< 1 Chronicles 1 >

1 Adam, Seth, Enosh,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Cainan, Mahalaleel, Jared,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Enoch, Methushelah, Lemech,
Enoki, Methusela, Lameki, Noa.
4 Noah; Shem, Ham, and Japheth.
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.
5 The sons of Japheth: Gomer, and Magog, and Madai, and Javan, and Tubal, and Meshech, and Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6 — And the sons of Gomer: Ashkenaz, and Diphath, and Togarmah.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7 And the sons of Javan: Elishah and Tarshish, Kittim and Rodanim.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
8 The sons of Ham: Cush and Mizraim, Phut and Canaan.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9 — And the sons of Cush: Seba and Havilah, and Sabta, and Raama, and Sabtecha. And the sons of Raamah: Sheba and Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10 And Cush begot Nimrod: he began to be mighty on the earth.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11 — And Mizraim begot the Ludim, and the Anamim, and the Lehabim, and the Naphtuhim,
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 and the Pathrusim, and the Casluhim out of whom came the Philistines, and the Caphtorim.
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13 — And Canaan begot Zidon his firstborn, and Heth,
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14 and the Jebusite, and the Amorite, and the Girgashite,
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15 and the Hivite, and the Arkite, and the Sinite,
Wahivi, Waariki, Wasini,
16 and the Arvadite, and the Zemarite, and the Hamathite.
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17 The sons of Shem: Elam, and Asshur, and Arphaxad, and Lud, and Aram, and Uz, and Hul, and Gether, and Meshech.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18 — And Arphaxad begot Shelah, and Shelah begot Eber.
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19 And to Eber were born two sons: the name of the one was Peleg, for in his days was the earth divided; and his brother's name was Joktan.
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20 And Joktan begot Almodad, and Sheleph, and Hazarmaveth, and Jerah,
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 and Hadoram, and Uzal, and Diklah,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 and Ebal, and Abimael, and Sheba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 and Ophir, and Havilah, and Jobab: all these were sons of Joktan.
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
24 Shem, Arphaxad, Shelah,
Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25 Eber, Peleg, Reu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nahor, Terah,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Abram: the same is Abraham.
Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).
28 The sons of Abraham: Isaac and Ishmael.
Abrahamu alikuwa na wana wawili: Isaki na Ishmaeli.
29 These are their generations: the firstborn of Ishmael, Nebaioth; and Kedar, and Adbeel, and Mibsam;
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari: Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30 Mishma and Dumah; Massa, Hadad, and Tema;
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Naphish, and Kedmah: those are the sons of Ishmael.
Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 — And the sons of Keturah, Abraham's concubine: she bore Zimran, and Jokshan, and Medan, and Midian, and Ishbak, and Shuah. And the sons of Jokshan: Sheba and Dedan.
Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa: Sheba na Dedani.
33 And the sons of Midian: Ephah, and Epher, and Enoch, and Abida, and Eldaah. All these were sons of Keturah.
Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.
34 And Abraham begot Isaac. The sons of Isaac: Esau and Israel.
Abrahamu alikuwa baba wa Isaki. Wana wa Isaki walikuwa: Esau na Israeli.
35 The sons of Esau: Eliphaz, Reuel, and Jeush, and Jaalam, and Korah.
Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.
36 — The sons of Eliphaz: Teman and Omar, Zephi and Gatam, Kenaz, and Timna, and Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.
37 The sons of Reuel: Nahath, Zerah, Shammah, and Mizzah.
Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.
38 And the sons of Seir: Lotan, and Shobal, and Zibeon, and Anah, and Dishon, and Ezer, and Dishan.
Wana wa Seiri walikuwa: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.
39 — And the sons of Lotan: Hori and Homam. And Lotan's sister, Timna.
Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.
40 — The sons of Shobal: Alian, and Manahath, and Ebal, Shephi and Onam. — And the sons of Zibeon: Ajah and Anah.
Wana wa Shobali walikuwa: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu. Wana wa Sibeoni walikuwa: Aiya na Ana.
41 — The sons of Anah: Dishon. — And the sons of Dishon: Hamran, and Eshban, and Jithran, and Cheran.
Mwana wa Ana alikuwa: Dishoni. Nao wana wa Dishoni walikuwa: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.
42 — The sons of Ezer: Bilhan, and Zaavan, [and] Jaakan. — The sons of Dishan: Uz and Aran.
Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.
43 And these are the kings that reigned in the land of Edom before there reigned a king over the children of Israel: — Bela the son of Beor; and the name of his city was Dinhabah.
Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44 And Bela died; and Jobab the son of Zerah of Bozrah reigned in his stead.
Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45 And Jobab died; and Husham of the land of the Temanites reigned in his stead.
Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46 And Husham died; and Hadad the son of Bedad, who smote Midian in the fields of Moab, reigned in his stead: and the name of his city was Avith.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47 And Hadad died; and Samlah of Masrekah reigned in his stead.
Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48 And Samlah died; and Saul of Rehoboth on the river reigned in his stead.
Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49 And Saul died; and Baal-hanan the son of Achbor reigned in his stead.
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50 And Baal-hanan died; and Hadad reigned in his stead: and the name of his city was Pai; and his wife's name was Mehetabel the daughter of Matred, daughter of Mezahab.
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51 And Hadad died. And the chiefs of Edom were: chief Timna, chief Aliah, chief Jetheth,
Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,
52 chief Oholibamah, chief Elah, chief Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 chief Kenaz, chief Teman, chief Mibzar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 chief Magdiel, chief Iram. These were the chiefs of Edom.
Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

< 1 Chronicles 1 >