< 1 Chronicles 8 >

1 Now Benjamin beget Bale his firstborn, Asbel the second, Ahara the third,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Nohaa the fourth, and Rapha the fifth.
Noha, na Rafa.
3 And the sons of Bale were Addar, and Gera, and Abiud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 And Abisue, and Naamar, and Ahoe,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 And Gera, and Sephuphan, and Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 These are the sons of Ahod, heads of families that dwelt in Gabaa, who were removed into Mrtnahsth.
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 And Naaman, and Achia, and Gera he removed them, and beget Oza, and Ahiud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 And Saharim begot in the land of Moab, after he sent away Husim and Bara his wives.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 And he beget of Hodes his wife Jobab, and Sebia, and Mesa, and Molchom,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 And Jehus and Sechia, and Marma. These were his sons heads of their families.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 And Mehusim beget Abitob, and Elphaal.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 And the sons of Elphaal were Heber, and Misaam, and Samad: who built One, and Led, and its daughters.
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 And Baria, and Sama were heads of their kindreds that dwelt in Aialon: these drove away the inhabitants of Geth.
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 And Ahio, and Sesac, and Jerimoth,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 And Zabadia, and Arod, and Heder,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 And Michael, and Jespha, and Joha, the sons of Baria.
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 And Zabadia, and Mosollam, and Hezeci, and Heber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 And Jesamari, and Jezlia, and Jobab, sons of Elphaal,
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 And Jacim, and Zechri, and Zabdi,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 And Elioenai, and Selethai, and Elial,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 And Adaia, and Baraia, and Samareth, the sons of Semei.
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 And Jespham, and Heber, and Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 And Abdon, and Zechri, and Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 And Hanania, and Elam, and Anathothia.
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 And Jephdaia, and Phanuel the sons of Sesac.
Ifdeia, na Penueli.
26 And Samsari, and Sohoria and Otholia,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 And Jersia, and Elia, and Zechri, the sons of Jeroham.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 These were the chief fathers, and heads of their families who dwelt in Jerusalem.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 And at Gabaon dwelt Abigabaon, and the name of his wife was Maacha:
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 And his firstborn son Abdon, and Sur, and Cia, and Baal, and Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 And Gedor, and Ahio, and Zacher, and Macelloth:
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 And Macelloth beget Samaa: and they dwelt over against their brethren in Jerusalem with their brethren.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 And Ner beget Cia, and Cia beget Saul. And Saul begot Jonathan and Melchisua, and Abinadab, and Esbaal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 And the son of Jonathan was Meribbaal: and Meribbaal begot Micha.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 And the sons of Micha were Phithon, and Melech, and Tharaa, and Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 And Ahaz beget Joada: and Joada beget Alamath, and Azmoth, and Zamri: and Zamri beget Mesa,
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 And Mesa beget Banaa, whose son was Rapha, of whom was born Elasa, who beget Asel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 And Asel had six sons whose names were Ezricam, Bochru, Ismahel, Saria, Obdia, and Hanan. All these were the sons of Asel.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 And the sons of Esec, his brother, were Ulam the firstborn, and Jehus the second, and Eliphelet the third.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 And the sons of Ulam were most valiant men, and archers of great strength: and they had many sons and grandsons, even to a hundred and fifty. All these were children of Benjamin.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Chronicles 8 >