< Joshua 12 >

1 Now these are the kings of the land, whom the children of Israel struck, and possessed their land beyond the Jordan toward the sunrise, from the valley of the Arnon to Mount Hermon, and all the Arabah eastward:
Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
2 Sihon king of the Amorites, who lived in Heshbon, and ruled from Aroer, which is on the edge of the valley of the Arnon, and the middle of the valley, and half Gilead, even to the river Jabbok, the border of the children of Ammon;
Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
3 and the Arabah to the sea of Chinneroth, eastward, and to the sea of the Arabah, even the Salt Sea, eastward, the way to Beth Jeshimoth; and on the south, under the slopes of Pisgah:
Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
4 and the border of Og king of Bashan, of the remnant of the Rephaim, who lived at Ashtaroth and at Edrei,
Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
5 and ruled in Mount Hermon, and in Salecah, and in all Bashan, to the border of the Geshurites and the Maacathites, and half Gilead, the border of Sihon king of Heshbon.
Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
6 Moses the servant of the LORD and the children of Israel struck them. Moses the servant of the LORD gave it for a possession to the Reubenites, and the Gadites, and the half-tribe of Manasseh.
Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
7 These are the kings of the land whom Joshua and the children of Israel struck beyond the Jordan westward, from Baal Gad in the valley of Lebanon even to Mount Halak, that goes up to Seir. Joshua gave it to the tribes of Israel for a possession according to their divisions;
Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
8 in the hill country, and in the lowland, and in the Arabah, and in the slopes, and in the wilderness, and in the South; the Hittite, the Amorite, and the Canaanite, the Perizzite, the Hivite, and the Jebusite:
Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
9 the king of Jericho, one; the king of Ai, which is beside Bethel, one;
Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
10 the king of Jerusalem, one; the king of Hebron, one;
mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
11 the king of Jarmuth, one; the king of Lachish, one;
mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
12 the king of Eglon, one; the king of Gezer, one;
mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
13 the king of Debir, one; the king of Geder, one;
mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
14 the king of Hormah, one; the king of Arad, one;
mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
15 the king of Libnah, one; the king of Adullam, one;
mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
16 the king of Makkedah, one; the king of Bethel, one;
mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
17 the king of Tappuah, one; the king of Hepher, one;
mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
18 the king of Aphek, one; the king of Lassharon, one;
mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
19 the king of Madon, one; the king of Hazor, one;
mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
20 the king of Shimron Meron, one; the king of Achshaph, one;
mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
21 the king of Taanach, one; the king of Megiddo, one;
mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
22 the king of Kedesh, one; the king of Jokneam in Carmel, one;
mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
23 the king of Dor in the height of Dor, one; the king of Goiim in Gilgal, one;
mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
24 the king of Tirzah, one: all the kings thirty-one.
mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.

< Joshua 12 >