< Numbers 1 >

1 The LORD spoke to Moses in the wilderness of Sinai, in the Tent of Meeting, on the first day of the second month, in the second year after they had come out of the land of Egypt, saying,
Mungu alimwambia Musa katika hema ya kukutania walipokuwa katika jangwa la Sinai. Hii ilitokea katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili miaka miwili baadaya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Mungu alisema,
2 “Take a census of all the congregation of the children of Israel, by their families, by their fathers’ houses, according to the number of the names, every male, one by one,
'fanya sensa ya wanaume wote wa Israel kutoka kila ukoo, katika familia za baba zao. Wahesabu kwa majina, wahesabu kila mume, kila mwanamume
3 from twenty years old and upward, all who are able to go out to war in Israel. You and Aaron shall count them by their divisions.
kuanzia umri a miaka ishirini na zaidi. Uwahesabu wote wanaoweza kupigana kama askari wa Israel. Wewe na Haruni mtaandika idadi ya wanaume katika makundi ya majeshi yao.
4 With you there shall be a man of every tribe, each one head of his fathers’ house.
Kila mwanamume kwa kila kabila, kichwa cha ukoo, lazima atumike na wewe kama kiongozi wa kabila.
5 These are the names of the men who shall stand with you: Of Reuben: Elizur the son of Shedeur.
Haya ndiyo majina ya viongozi ambao watapigana pamoja na wewe: Kutoka kabila la Reubeni, Elizuri mwana wa Shedeuri;
6 Of Simeon: Shelumiel the son of Zurishaddai.
kutoka kabila la Simeoni, Shelumiel mwana wa Zurishadai
7 Of Judah: Nahshon the son of Amminadab.
Kutoka kabila la Yuda, Nashoni mwana wa Aminadabu;
8 Of Issachar: Nethanel the son of Zuar.
Ktoka kabila la Isakari, Nethaneli mwana wa Zuari;
9 Of Zebulun: Eliab the son of Helon.
kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni
10 Of the children of Joseph: of Ephraim: Elishama the son of Ammihud; of Manasseh: Gamaliel the son of Pedahzur.
kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri;
11 Of Benjamin: Abidan the son of Gideoni.
kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
12 Of Dan: Ahiezer the son of Ammishaddai.
Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
13 Of Asher: Pagiel the son of Ochran.
kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
14 Of Gad: Eliasaph the son of Deuel.
kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
15 Of Naphtali: Ahira the son of Enan.”
na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”
16 These are those who were called of the congregation, the princes of the tribes of their fathers; they were the heads of the thousands of Israel.
Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.
17 Moses and Aaron took these men who are mentioned by name.
Musa na Haruni wakawachukua wale wanaume, waliokuwa wameandikwa kwa majina,
18 They assembled all the congregation together on the first day of the second month; and they declared their ancestry by their families, by their fathers’ houses, according to the number of the names, from twenty years old and upward, one by one.
na pamoja na wanaume hao waliwakusanya wanume wote katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Kisha kila mwanume wa miaka ishirini na zaidi alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na famila kutoka katika ukoo.
19 As the LORD commanded Moses, so he counted them in the wilderness of Sinai.
Kisha Musa akaandika hesabu yao huko katika nyika ya Sinai, Kama Mungu alivyokuwa amemwamuru kufanya.
20 The children of Reuben, Israel’s firstborn, their generations, by their families, by their fathers’ houses, according to the number of the names, one by one, every male from twenty years old and upward, all who were able to go out to war:
Kutoka uzao wa Reubeni, mtoto wa kwanza wa Israel, yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka hesabu ya ukoo na familia.
21 those who were counted of them, of the tribe of Reuben, were forty-six thousand five hundred.
Waliwahesabu wanaume 46, 000 kutoka ukoo wa Reubeni.
22 Of the children of Simeon, their generations, by their families, by their fathers’ houses, those who were counted of it, according to the number of the names, one by one, every male from twenty years old and upward, all who were able to go out to war:
Kutoka uzao wa Simeoni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi au wenye uwezo wa kwenda vitani, kutokana na hesabu ya ukoo na familia.
23 those who were counted of them, of the tribe of Simeon, were fifty-nine thousand three hundred.
Walihesabu wanaume 59, 300 kutoka kabila la Simeoni.
24 Of the children of Gad, their generations, by their families, by their fathers’ houses, according to the number of the names, from twenty years old and upward, all who were able to go out to war:
Kutoka uzao wa Gadi yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
25 those who were counted of them, of the tribe of Gad, were forty-five thousand six hundred fifty.
Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi.
26 Of the children of Judah, their generations, by their families, by their fathers’ houses, according to the number of the names, from twenty years old and upward, all who were able to go out to war:
Kutoka uzao wa Yuda yalihesabiwa majina yote ya wanaume wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
27 those who were counted of them, of the tribe of Judah, were seventy-four thousand six hundred.
walihesabiwa wanume 74, 000 kutoka kabila la Yuda.
28 Of the children of Issachar, their generations, by their families, by their fathers’ houses, according to the number of the names, from twenty years old and upward, all who were able to go out to war:
Kutoka uzao wa Isakari yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
29 those who were counted of them, of the tribe of Issachar, were fifty-four thousand four hundred.
Walihesabiwa wanaume 54, 000 kutoka kabila la Isakari.
30 Of the children of Zebulun, their generations, by their families, by their fathers’ houses, according to the number of the names, from twenty years old and upward, all who were able to go out to war:
Kutoka uzao wa Zabuloni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
31 those who were counted of them, of the tribe of Zebulun, were fifty-seven thousand four hundred.
Walihesabiwa wanume 57, 400 kutoka kabila la Zabuloni.
32 Of the children of Joseph: of the children of Ephraim, their generations, by their families, by their fathers’ houses, according to the number of the names, from twenty years old and upward, all who were able to go out to war:
Kutoka uzao wa Efraimu mwana wa Yusufu yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
33 those who were counted of them, of the tribe of Ephraim, were forty thousand five hundred.
Walihesabiwa wanaume 40, 500 kutoka kabila la Efraimu.
34 Of the children of Manasseh, their generations, by their families, by their fathers’ houses, according to the number of the names, from twenty years old and upward, all who were able to go out to war:
Kutoka uzao wa Manase mwana wa Yusufu yaliheabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
35 those who were counted of them, of the tribe of Manasseh, were thirty-two thousand two hundred.
Walihesabiwa wanaume 32, 000 kutoka kabila la Manase.
36 Of the children of Benjamin, their generations, by their families, by their fathers’ houses, according to the number of the names, from twenty years old and upward, all who were able to go out to war:
Kutoka uzao wa Benjamini yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
37 those who were counted of them, of the tribe of Benjamin, were thirty-five thousand four hundred.
Walihesabiwa wanaume 35, 000 kutoka kabila la Benjamini.
38 Of the children of Dan, their generations, by their families, by their fathers’ houses, according to the number of the names, from twenty years old and upward, all who were able to go out to war:
Kutoka uzao wa Dani yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, Kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
39 those who were counted of them, of the tribe of Dan, were sixty-two thousand seven hundred.
Walihesabiwa wanaume 62, 000 kutoka kabila la Dani.
40 Of the children of Asher, their generations, by their families, by their fathers’ houses, according to the number of the names, from twenty years old and upward, all who were able to go out to war:
Kutoka uzao wa Asheri yalihesabiwa majina yote ya kila mwanume mwenye umri wa miaka ishirini au zadi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
41 those who were counted of them, of the tribe of Asher, were forty-one thousand five hundred.
Walihesabiwa wanaume 41, 500 kutoka ukoo wa Asheri.
42 Of the children of Naphtali, their generations, by their families, by their fathers’ houses, according to the number of the names, from twenty years old and upward, all who were able to go out to war:
Kutoka ukoo wa Naftali yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
43 those who were counted of them, of the tribe of Naphtali, were fifty-three thousand four hundred.
Walihesabiwa wanaume 53, 400 kutoka kabila la Naftari
44 These are those who were counted, whom Moses and Aaron counted, and the twelve men who were princes of Israel, each one for his fathers’ house.
Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote hawa, pamoja na wale wanaume kumi na wawili waliokuwa wakiongoza yale makabila kumi na mawili ya Israeli.
45 So all those who were counted of the children of Israel by their fathers’ houses, from twenty years old and upward, all who were able to go out to war in Israel—
Kwa hiyo wanaume wote wa Israeli wenye umri wa miak ishirini au zaidi, wote wenye uwezo wa kwenda vitani, walihesabiwa kutoka kwenye familia zao.
46 all those who were counted were six hundred three thousand five hundred fifty.
Walihesabu wanaume 603, 550.
47 But the Levites after the tribe of their fathers were not counted among them.
Lakini wanaume toka uzao wa Lawi hawakuhesabiwa,
48 For the LORD spoke to Moses, saying,
Kwa sababu BWANA alimwambia Musa,
49 “Only the tribe of Levi you shall not count, neither shall you take a census of them among the children of Israel;
“usiwahesabu wale wa kabila la Lawi wala kuwajumuisha kwenye jumla ya watu wa Israeli.
50 but appoint the Levites over the Tabernacle of the Testimony, and over all its furnishings, and over all that belongs to it. They shall carry the tabernacle and all its furnishings; and they shall take care of it, and shall encamp around it.
Badala yake, waagize Walawi kuliangalia hema la amri za agano, na kuangalia mapambo ya hema na vyote vilivyomo. Walawi watalazimika kulibeba hema na lazima wayabebe mapambo ya hema. Lazima waliangalie hema na kuyatengeneza mazingira yake. Wataiangalia masikani na kuzitengeneza kambi zinazolizunguka.
51 When the tabernacle is to move, the Levites shall take it down; and when the tabernacle is to be set up, the Levites shall set it up. The stranger who comes near shall be put to death.
Kila hema litakapotakiwa kuhamishiwa eneo jingine, Walawi ndio watakaolipeleka pale. Na kila hema litakapotakiwa kusimamishwa, Walawi ndio watakao lisimamisha. Na mgeni yeyote atakayelisogelea hema lazima auawe.
52 The children of Israel shall pitch their tents, every man by his own camp, and every man by his own standard, according to their divisions.
Wakati watu wa Israeli watakaposimamisha hema zao, kila mwanaume lazima awe karibu na bango la jeshi lake.
53 But the Levites shall encamp around the Tabernacle of the Testimony, that there may be no wrath on the congregation of the children of Israel. The Levites shall be responsible for the Tabernacle of the Testimony.”
Hata hivyo Walawi lazima waweke hema zao kuizunguka hiyo masikani ya amri za agano ili kwamba hasira yangu isije ikawaka juu ya wana wa Israeli. Walawi lazima wailinde hiyo masikani ya amri za agano.”
54 Thus the children of Israel did. According to all that the LORD commanded Moses, so they did.
Wana wa Israeli walifanya yote haya. Walifanya yote ambayo BWANA aliagiza kupitia Musa.

< Numbers 1 >