< Ezra 2 >

1 Now these are the children of the province who went up out of the captivity of those who had been carried away, whom Nebuchadnezzar the king of Babylon had carried away to Babylon, and who returned to Jerusalem and Judah, everyone to his city;
Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
2 who came with Zerubbabel, Jeshua, Nehemiah, Seraiah, Reelaiah, Mordecai, Bilshan, Mispar, Bigvai, Rehum, and Baanah. The number of the men of the people of Israel:
Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
3 The children of Parosh, two thousand one hundred seventy-two.
Waporoshi: 2, 172
4 The children of Shephatiah, three hundred seventy-two.
Wana wa Shefatia: 372
5 The children of Arah, seven hundred seventy-five.
Wana wa Ara: 775.
6 The children of Pahathmoab, of the children of Jeshua and Joab, two thousand eight hundred twelve.
Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
7 The children of Elam, one thousand two hundred fifty-four.
Wana wa Eliamu: 1, 254.
8 The children of Zattu, nine hundred forty-five.
Wana wa Zatu: 945.
9 The children of Zaccai, seven hundred sixty.
Wana wa Zakai: 760.
10 The children of Bani, six hundred forty-two.
Wana wa Binui: 642.
11 The children of Bebai, six hundred twenty-three.
Wana wa Bebai: 623.
12 The children of Azgad, one thousand two hundred twenty-two.
Wana wa Azgadi: 1, 222.
13 The children of Adonikam, six hundred sixty-six.
Wana wa Adonikamu: 666.
14 The children of Bigvai, two thousand fifty-six.
Wana wa Bigwai: 2, 056.
15 The children of Adin, four hundred fifty-four.
Wana wa Adini: 454.
16 The children of Ater, of Hezekiah, ninety-eight.
Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
17 The children of Bezai, three hundred twenty-three.
Wana wa Besai: 323.
18 The children of Jorah, one hundred twelve.
Wana wa Harifu: 112.
19 The children of Hashum, two hundred twenty-three.
Wanaume wa Hashimu: 223.
20 The children of Gibbar, ninety-five.
Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
21 The children of Bethlehem, one hundred twenty-three.
Wanaume wa Bethlehemu: 123.
22 The men of Netophah, fifty-six.
Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
23 The men of Anathoth, one hundred twenty-eight.
Wanaume wa Anathothi: 128.
24 The children of Azmaveth, forty-two.
Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
25 The children of Kiriath Arim, Chephirah, and Beeroth, seven hundred forty-three.
Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
26 The children of Ramah and Geba, six hundred twenty-one.
Wanaume wa Rama na Geba: 621.
27 The men of Michmas, one hundred twenty-two.
Wanaume wa Mikmashi: 122.
28 The men of Bethel and Ai, two hundred twenty-three.
Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
29 The children of Nebo, fifty-two.
Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
30 The children of Magbish, one hundred fifty-six.
Wanaume wa Magbishi: 156.
31 The children of the other Elam, one thousand two hundred fifty-four.
Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
32 The children of Harim, three hundred twenty.
nne. Wanaume wa Harimu: 320.
33 The children of Lod, Hadid, and Ono, seven hundred twenty-five.
Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
34 The children of Jericho, three hundred forty-five.
Wanaume wa Yeriko: 345.
35 The children of Senaah, three thousand six hundred thirty.
Wanaume wa Senaa: 3, 630.
36 The priests: the children of Jedaiah, of the house of Jeshua, nine hundred seventy-three.
Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
37 The children of Immer, one thousand fifty-two.
Wana wa Imeri: 1, 052.
38 The children of Pashhur, one thousand two hundred forty-seven.
Wana wa Pashuri: 1, 247.
39 The children of Harim, one thousand seventeen.
Wana wa Harimu: 1, 017.
40 The Levites: the children of Jeshua and Kadmiel, of the children of Hodaviah, seventy-four.
Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
41 The singers: the children of Asaph, one hundred twenty-eight.
nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
42 The children of the gatekeepers: the children of Shallum, the children of Ater, the children of Talmon, the children of Akkub, the children of Hatita, the children of Shobai, in all one hundred thirty-nine.
Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
43 The temple servants: the children of Ziha, the children of Hasupha, the children of Tabbaoth,
Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
44 the children of Keros, the children of Siaha, the children of Padon,
Keros, Siaha, Padoni.
45 the children of Lebanah, the children of Hagabah, the children of Akkub,
Lebana, Hagaba, Akubu,
46 the children of Hagab, the children of Shamlai, the children of Hanan,
Hagabu, Salmai, Hanani
47 the children of Giddel, the children of Gahar, the children of Reaiah,
Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 the children of Rezin, the children of Nekoda, the children of Gazzam,
Resini, Nekoda, Gazamu,
49 the children of Uzza, the children of Paseah, the children of Besai,
Uza, Pasea, Besai,
50 the children of Asnah, the children of Meunim, the children of Nephisim,
Asna, Meunimu, Nefusimu:
51 the children of Bakbuk, the children of Hakupha, the children of Harhur,
Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
52 the children of Bazluth, the children of Mehida, the children of Harsha,
Basluthi, Mehida, Barsha:
53 the children of Barkos, the children of Sisera, the children of Temah,
Barkosi, Sisera, Tema:
54 the children of Neziah, the children of Hatipha.
Nesia, Tefa
55 The children of Solomon’s servants: the children of Sotai, the children of Hassophereth, the children of Peruda,
Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
56 the children of Jaalah, the children of Darkon, the children of Giddel,
Yaala, Darkoni, Gideli,
57 the children of Shephatiah, the children of Hattil, the children of Pochereth Hazzebaim, the children of Ami.
Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
58 All the temple servants, and the children of Solomon’s servants, were three hundred ninety-two.
Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
59 These were those who went up from Tel Melah, Tel Harsha, Cherub, Addan, and Immer; but they could not show their fathers’ houses and their offspring, whether they were of Israel:
Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
60 the children of Delaiah, the children of Tobiah, the children of Nekoda, six hundred fifty-two.
pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
61 Of the children of the priests: the children of Habaiah, the children of Hakkoz, and the children of Barzillai, who took a wife of the daughters of Barzillai the Gileadite, and was called after their name.
Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
62 These sought their place among those who were registered by genealogy, but they were not found; therefore they were deemed disqualified and removed from the priesthood.
Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
63 The governor told them that they should not eat of the most holy things until a priest stood up to serve with Urim and with Thummim.
Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
64 The whole assembly together was forty-two thousand three hundred sixty,
Jumla ya kundi 42, 360,
65 in addition to their male servants and their female servants, of whom there were seven thousand three hundred thirty-seven; and they had two hundred singing men and singing women.
ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
66 Their horses were seven hundred thirty-six; their mules, two hundred forty-five;
Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
67 their camels, four hundred thirty-five; their donkeys, six thousand seven hundred twenty.
Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
68 Some of the heads of fathers’ households, when they came to the LORD’s house which is in Jerusalem, offered willingly for God’s house to set it up in its place.
Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
69 They gave according to their ability into the treasury of the work sixty-one thousand darics of gold, five thousand minas of silver, and one hundred priests’ garments.
Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
70 So the priests and the Levites, with some of the people, the singers, the gatekeepers, and the temple servants, lived in their cities, and all Israel in their cities.
Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.

< Ezra 2 >