< Deuteronomy 20 >

1 When thou shalt go forth to warre against thine enemies, and shalt see horses and charets, and people moe then thou, be not afrayde of them: for the Lord thy God is with thee, which brought thee out of the land of Egypt.
Pindi utokapo kwenda vitani kupigana dhidi ya adui zako, na kuona farasi, magari, na watu wengi zaidi kuliko wewe, haupaswi kuwaogopa; kwa kuwa Yahwe Mungu wako yu pamoja nawe, yeye aliyekuleta kutoka nchi ya Misri.
2 And when ye are come neere vnto the battel, then the Priest shall come forth to speake vnto the people,
Wakati unakaribia kuingia kwenye vita, kuhani anapaswa kuwasogelea na kuongea na watu.
3 And shall say vnto them, Heare, O Israel: ye are come this day vnto battell against your enemies: let not your heartes faynt, neither feare, nor be amased, nor adread of them.
Anapaswa kuwaambia,”Sikilizeni, Israel, mnaenda kupigana dhidi ya maadui zenu. Msidhofishe moyo wenu. Msiohofu au kutetemeka. Msiwaogope.
4 For ye Lord your God goeth with you, to fight for you against your enemies, and to saue you
Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ndiye aendae pamoja nanyi kupigana kwa ajili yenu dhidi ya maadui zenu na kuwaokoa.
5 And let the officers speake vnto the people, saying, What man is there that hath buylt a new house, and hath not dedicate it? let him go and returne to his house, least he dye in the battel, and an other man dedicate it.
Maakida wanapaswa kuzungumza na watu na kusema, “Ni mtu yupi aliyejenga nyumba mpya na hajaiweka wakfu? Acha aende na arudi nyumbani kwake, ili kwamba asife vitani na mtu mwingine aiweke wakfu.
6 And what man is there that hath planted a vineyarde, and hath not eaten of the fruite? let him go and returne againe vnto his house, least he die in the battel, and another eate the fruite.
Kuna yeyote ambaye amepanda mzabibu na hajafurahia matunda yake? Acha aende nyumbani, ili kwamba asife vitani na mtu mwingine afurahie matunda yake.
7 And what man is there that hath betrothed a wife, and hath not taken her? let him go and returne againe vnto his house, lest he die in the battell, and another man take her.
Ni mtu yupi aliyeposa kuoa mwanamke lakini bado hajamuoa? Acha aende nyumbani ili kwamba asife vitani na mume mwingine amuoa.”
8 And let the officers speake further vnto the people, and say, Whosoeuer is afrayde and faynt hearted, let him go and returne vnto his house, least his brethrens heart faynt like his heart.
Maakida wanapaswa kuzungumza zaidi kwa watu na kusema, “Ni mwanaume gani aliye hapa ambaye ni mwenye hofu au mnyonge? Acha aende na arudi nyumbani kwake, ili kwamba moyo wa ndugu yake usiyeyuke kama moyo wake.
9 And after that the officers haue made an ende of speaking vnto the people, they shall make captaines of the armie to gouerne the people.
Wakati maakida wamemaliza kuzungumza na watu, wanapaswa kuteua majemedari juu yao.
10 When thou commest neere vnto a citie to fight against it, thou shalt offer it peace.
Wakati mtokapo kuteka mji, wafanye watu hao toleo la amani.
11 And if it answere thee againe peaceably, and open vnto thee, then let all the people that is founde therein, be tributaries vnto thee, and serue thee.
Kama watapokea amani na kufungua malango yao kwako, watu wote wanaopatikana ndani yake wanapaswa kulazimishwa kukufanyia kazi na wanapaswa kukutumikia.
12 But if it will make no peace with thee, but make war against thee, then shalt thou besiege it.
Lakini kama haitengenezi amani kwenu, lakani badala yake inatengeneza vita dhidi yenu, basi mnapaswa kumruhusu,
13 And the Lord thy God shall deliuer it into thine handes, and thou shalt smite all the males thereof with the edge of the sworde.
na wakati Yahwe Mungu wenu anawapa ushindi na kuwaweka chini ya utawala wenu, mnapaswa kuua kila mtu katika mji.
14 Onely the women, and the children, and the cattel, and all that is in the citie, euen all the spoyle thereof shalt thou take vnto thy selfe, and shalt eate the spoyle of thine enemies, which the Lord thy God hath giuen thee.
Lakini wanawake, wadogo, ng'ombe, na kila kitu kilicho ndani ya mji, na nyara zake zote, utavichukua kama mateka yako. Nawe utawamaliza mateka wa maadui zako, ambao Yahwe Mungu amekupa.
15 Thus shalt thou do vnto all ye cities, which are a great way off from thee, which are not of the cities of these nations here.
Unapaswa kuifanyia hivyo kuelekea miji yote ambayo iko mbali nawe, miji ambayo siyo miji ya mataifa yafuatayo.
16 But of the cities of this people, which the Lord thy God shall giue thee to inherite, thou shalt saue no person aliue,
Katika miji ya watu hawa ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa kama urithi, mnapaswa kutunza chochote kilicho na uhai.
17 But shalt vtterly destroy them: to wit, the Hittites, and the Amorites, the Canaanites, and the Perizzites, the Hiuites, and the Iebusites, as the Lord thy God hath commanded thee,
Badala yake, mnapaswa kabisa kuagamiza: Hittite, na Amorite, Wakanani, Waperezi, Hivite, na Wabusi, kama Yahwe Mungu wenu alivyowaamuru.
18 That they teache you not to doe after all their abominations, which they haue done vnto their gods, and so ye should sinne against the Lord your God.
Fanya hivi ili kwamba wasiwafundishe kufanya katika njia za machukizo, kama walivyofanya kwa miungu yao. Kama mtafanya, mtafanya dhambi dhidi ya Yahwe Mungu wenu.
19 When thou hast besieged a citie long time, and made warre against it to take it, destroy not the trees therof, by smiting an axe into them: for thou mayest eate of them: therfore thou shalt not cut them downe to further thee in the siege, (for the tree of the field is mans life)
Wakati mtakapouzingira mji kwa muda mrefu, huku mkipigana dhidi yake kuuteka, hampaswi kuharibu miti yake kwa kushika shoka dhidi yake. Kwa kuwa utaweza kula matunda yake, kwa hiyo usiikate. Kwa maana mti wa kondeni mtu ambaye atauzingira?
20 Onely those trees, which thou knowest are not for meate, those shalt thou destroy and cut downe, and make fortes against the citie that maketh warre with thee, vntil thou subdue it.
Ila miti ambayo unaijua siyo miti ya chakula, unaweza kuharibu na kuikata chini; utajenga maburuji dhidi ya mji unaofanya vita nawe, mpaka uanguke.

< Deuteronomy 20 >