< Psalms 62 >

1 Unto the end. For Jeduthun. A Psalm of David. Will my soul not be subject to God? For from him is my salvation.
Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; wokovu wangu watoka kwake.
2 Yes, he himself is my God and my salvation. He is my supporter; I will be moved no more.
Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa kamwe.
3 How is it that you rush against a man? Every one of you puts to death, as if you were pulling down a ruined wall, leaning over and falling apart.
Mpaka lini, ninyi nyote, mtamshambulia mtu, ili kwamba mumpindue yeye kama ukuta ulio inama au kama fensi isiyo imara?
4 So, truly, they intended to reject my price. I ran in thirst. They blessed with their mouth and cursed with their heart.
Wanashauliana naye ili tu kumshusha chini kutoka kwenye nafasi yake heshimiwa; wao wanapenda kuongea uongo; wanambariki yeye kwa midomo yao, lakini mioyoni mwao wana mlaani yeye. (Selah)
5 Yet, truly, my soul will be subject to God. For from him is my patience.
Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; kwa maana matumaini yangu yako kwake.
6 For he is my God and my Savior. He is my helper; I will not be expelled.
Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa.
7 In God is my salvation and my glory. He is the God of my help, and my hope is in God.
Na Mungu ni wokovu wangu na utukufu wangu; mwamba wa nguvu yangu na kimbilio langu salama liko katika Mungu.
8 All peoples gathered together: trust in him. Pour out your hearts in his sight. God is our helper for eternity.
Mwaminini Mungu wakati wote, ninyi watu; mimina moyo wako mbele zake; Mungu ni kimbilio salama kwa ajili yetu. (Selah)
9 So, truly, the sons of men are untrustworthy. The sons of men are liars in the scales, so that, by emptiness, they may deceive among themselves.
Hakika watu wenye msimamo mdogo ni ubatili, na watu wenye msimamo mkubwa ni waongo; wao watakuwa wepesi kwenye mzani; uzito wao pamoja ni wepesi kuliko kitu chochote.
10 Do not trust in iniquity, and do not desire plunder. If riches flow toward you, do not be willing to set your heart on them.
Usiamini katika ukandamizaji au wizi; usitumainie utajiri, maana hawatazaa matunda; usiuweke moyo wako kwenye hivyo.
11 God has spoken once. I have heard two things: that power belongs to God,
Mungu ameongea mara moja, mara mbili nimesikia hili: nguvu ni za Mungu.
12 and that mercy belongs to you, O Lord. For you will repay each one according to his works.
Pia kwako, Bwana, ni uaminifu wa agano, maana humlipa kila mtu kwa kile alichokifanya.

< Psalms 62 >