< Isaiah 58 >

1 Cry out! Cease not! Exalt your voice like a trumpet, and announce to my people their wicked acts, and to the house of Jacob their sins.
''Lia kwa sauti; usinyamaze. Paza sauti yako juu kama mbiu. Kabiliana na watu wangu wenye uasi, na nyumba ya Yakobo na dhambi zao.
2 For they also seek me, from day to day, and they are willing to know my ways, like a nation which has done justice and has not abandoned the judgment of their God. They petition me for judgments of justice. They are willing to draw near to God.
Bali wananitafuta mimi kila siku na kufurahia katika maarifa ya njia zangu, kama taifa linalotenda haki na hawakuiacha sheria ya Mungu wao. Wananiuliza mimi kuhusu hukumu ya haki; wamepata furaha katika mawazo yao ya kwa kumkaribia Mungu
3 “Why have we fasted, and you have not taken notice? Why have we humbled our souls, and you have not acknowledged it?” Behold, in the day of your fasting, your own will is found, and you petition for payment from all your debtors.
Kwa niini tulifunga; walisema, 'Lakini hamkuona hilo? Kwa nini tulijinyenyekeza wenywe, lakini hakutambua?' Tazama, siku ya kufunda kwanu utatafuta furaha yanu mwenyewe na kuwanyanyasa wafanyakazi wenu wote.
4 Behold, you fast with strife and contention, and you strike with the fist impiously. Do not choose to fast as you have done even to this day. Then your outcry will be heard on high.
Tazama, ninyi mnafunga ili muwe wepesi wa kugombana na kupigana, na kupiga kwa ngumi ya uovu wako; haujafunga leo kuifanya sauti yako isikike juu.
5 Is this a fast such as I have chosen: for a man to afflict his soul for a day, to contort his head in a circle, and to spread sackcloth and ashes? Should you call this a fast and a day acceptable to the Lord?
Kwa uhalisi aina ya mfungo huu ndio ambao ninauhitaji: Siku ambayo kila mtu hunyenyekea mwenyewe, huinamisha kichwa chake chini kama mwanzi, na hutawanya mavazi ya magunia na majivu chini yake? Je kweli unauita huu ni mfungo, siku ya kumfurahisha Yahwe?
6 Is not this, instead, the kind of fast that I have chosen? Release the constraints of impiety; relieve the burdens that oppress; freely forgive those who are broken; and break apart every burden.
Hii sio mfungo ambao niliuchagua mimi: kufungua vifungo vya waovu, kufungua kamba za nira, kuwaweka huru walioangamizwa, na kuharibu kila nira?
7 Break your bread with the hungry, and lead the destitute and the homeless into your house. When you see someone naked, cover him, and do not despise your own flesh.
Sio kwamba kula mkate na wenye njaa na kuwaleta masikini na kuwaleta wasio na makazi katika nyuma yako?'' Unapomuana mtu yuko uchi, unatakiwa vumvishe mavazi; na usijifiche mwenyewe na ndugu zako.
8 Then your light will break forth like the morning, and your health will improve quickly, and your justice will go before your face, and the glory of the Lord will gather you up.
Halafu mwanga wako utafunguliwa kama jua, na uponyaji wako utachipukia juu kwa haraka; haki yako itaenda mbele zake, na na utukufu wa Yahwe utakuwa nyuma kukulinda.
9 Then you will call, and the Lord will heed; you will cry out, and he will say, “Here I am,” if you take away the chains from your midst, and cease to point your finger and to speak what is not beneficial.
Halafu utamuita, na Yahwe atakuitikia; utalia ukihitaji msaada, na atasema, ''Nipo hapa.'' Ikiwa utaitoa nira isiwepo miongoni mwako, kidole kinachoshataki, maongezi ya waovu,
10 When you pour out your life for the hungry, and you satisfy the afflicted soul, then your light will rise up in darkness, and your darkness will be like the midday.
Ikiwa wewe mwenyewe utawapa wenye njaa na kuwaridhisha wahitaji katika shida, na giza lako litakuwa kama mchana.
11 And the Lord will give you rest continually, and he will fill your soul with splendor, and he will free your bones, and you will be like a watered garden and like a fountain of water whose waters will not fail.
Halafu Yahwe ataendelea kuwaongoza ninyi na kuwa ridhisha ninyi katika mikoa ambayo hakuna maji, Ataimarisha mifupa yenu. Mtakuwa kama bustani iliyonyeshewa maji, na kama mkondo wa maji, ambaopo maji yake hayapungui.
12 And places that have been desolate for ages will be built up by you. You will raise a foundation for generation after generation. And you will be called the repairer of hedges, who turns the roadways into quiet places.
Baadhi yenu mtajenga tena sehumu za kale zilizoharibiwa; mtatengeneza sehemu zilizoharibiwana vizazi vingi; na mtaitwa ''Mrekebishaji wa ukuta,'' kuwarejesha katika mtaa ya kuishi.''
13 If you restrain your foot on the Sabbath, from doing your own will on my holy day, and if you call the Sabbath delightful, and the Holy of the Lord glorious, and if you glorify him, while you do not act according to your own ways, and your own will is not found, not even to speak a word,
Tuseme kwamba ukigeuza nyuma miguu yenu kutoka safarini katika siku ya sabato, kufanya anasa siku yangu takatifu, Tuseme kwamba umeiita sabato siku ya furaha, na umeiita siku ya Bwana Yahwe mtakatifu na yenye kuheshimiwa. Tuseme kwamba unahieshimu sabato kwa kuacha biashara zako, na hautafuti anasa zako mwenyewe na uzungumzi maneno yako mwenyewe.
14 then you will find delight in the Lord, and I will take you up, above the heights of the earth, and I will nourish you with the inheritance of Jacob, your father. For the mouth of the Lord has spoken.
''Halafu utapata furaha kwa Yahwe; na nitaifanya safari yako juu ya urefu wa nchi; Nitakulisha wewe kwenye urithi wa Yakobo baba yenu- maana mdomo wa Yahwe umezungumza.''

< Isaiah 58 >