< Deuteronomy 18 >

1 The Priests of the Leuites, and all the tribe of Leui shall haue no part nor inheritace with Israel, but shall eate the offerings of the Lord made by fire, and his inheritance.
Makuhani, ambao ni Walawi, na makabila yote ya Lawi, hayatakuwa na mgao wala urithi pamoja na Israel; wanapaswa kula dhabihu ya Yahwe iliyotengenezwa kwa moto kama urithi wao.
2 Therefore shall they haue no inheritance among their brethren: for the Lord is their inheritance, as he hath sayd vnto them.
Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zao; Yahwe ni urithi wao, kama alivyosema nao.
3 And this shalbe the Priests duetie of the people, that they, which offer sacrifice, whether it be bullocke or sheepe, shall giue vnto the Priest the shoulder, and the two cheekes, and the mawe.
Hii ni sababu ya makuhani kutoka kwa watu, kutoka kwa wale wanaotoa dhabihu, kama itakuwa ng'ombe au kondoo: wanapaswa kutoa kwa kuhani bega, mashavu mawili, na sehemu za ndani.
4 The first fruites also of thy corne, of thy wine, and of thine oyle, and the first of the fleece of thy sheepe shalt thou giue him.
Mazao ya kwanza ya nafaka zako, mvinyo wako mpya, na mafuta yako, na manyoya ya kwanza ya kondoo zako, unapaswa umpe.
5 For the Lord thy God hath chosen him out of all thy tribes, to stande and minister in the Name of the Lord, him, and his sonnes for euer.
Kwa kuwa Yahwe Mungu wako amemchagua kutoka kwenye makabila yote yako kusimama kutumika kwa jina la Yahwe, yeye na wana wake milele.
6 Also when a Leuite shall come out of any of thy cities of all Israel, where hee remained, and come with all the desire of his heart vnto the place, which the Lord shall chuse,
Kama Mlawi anatoka kati ya miji yenu nje ya Israel yote kutoka ambapo anaishi, na utamani kwa moyo wake wote kuja katika eneo Yahwe atachagua,
7 He shall then minister in the Name of the Lord his God, as all his brethren the Leuites, which remaine there before the Lord.
basi anapaswa kutumika kwa jina la Yahwe Mungu wake kama ndugu zake wote Walawi wanafanya, wanaosimama mbele ya Yahwe.
8 They shall haue like portions to eat beside that which commeth of his sale of his patrimonie.
Wanapaswa kuwa na mgao wa kufanana wa kula, badala ya kile kinachokuja kutokana na mauzo ya urithi wa familia yake.
9 When thou shalt come into ye land which the Lord thy God giueth thee, thou shalt not learne to do after ye abominations of those nations.
Wakati mmekuja katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, mnapaswa kujifunza kuangalia machukizo ya mataifa.
10 Let none be founde among you that maketh his sonne or his daughter to goe thorough the fire, or that vseth witchcraft, or a regarder of times, or a marker of the flying of foules, or a sorcerer,
Pasipatikana miongoni mwenu mmoja anayemweka kijana wake au binti yake kwenye moto, yeyote anatumia uganga, yeyote anatabiri, au mchawi, mchawi yeyote,
11 Or a charmer, or that counselleth with spirits, or a soothsaier, or that asketh counsel at ye dead.
yeyote aongeae na wafu, au yeyote aongeae na roho.
12 For all that doe such things are abomination vnto the Lord, and because of these abominations the Lord thy God doeth cast them out before thee.
Kwa yeyote afanyae mambo haya ni chukizo kwa Yahwe; ni kwa sababu ya machukizo haya ambayo Yahwe Mungu wenu anawaondosha mbele zenu.
13 Thou shalt be vpright therefore with the Lord thy God.
Mnapaswa kuwa wakamilifu mbele ya Yahwe Mungu wenu.
14 For these nations which thou shalt possesse, hearken vnto those that regarde the times, and vnto sorcerers: as for thee, the Lord thy God hath not suffred thee so.
Kwa mataifa haya ambayo mtayafukuza kusikiliza wale wafanyao uchawi na uganga; lakini kwenu, Yahwe Mungu wenu amewakataza ninyi kufanya hivyo.
15 The Lord thy God will raise vp vnto thee a Prophet like vnto me, from among you, euen of thy brethren: vnto him ye shall hearken,
Yahwe Mungu wenu atainua kwa ajili yenu nabii kutoka miongoni mwenu, mmoja wa ndugu zenu, kama mimi. Mnapaswa kumsikiliza.
16 According to al that thou desiredst of the Lord thy God in Horeb, in the day of the assemblie, when thou saidest, Let me heare the voice of my Lord God no more, nor see this great fire any more, that I die not.
Hiki ndicho mlichouliza kutoka kwa Yahwe Mungu wenu huko Horebu katika siku ya kusanyiko, kusema, “Acha tusisikie tena sauti ya Yahwe Mungu wetu, wala kuona moto mkuu tena, wala tutakufa.”
17 And the Lord sayde vnto me, They haue well spoken.
Yahwe alisema nami, “Kile walichosema ni kizuri.
18 I will raise them vp a Prophet from among their brethren like vnto thee, and will put my woordes in his mouth, and he shall speake vnto them all that I shall commaund him.
Nitamwinua nabii kwa ajili yao kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe. Nitaweka maneno yangu katika kinywa chake, na ataongea nao yote niliyowakuamuru.
19 And whosoeuer will not hearken vnto my wordes, which he shall speake in my Name, I will require it of him.
Itakuwa kama yeyote hatasikia maneno yangu ambayo anazungumza kwa jina langu, nitalitaka kwake.
20 But the prophet that shall presume to speake a worde in my name, which I haue not commanded him to speake, or that speaketh in the name of other gods, euen the same prophet shall die.
Lakini nabii ambaye anazungumza neno kwa kiburi kwa jina langu, neno ambalo sijamuamuru kusema, au ambaye anayezungumza kwa jina la miungu mingine, huyo nabii atakufa.
21 And if thou thinke in thine heart, Howe shall we knowe the worde which the Lord hath not spoken?
Hivyo ndivyo unapaswa kusema katika mioyo yenu: “Tutagunduaje kuwa ujumbe ambao Yahwe hajazungumza?
22 When a prophet speaketh in the Name of the Lord, if the thing follow not nor come to passe, that is the thing which the Lord hath not spoken, but the prophet hath spoken it presumptuously: thou shalt not therefore be afraid of him.
Mtagundua ujumbe ambao Yahwe amezungumza pindi nabii azungumzapo kwa jina la Yahwe. Kama hiyo haitokei wala kufanyika, basi hicho ni kile ambacho Yahwe hajazungumza na nabii amezungumza kwa kiburi, na hampaswi kumuogopa.

< Deuteronomy 18 >