< 1 Chronicles 8 >

1 Now Benjamin conceived Bela as his firstborn, Ashbel the second, Aharah the third,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Nohah the fourth, and Rapha the fifth.
Noha, na Rafa.
3 And the sons of Bela were: Addar, and Gera, and Abihud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 as well as Abishua, and Naaman, and Ahoah,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 then also Gera, and Shephuphan, and Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 These are the sons of Ehud, leaders of the kindred living in Geba, who were moved away to Manahath.
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 And Naaman, and Ahijah, and Gera, he also moved them away; and he conceived Uzza and Ahihud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Then Shaharaim conceived, in the region of Moab, after he sent away Hushim and Baara, his wives;
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 and so, of his wife Hodesh, he conceived Jobab, and Zibia, and Mesha, and Malcam,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 and also Jeuz and Sachia, and Mirmah. These were his sons, the leaders of their families.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 Truly, of Hushim he conceived Abitub and Elpaal.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 And the sons of Elpaal were Eber, and Misham, and Shemed, who built Ono and Lod and its daughters.
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 Now Beriah and Shema were leaders of their families living in Aijalon; these put to flight the inhabitants of Gath.
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 And Ahio, and Shashak, and Jeremoth,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 and Zebadiah, and Arad, and Eder,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 as well as Michael, and Ishpah, and Joha, were the sons of Beriah.
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 Then Zebadiah, and Meshullam, and Hizki, and Heber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 and Ishmerai, and Izliah, and Jobab were the sons of Elpaal.
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 Then Jakim, and Zichri, and Zabdi,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 and Elienai, and Zillethai, and Eliel,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 and Adaiah, and Beraiah, and Shimrath were the sons of Shimei.
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 Then Ishpan, and Eber, and Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 and Abdon, and Zichri, and Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 and Hananiah, and Elam, and Anthothijah,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 and Iphdeiah, and Penuel were the sons of Shashak.
Ifdeia, na Penueli.
26 Then Shamsherai, and Shehariah and Athaliah,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 and Jaareshiah, and Elijah, and Zichri were the sons of Jeroham.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 These were the patriarchs and leaders of the families who were living in Jerusalem.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 Now in Gibeon, there lived Jeiel, the father of Gibeon; and the name of his wife was Maacah,
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 and his firstborn son was Abdon, and then Zur, and Kish, and Baal, and Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 and Gedor, and Ahio, and Zecher, and Mikloth.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 And Mikloth conceived Shimeah. And they lived opposite their brothers in Jerusalem, with their brothers.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Now Ner conceived Kish, and Kish conceived Saul. Then Saul conceived Jonathan, and Malchishua, and Abinadab, and Eshbaal.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 And the son of Jonathan was Meribbaal; and Meribbaal conceived Micah.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 The sons of Micah were Pithon, and Melech, and Tarea, and Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 And Ahaz conceived Jehoaddah. And Jehoaddah conceived Alemeth, and Azmaveth, and Zimri. And Zimri conceived Moza.
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 And Moza conceived Binea, whose son was Raphah, of whom was born Eleasah, who conceived Azel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 Now there were six sons for Azel, whose names were Azrikam, Bocheru, Ishmael, Sheariah, Obadiah, and Hanan. All these were the sons of Azel.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Then the sons of Eshek, his brother, were Ulam the firstborn, and Jeush the second, and Eliphelet the third.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 And the sons of Ulam were very robust men, drawing the bow with great strength. And they had many sons and grandsons, even to one hundred fifty. All these were sons of Benjamin.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Chronicles 8 >