< Isaiah 2 >

1 The word which Isaiah, the son of Amoz, saw about Judah and Jerusalem.
Vitu ambavyo Isaya mtoto Amozi alivijua katika maono, kuhusu Yuda na Yerusalemu.
2 And it will come about in the last days, that the mountain of the Lord will be placed on the top of the mountains, and be lifted up over the hills; and all nations will come to it.
Na itakuwa katika siku za mwisho, ule mlima wa nyumba ya Yahwe itaanzishwa kama mlima mrefu zaidi, na utanyanyuliwa juu ya vilima, na mataifa yote yatakusanyika pale.
3 And the peoples will say, Come, and let us go up to the mountain of the Lord, to the house of the God of Jacob: and he will give us knowledge of his ways, and we will be guided by his word; for out of Zion the law will go out, and the word of the Lord from Jerusalem.
Watu wengi watakuja na kusema, ''Njooni, twendeni juu ya mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo, kwa hiyo anaweza kutufundisha baadhi ya njia zake na tunaweza kutembea katika njia zake.'' Nje ya Sayuni itaenda sheria na neno la Yahwe litatoka Yerualemu.
4 And he will be the judge between the nations, and the peoples will be ruled by his decisions: and their swords will be turned into plough-blades, and their spears into vine-knives: no longer will the nations be turning their swords against one another, and the knowledge of war will be gone for ever.
Atahukumu kati ya mataifa na atatoa maamuzi kwa watu wote; watayapiga nyungo mapanga yao kuwa majembe, na mikiku yao kama ya kukatia ndoano; taifa halitanyanyua upanga juu ya taifa lingine, na wala hawata jiandaa kwa vita tena.
5 O family of Jacob, come, and let us go in the light of the Lord.
Nyumba ya Yakobo, njooni, na tutembee katika mwanga wa Yahwe.
6 For you, O Lord, have given up your people, the family of Jacob, because they are full of the evil ways of the east, and make use of secret arts like the Philistines, and are friends with the children of strange countries.
Kwa maana mmewatekeleza watu wenu, nyumba ya Yakobo, wamejazwa na desturi kutoka mashariki na dalili kutokea kama mfilisti, na watasalimiana kwa mikono na wana wa wageni.
7 And their land is full of silver and gold, and there is no end to their stores; their land is full of horses, and there is no end to their carriages.
Nchi yao imejaa fedha na dhahabu, na hakuna mipaka katika utajiri wao; nchi yao pia imejaa farasi, wala hakuna mipika ya magari.
8 Their land is full of images; they give worship to the work of their hands, even to that which their fingers have made.
Nchi yao pia imejaa sanamu; wanaabu utengenezaji wa mikono yao wenyewe, vitu aambavyo vidole vyao vimetengeneza.
9 And the poor man's head is bent, and the great man goes down on his face: for this cause there will be no forgiveness for their sin.
Watu watainama chini, na kila mmoja atanguka chini; hivyo basi msiwanyanyue juu.
10 Go into a hole in the rock, covering yourselves with dust, in fear of the Lord, before the glory of his power.
Nendeni maeneo yenye miamba na mjifiche kwenye aridhi kwa hofu ya Yahwe na kwa utukufu wa enzi yake.
11 The high looks of man will be put to shame, and the pride of men will be made low, and only the Lord will be lifted up in that day.
Mtu anaye tazama kwa kujivuna atashushw chini, na kiburi cha watu kitashushwa chini, na Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
12 For the day of the Lord of armies is coming on all the pride of men, and on all who are high and lifted up;
Maana kutakuwa na siku ya Yahwe wa majeshi juu ya yeyote anayejigamba na kujiinua juu, na dhidi ya yeyote mwenye kiburi na atashushwa chini-
13 And on all the high trees of Lebanon, and on all the strong trees of Bashan;
na dhidi ya mierezi ya Lebanoni iliyo juu na kupandishwa juu, na dhidi ya mialoni ya Bashani.
14 And on all the high mountains, and on all the hills which are lifted up;
Siku hiyo ya Yahwe wa majeshi itakuwa dhidi ya milima yote mirefu, na dhidi ya vilima vyote vilivyonyanyuliwa juu,
15 And on every high tower, and on every strong wall;
na dhidi ya minara mirefu, na dhidi ya kila ukutaunaojitokeza,
16 And on all the ships of Tarshish, and on all the fair boats.
na dhidi ya merikebu zote za Tarshishi, na dhidi ya vyombo vizuri vya meli.
17 And the high looks of man will be put to shame, and the pride of men will be made low: and only the Lord will be lifted up in that day.
Kiburi cha mwanaume kitashushwa chini, na kiburi cha wanaume kitaanguka; Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
18 And the images will never be seen again.
Sanamu zote zitaondolewa.
19 And men will go into cracks of the rocks, and into holes of the earth, for fear of the Lord, and before the glory of his power, when he comes out of his place, shaking the earth with his strength.
Wanaume wataingia kwenye mapango ya miamba na mashimo ya aridhi, kwa hofu ya Yahwe, na kwa utukufu wa enzi yake, atakapo nyanyuka na kuitisha nchi.
20 In that day men will put their images of silver and of gold, which they made for worship, in the keeping of the beasts of the dark places;
Siku hiyo watu watatupa sanamu zao za fedha na dhahabu ambazo wametengeneza wenyewe kwa ajili ya kuabudia - watazitupa mbali kwa fuko na popo.
21 To take cover in the cracks of the rocks, and in the holes of the hills, for fear of the Lord, and before the glory of his power, when he comes out of his place, shaking the earth with his strength.
Watu wataingia kwenye miamba kupitia mwanya itakuwa miamba chakavu, kwa hofu ya Yahwe na utukufu wa enzi yake,
22 Have no more to do with man, whose life is only a breath, for he is of no value.
usimwaminia mtu, ambae pumzi yake inatokea katika pua yake, ni kwa kiasi gan?

< Isaiah 2 >