< Psalms 108 >

1 A Song. A Psalm by David. My heart is steadfast, God. I will sing and I will make music with my soul.
Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
2 Wake up, harp and lyre! I will wake up the dawn.
Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
3 I will give thanks to you, LORD, among the nations. I will sing praises to you among the peoples.
Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
4 For your loving kindness is great above the heavens. Your faithfulness reaches to the skies.
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
5 Be exalted, God, above the heavens! Let your glory be over all the earth.
Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
6 That your beloved may be delivered, save with your right hand, and answer us.
Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
7 God has spoken from his sanctuary: “In triumph, I will divide Shechem, and measure out the valley of Succoth.
Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
8 Gilead is mine. Manasseh is mine. Ephraim also is my helmet. Judah is my scepter.
Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
9 Moab is my wash pot. I will toss my sandal on Edom. I will shout over Philistia.”
Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
10 Who will bring me into the fortified city? Who will lead me to Edom?
Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
11 Have not you rejected us, God? You do not go out, God, with our armies.
Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
12 Give us help against the enemy, for the help of man is vain.
Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
13 Through God, we will do valiantly, for it is he who will tread down our enemies.
Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.

< Psalms 108 >