< Deuteronomy 10 >

1 In the same time the Lord said vnto me, Hewe thee two Tables of stone like vnto the first, and come vp vnto me into the Mount, and make thee an Arke of wood,
Kwa wakati ule Yahwe alisema kwangu, 'Chonga mbao mbili za mawe kama zile za kwanza, na njoo kwangu huku juu ya mlima, na utengeneze sanduku la mbao.
2 And I will write vpon the Tables ye wordes that were vpon the first Tables, which thou brakest, and thou shalt put them in the Arke.
Nitaandika kwenye mbao maneno ambayo yalikuwa kwenye mbao za kwanza ulizozivunja, na utaziweka ndani ya sanduku.
3 And I made an Arke of Shittim wood, and hewed two Tables of stone like vnto the first, and went vp into the Mountaine, and the two Tables in mine hand.
Basi nilitengeneza sanduku la mbao za mikaratusi, na nikachonga mbao mbili za mawe kwa zile za kwanza, na nikaenda juu ya mlima, nikiwa na mbao mbili mkononi mwangu.
4 Then he wrote vpon the Tables according to the first writing (the tenne commandements, which the Lord spake vnto you in the Mount out of the middes of the fire, in the day of the assemblie) and the Lord gaue them vnto me.
Aliandika kwenye mbao, kama maandishi ya kwanza, amri kumi ambazo Yahwe amesema nanyi kwenye mlima kutoka katikati mwa moto katika siku ya kusanyiko; ndipo Yahwe alilinipa mimi.
5 And I departed, and came downe from the Mount, and put the Tables in the Arke which I had made: and there they be, as the Lord commanded me.
Niligeuka na kushuka chini kutoka mlimani, na kuweka mbao ndani ya sanduku nililokuwa nimetengeneza; hapo zilikaa, kama Yahwe alivyoniamuru.”
6 And ye children of Israel tooke their iourney from Beeroth of the children of Iaakan to Mosera, where Aaron dyed, and was buried, and Eleazar his sonne became Priest in his steade.
(Watu wa Israeli walisafiri kutoka Beerothi ya Bene Jaakan kwenda Moserathi. Huko Aaroni alikufa, na huko alizikwa; Eleazar, mwana wake, alitumika katika ofisi ya ukuhani kwenye nafasi yake.
7 From thence they departed vnto Gudgodah, and from Gudgodah to Iotbath a land of running waters.
Kutokea huko walisafiri kwenda Gudgodah, na kutoka Gudgodah kwenda Jotbathah, nchi yenye mikondo ya maji.
8 The same time ye Lord separated the tribe of Leui to beare the Arke of the couenant of the Lord, and to stand before ye Lord, to minister vnto him, and to blesse in his Name vnto this day.
Kwa wakati huo Yahwe alichagua kabila la Lawi kubeba sanduku la agano la Yahwe, kusimama mbele ya Yahwe kumtumikia na kubariki watu kwa jina lake, kama ilivyo leo.
9 Wherefore Leui hath no part nor inheritance with his brethren: for the Lord is his inheritance, as the Lord thy God hath promised him.
Kwa hiyo Lawi hawana sehemu wala urithi wa nchi pamoja na ndugu zake; Yahwe ni urithi wao, kama Yahwe Mungu wenu alizungumza naye)
10 And I taried in the mount, as at ye first time, fourtie dayes and fourtie nightes, and the Lord heard me at that time also, and the Lord would not destroy thee.
“Nilibaki kwenye mlima kama ilivyokuwa mara ya kwanza, siku arobaini na usiku arobaini. Yahwe alinisikiliza wakati huo pia; Yahwe hakutaka kukuangamiza.
11 But the Lord said vnto me, Arise, goe forth in the iourney before the people, that they may goe in and possesse the land, which I sware vnto their fathers to giue vnto them.
Yahwe alisema nami, “Inuka, nenda mbele ya watu uwaongoze katika safari yao; wataingia na kumiliki nchi ambayo niliapa kwa mababu zao kuwapa.'
12 And nowe, Israel, what doth the Lord thy God require of thee, but to feare the Lord thy God, to walke in all his wayes, and to loue him, and to serue the Lord thy God, with all thine heart, and with all thy soule?
Sasa, Israeli, Yahwe Mungu wenu ataka nini kwenu, isipokuwa hofu ya Yahwe Mungu wenu, kutembea katika njia zake zote, kumpenda yeye, na kumwabudu Yahwe Mungu wenu kwa moyo wenu wote na roho yenu yote.
13 That thou keepe the commandements of the Lord, and his ordinances, which I commaund thee this day, for thy wealth?
Kuzishika amri za Yahwe, na maagizo ambayo ninawaamuru ninyi leo kwa ajili ya uzuri wenu?
14 Beholde, heauen, and the heauen of heauens is the Lords thy God, and the earth, with all that therein is.
Tazama, kwa Yahwe Mungu wenu mbingu ni zake na mbingu za mbingu, dunia, vyote vilivyomo.
15 Notwithstanding, the Lord set his delite in thy fathers to loue them, and did choose their seede after them, euen you aboue all people, as appeareth this day.
Yahwe peke alichukua furaha kwa baba zenu ili kwamba awapende, na aliwachagua ninyi, wazao wao, baada yao, zaidi kuliko ya watu wengine wowote, kama afanyavyo leo.
16 Circumcise therefore the foreskin of your heart, and harden your neckes no more.
Kwa hiyo basi wataili govi la mioyo yao, na msiwe wakaidi tena.
17 For the Lord your God is God of gods, and Lord of lordes, a great God, mightie and terrible, which accepteth no persons nor taketh reward:
Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu, ni Mungu wa miungu na Bwana wa bwana, Mungu mkuu, mwenye nguvu na wakutisha, ambaye hapendelei yeyote na hapokei rushwa-
18 Who doeth right vnto the fatherlesse and widowe, and loueth the stranger, giuing him foode and rayment.
Hutekeleza haki kwa yatima na wajane, na huonesha upendo kwa mgeni kwa kumpa chakula na mavazi.
19 Loue ye therefore the stranger: for ye were strangers in the land of Egypt.
Kwa hiyo basi mpende mgeni; kwa kuwa mlikuwa wageni kutoka nchi ya Misri.
20 Thou shalt feare the Lord thy God: thou shalt serue him, and thou shalt cleaue vnto him, and shalt sweare by his Name.
Mtamche Yahwe Mungu wenu yeye mtamwabudu. Mtashikamana kwake, na kwa jina lake mtaapa.
21 He is thy praise, and hee is thy God, that hath done for thee these great and terrible things, which thine eyes haue seene.
Yeye ni sifa yenu, ni Mungu wenu, ambaye amefanya kwa ajili yenu haya mambo makuu na kutisha, ambayo macho yenu yameyaona.
22 Thy fathers went downe into Egypt with seuentie persons, and now the Lord thy God hath made thee, as ye starres of ye heauen in multitude.
Baba zako walienda Misri kama watu sabini; sasa Yahwe Mungu wako amekufanya wewe kuwa wengi kama nyota za mbinguni.

< Deuteronomy 10 >