Ataishi hakika!
20 The same soule that sinneth, shall die: the sonne shall not beare the iniquitie of the father, neither shall the father beare the iniquitie of the sonne, but the righteousnes of the righteous shall be vpon him, and the wickednesse of the wicked shall be vpon him selfe.
Yule atendaye dhambi, ndiye ambaye atakufa. Mwana hatabeba uovu wa baba yake, na baba hatabeba uovu wa mwana wake. Haki ya yule atendaye haki itakuwa juu yakwe mwenyewe, na uovu wa mwenye uovu utakuwa juu yake mwenyewe.
21 But if the wicked will returne from all his sinnes that he hath committed, and keepe all my statutes, and doe that which is lawfull and right, he shall surely liue, and shall not die.
Lakini kama mwovu ageukapo kutoka dhambi zake zote alizofanya, na kuzitunza sheria zangu zote na kufanya yaliyo halali na haki, kisha hakika ataishi na hatakufa.
22 All his transgressions that he hath committed, they shall not be mentioned vnto him, but in his righteousnes that he hath done, he shall liue.
Makosa yote aliyoyafanya hayatakumbukwa juu yake. Ataishi kwa hiyo haki aliyoitenda.
23 Haue I any desire that the wicked should die, sayth the Lord God? or shall he not liue, if he returne from his wayes?
Je! Nitafurahia juu ya kifo cha mwovu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-na sio katika kugeuka kwake kutoka njia yake ili kwamba aweze kuishi?
24 But if the righteous turne away from his righteousnes, and commit iniquitie, and doe according to all the abominations, that the wicked man doeth, shall he liue? all his righteousnes that he hath done, shall not be mentioned: but in his transgression that he hath committed, and in his sinne that he hath sinned, in them shall he die.
Lakini kama mtu mwenye haki ageukapo kutoka kwenye haki yake na kufanya maovu na kutenda machukizo kama machukizo yote ambayo mtu mwovu afanyayo, basi ataishi? Haki yake yote aliyoifanya haitakumbukwa wakati atakaponisaliti katika uhaini wake. Hivyo atakufa katika dhambi alizofanya.
25 Yet ye say, The way of the Lord is not equall: heare now, O house of Israel. Is not my way equall? or are not your wayes vnequall?
Lakini ninyi husema, 'Njia ya Bwana si sawa!' sikilizeni, nyumba ya Israeli! Je njia zangu haziko sawa? Je si njia ambazo haziko sawa?
26 For when a righteous man turneth away from his righteousnes, and committeth iniquitie, he shall euen die for the same, he shall euen die for his iniquitie, that he hath done.
Wakati mtu mwenye haki ageukapo kutoka kwenye makosa yake, na kufanya maovu na kufa kwa sababu ya hayo, kisha atakufa katika uovu ambao alioufanya.
27 Againe when the wicked turneth away from his wickednes that he hath committed, and doeth that which is lawfull and right, he shall saue his soule aliue.
Lakini wakati mtu mwovu ageukapo kutoka uovu wake alioufanya na kufanya yaliyo halali na haki, kisha ataulinda uhai wake.
28 Because he considereth, and turneth away from all his transgressions that hee hath committed, he shall surely liue and shall not die.
Kwa kuwa ameona na kugeuka kutokana na makosa yake yote ambayo aliyoyafanya. Hakika ataishi, na hatakufa.
29 Yet saith ye house of Israel, The way of the Lord is not equall. O house of Israel, are not my wayes equall? or are not your wayes vnequall?
Lakini nyumba ya Israeli husema, 'Njia ya Bwana haiko sawa!' Ni namna gani njia zangu si sawa, nyumba ya Israeli? Ni njia zenu ndizo si sawa.
30 Therefore I will iudge you, O house of Israel, euery one according to his wayes, sayth the Lord God: returne therefore and cause others to turne away from all your transgressions: so iniquitie shall not be your destruction.
Kwa hiyo nitamuhukumu kila mtu miongoni mwenu kulingana na njia zake, nyumba ya Israeli! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo. Tubuni na rudini kutoka kwenye makosa yenu yote ili kwamba wasiwe kikwazo cha uovu dhidi yenu.
31 Cast away from you all your transgressions, whereby ye haue transgressed, and make you a newe heart and a new spirit: for why will ye die, O house of Israel?
Tupilia mbali makosa yenu yote mliyoyafanya; jifanyieni moyo mpya na roho mpya. Kwa nini mfe, nyumba ya Israeli?
32 For I desire not the death of him that dyeth, sayth the Lord God: cause therefore one another to returne, and liue ye.
Kwa kuwa sifurahii kifo cha yule afaye-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-hivyo tubuni na muishi!”

< Ezekiel 18 >