< Jeremiah 14 >

1 The word of the Lord that came to Jeremiah concerning the words of the drought.
Neno la Bwana lilimjia Yeremia kuhusu ukame,
2 “Judea has mourned. And its gates have fallen and become hard to discern on the ground. And the outcry of Jerusalem has ascended.
“Wayahudi waomboleze; basi milango yake ianguke. Wao wanaomboleza kwa ajili ya ardhi; Kilio chao kwa Yerusalemu kimepaa juu.
3 The greater ones have sent their lesser ones to the water. They went to draw water; they did not find water; they carried their vessels back empty. They were confounded and afflicted, and so they covered their heads.
Wenye nguvu huwatuma watumishi wao kwa ajili ya maji. Wanapoingia kwenye visima, hawawezi kupata maji. Wote wanarudi hawajafanikiwa; Wao hufunika vichwa vyao na aibu.
4 Because of the devastation of the earth, because rain did not fall upon the earth, the farmers were confounded; they covered their heads.
Kwa sababu hii ardhi imepasuka, kwa maana hakuna mvua katika nchi. Wakulima huwa na aibu na kufunika vichwa vyao.
5 For even the doe has given birth in the field, and then left it behind. For there was no grass.
Kwa maana hata kunguru huwaacha wanawe katika mashamba, kwa maana hakuna nyasi.
6 And the wild donkeys stood upon the rocks; like dragons, they drew in the wind, but their eyes failed. For there was no grass.”
Punda mwitu husimama kwenye mabonde yaliyo wazi na hupiga upepo kama mbweha. Macho yao yanashindwa kufanya kazi, kwa maana hakuna mimea.
7 “O Lord, if our iniquities have responded against us, let it be for the sake of your name. For our rebellions are many; we have sinned against you.
Hata ingawa maovu yetu yanatushuhudia, Bwana, tenda kwa ajili ya jina lako. Kwa sababu matendo yetu yasiyo na imani yamezidi; tumekutenda dhambi.
8 O Hope of Israel, its Savior in time of tribulation, why would you be like a sojourner in the land, and like a traveler turning aside for lodging?
Matumaini ya Israeli, yule anayemwokoa wakati wa dhiki, kwa nini utakuwa kama mgeni katika nchi, kama mtu akaaye nchi ya kigeni ambaye hujinyoosha na kutumia hutumia usiku mmoja tu?
9 Why would you be like a wandering man, like a strong man who is unable to save? But you, O Lord, are with us, and your name is invoked over us, so do not abandon us!”
Kwa nini utakuwa kama mtu aliyechanganyikiwa, kama shujaa ambaye hawezi kuokoa mtu yeyote? Kwa maana wewe u katikati yetu, Bwana! Jina lako limetangazwa juu yetu. Usiondoke
10 Thus says the Lord to this people, who have loved to move their feet, and who have not rested, but who have not pleased the Lord: “Now he will remember their iniquities, and now he will visit against their sins.”
Bwana awaambia hivi watu hawa “Kwa kuwa wanapenda kutanga tanga, hawakuzuia miguu yao kufanya hivyo.” Bwana hafurahi nao. Sasa anawakumbusha uovu wao na ameadhibu dhambi zao.
11 And the Lord said to me: “Do not choose to pray for this people for good.
Bwana akaniambia, Usiombe kwa ajili ya watu hawa.
12 When they will fast, I will not heed their petitions. And if they offer holocausts and victims, I will not accept them. For I will consume them by the sword, and by famine, and by pestilence.”
Maana ikiwa wanafunga, sitasikiliza kulia kwao; na wanapotoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za unga, sitawafurahia. Kwa maana nitawaangamiza kwa upanga, njaa, na tauni.
13 And I said: “Alas, alas, alas, O Lord God! The prophets are saying to them: ‘You will not see the sword, and there will be no famine among you. Instead, he will give you true peace in this place.’”
Ndipo nikasema, “Ee Bwana, Bwana! Angalia! mabii wanawaambia watu, 'Huwezi kuona upanga; hakutakuwa na njaa kwako, kwa kuwa nitakupa usalama wa kweli mahali hapa.'”
14 And the Lord said to me: “The prophets prophesy falsely in my name. I did not send them, and I did not instruct them, and I have not spoken to them. They prophesy to you a lying vision, and a divination, and a fraud, and a seduction from their own heart.
Bwana akaniambia, 'manabii wanatabiri uongo kwa jina langu. Sikuwafukuza, wala sikuwapa amri au kusema nao. Lakini maono ya udanganyifu na ya maana, uchawi wa udanganyifu unaotokana na akili zao ndicho wanachowahubiria.”
15 For this reason, thus says the Lord about the prophets who prophesy in my name, whom I have not sent, who say: ‘Sword and famine will not be in this land.’ By sword and famine those prophets will be consumed.
Kwa hiyo Bwana asema hivi, “Kwa habari ya manabii wakihubiri kwa jina langu, ambao mimi siwakutuma; wale wanaosema kuwa hakutakuwa na upanga wala njaa katika nchi hii mabii hawa wataangamia kwa upanga na njaa.
16 And the people, to whom they prophesy, will be cast into the streets of Jerusalem, due to famine and the sword, and there will be no one who may bury them, they and their wives, their sons and daughters, and I will pour out their own evil upon them.
Na watu waliopewa utabiri watafukuzwa nje ya barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga; kwa kuwa hakuna mtu wa kuwazikas-wao, na wake zao, na wana wao, wala binti zao; kwa maana nitamwaga uovu wao wenyewe juu yao.
17 And you shall speak this word to them: Let my eyes shed tears throughout the night and day, and let them not cease. For the virgin daughter of my people has been crushed by a great affliction, by a very grievous wound.”
Sema neno hili kwao 'Acha macho yangu yatokwe machozi, usiku na mchana. wala yasikome, kwa kuwa kutakuwa na kuanguka kwa bikira, binti ya watu wangu - jeraha kubwa lisilotibika.
18 “If I go out into the fields: behold, those slain by the sword. And if I enter into the city: behold, those weakened by famine. Likewise, the prophet, too, and the priest, have gone into a land that they did not know.
Ikiwa nitatoka kwenye shamba basi angalia! kuna wale waliouawa kwa upanga. Na kama nitakuja mjini, basi, tazama! kuna wale walio na ugonjwa wa njaa. Hata nabii na kuhani wote wanatembea juu ya nchi bila maarifa.'”
19 Could you have utterly cast out Judah? Or has your soul abhorred Zion? Then why have you struck us, so much so that there is no health for us? We have waited for peace, but there is nothing good, and for the time of healing, and behold, trouble.
Je! Umemkataa kabisa Yuda? Je, unaichukia Sayuni? Kwa nini umetupiga wakati hakuna uponyaji kwetu? Tulitumaini amani, lakini hapakuwa na kitu kizuri-na kwa wakati wa uponyaji, lakini tazama, kuna hofu tu.
20 O Lord, we acknowledge our impieties, the iniquities of our fathers, that we have sinned against you.
Tunakubali, Bwana, makosa yetu, uovu wa babu zetu, kwa kuwa tumekukosea.
21 For the sake of your name, do not give us over into disgrace. And do not dishonor in us the throne of your glory. Remember, do not make void, your covenant with us.
Usitukatae! Kwa ajili ya jina lako, usikifedheheshe kiti chako cha enzi cha utukufu. Kumbuka na usivunje agano lako na sisi.
22 Could any of the graven images of the Gentiles send rain? Or are the heavens able to give showers? Have we not hoped in you, the Lord our God? For you have made all these things.”
Je, kuna miongoni mwa sanamu za mataifa yeyote zinazoweza kuifanya mbingu kutoa mvua? Je, si wewe, Bwana Mungu wetu, ambaye hufanya jambo hili? Tunatumaini kwako, kwa kuwa umefanya mambo haya yote.

< Jeremiah 14 >