< Song of Solomon 1 >

1 The Song of songs, which is Solomon’s.
Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
2 Let him kiss me with the kisses of his mouth; for your love is better than wine.
O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
3 Your oils have a pleasing fragrance. Your name is oil poured out, therefore the virgins love you.
Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
4 Take me away with you. Let’s hurry. The king has brought me into his rooms. Friends We will be glad and rejoice in you. We will praise your love more than wine! Beloved They are right to love you.
Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
5 I am dark, but lovely, you daughters of Jerusalem, like Kedar’s tents, like Solomon’s curtains.
Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
6 Do not stare at me because I am dark, because the sun has scorched me. My mother’s sons were angry with me. They made me keeper of the vineyards. I have not kept my own vineyard.
Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
7 Tell me, you whom my soul loves, where you graze your flock, where you rest them at noon; for why should I be as one who is veiled beside the flocks of your companions?
Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
8 If you do not know, most beautiful among women, follow the tracks of the sheep. Graze your young goats beside the shepherds’ tents.
Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
9 I have compared you, my love, to a steed in Pharaoh’s chariots.
Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
10 Your cheeks are beautiful with earrings, your neck with strings of jewels.
Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
11 We will make you earrings of gold, with studs of silver.
Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
12 While the king sat at his table, my perfume spread its fragrance.
Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
13 My beloved is to me a sachet of myrrh, that lies between my breasts.
Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
14 My beloved is to me a cluster of henna blossoms from the vineyards of En Gedi.
Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
15 Behold, you are beautiful, my love. Behold, you are beautiful. Your eyes are like doves.
Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
16 Behold, you are beautiful, my beloved, yes, pleasant; and our couch is verdant.
Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
17 The beams of our house are cedars. Our rafters are firs.
Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.

< Song of Solomon 1 >