< Psalms 75 >

1 For the Chief Musician. To the tune of “Do Not Destroy.” A Psalm by Asaph. A song. We give thanks to you, God. We give thanks, for your Name is near. Men tell about your wondrous works.
Tunatoa shukrani kwako, Mungu; tunatoa shukrani, maana wewe unaufunua uwepo wako; watu huzungumza kuhusu kazi zako za ajabu.
2 When I choose the appointed time, I will judge blamelessly.
Kwa wakati maalum nitahukumu kwa haki.
3 The earth and all its inhabitants quake. I firmly hold its pillars. (Selah)
Ingawa nchi na wenyeji wote watatikisika katika hofu, ninaifanyia nchi nguzo za kutosha. (Selah)
4 I said to the arrogant, “Do not boast!” I said to the wicked, “Do not lift up the horn.
Nilisema kwa wenye kiburi, “Msiwe wenye kiburi,” na kwa waovu, “Msiinue mapembe.
5 Do not lift up your horn on high. Do not speak with a stiff neck.”
Msiinue mapembe yenu kwenye marefu; wala msizungumze kwa shingo ya kiburi.”
6 For neither from the east, nor from the west, nor yet from the south, comes exaltation.
Sio kutoka mashariki au magharibi, na wala sio kutoka jangwani ambako kuinuliwa kunakuja.
7 But God is the judge. He puts down one, and lifts up another.
Bali Mungu ni muhumkumu; humshusha huyu na kumuinua huyu.
8 For in the LORD’s hand there is a cup, full of foaming wine mixed with spices. He pours it out. Indeed the wicked of the earth drink and drink it to its very dregs.
Kwa kuwa Yahwe kashikilia mkononi mwake kikombe cha mvinyo wenye povu, ambao umechanganywa na vilolezo, naye huimimina. Hakika waovu wote wa duniani watakunywa mvinyo hadi tone la mwisho.
9 But I will declare this forever: I will sing praises to the God of Jacob.
Bali mimi nitaendelea kusema yale ambayo umeyatenda; nami nitamwimbia sifa Mungu wa Yakobo.
10 I will cut off all the horns of the wicked, but the horns of the righteous shall be lifted up.
Yeye husema, “Nitayakata mapembe yote ya waovu, lakini mapembe ya wenye haki yatainuliwa.”

< Psalms 75 >