< Deuteronomy 14 >

1 You are the children of the LORD your God. You shall not cut yourselves, nor make any baldness between your eyes for the dead.
Ninyi ni watu wa Yahwe Mungu wenu. Msijikate wenyewe, wala kunyoa sehemu za nyuso zenu kwa ajili ya wafu.
2 For you are a holy people to the LORD your God, and the LORD has chosen you to be a people for his own possession, above all peoples who are on the face of the earth.
Kwa kuwa mu taifa lilowekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wenu, na Yahwe amewachagua kuwa watu kwa ajili ya urithi wake, zaidi kuliko watu wote walio juu ya uso wa dunia.
3 You shall not eat any abominable thing.
Hampaswi kula kitu chochote kilicho chukizo.
4 These are the animals which you may eat: the ox, the sheep, the goat,
Hawa ni wanyama ambao mnaweza kula: ng'ombe, kondoo, mbuzi,
5 the deer, the gazelle, the roebuck, the wild goat, the ibex, the antelope, and the chamois.
kulungu, paa, kulungu wa kiume, mbuzi wa mwituni, paa mweupe na pofu na kondoo wa mlimani
6 Every animal that parts the hoof, and has the hoof split in two and chews the cud, among the animals, you may eat.
Mnaweza kula wanyama wowote ambao wamegawanyika kwato, ambaye ana kwato zilizogawanyika mara mbili, na utafuna macheuo.
7 Nevertheless these you shall not eat of them that chew the cud, or of those who have the hoof split: the camel, the hare, and the rabbit. Because they chew the cud but do not part the hoof, they are unclean to you.
Hata hivyo, hampaswi kula baadhi ya wanyama ambao utafuna macheuo au ambao wana kwato zilizogawanyika mara mbili: ngamia, sungura, pomono, kwa sababu watafuna macheuo lakini hawajagawanyika kwato, ni najisi kwenu.
8 The pig, because it has a split hoof but does not chew the cud, is unclean to you. You shall not eat their meat. You shall not touch their carcasses.
Nguruwe ni najisi kwenu pia kwa sababu amegawanyika kwato lakini hatafuni macheuo; ni najisi kwenu. Msile nyama ya nguruwe, na msiguse mizoga yao.
9 These you may eat of all that are in the waters: you may eat whatever has fins and scales.
Haya yaliyo ndani ya maji mnaweza kula: chochote kilicho na mapesi na magamba;
10 You shall not eat whatever does not have fins and scales. It is unclean to you.
lakini chochote kisichokuwa na mapesi na magamba msile; ni najisi kwenu.
11 Of all clean birds you may eat.
Ndege wote safi mnaweza kula.
12 But these are they of which you shall not eat: the eagle, the vulture, the osprey,
Lakini hawa ni ndege ambao hampaswi kula: tai, tumbusi, kipungu,
13 the red kite, the falcon, the kite of any kind,
mwewe mwekundu na mweusi, aina yoyote ya kipanga.
14 every raven of any kind,
Hampaswi kula aina yoyote ya kunguru,
15 the ostrich, the owl, the seagull, the hawk of any kind,
na mbuzi na mwewe wa usiku, Lanes ndege wa baharini, aina yoyote ya mwewe,
16 the little owl, the great owl, the horned owl,
bundi mdogo, bundi mkubwa, na bundi mweupe,
17 the pelican, the vulture, the cormorant,
Mwari, nyamafu ya tai, mnandio.
18 the stork, the heron after its kind, the hoopoe, and the bat.
Hampaswi kula korongo, aina yoyote ya kongoti, hudihudi, na popo.
19 All winged creeping things are unclean to you. They shall not be eaten.
Wote wenye mabawa; vitu vya utando ni najisi kwenu; havipaswi kuliwa.
20 Of all clean birds you may eat.
Mnaweza kula vitu vyote virukavyo.
21 You shall not eat of anything that dies of itself. You may give it to the foreigner living among you who is within your gates, that he may eat it; or you may sell it to a foreigner; for you are a holy people to the LORD your God. You shall not boil a young goat in its mother’s milk.
Hampaswi kula chochote kinachokufa chenyewe; mnaweza kumpa mgeni ambaye yuko katika mji wenu, kwamba anaweza kula au mnaweza kuuza kwa mgeni. Kwa kuwa mu taifa lilolowekwa wakfu kwa ajili ya Yahwe Mungu wenu. Hampaswi kumchemusha mbuzi kijana katika maziwa ya mama yake.
22 You shall surely tithe all the increase of your seed, that which comes out of the field year by year.
Hakika mnapaswa kutoa fungu la kumi la mavuno ya mbegu zenu zote, ambazo huja kutoka kwenye shamba kila mwaka.
23 You shall eat before the LORD your God, in the place which he chooses to cause his name to dwell, the tithe of your grain, of your new wine, and of your oil, and the firstborn of your herd and of your flock; that you may learn to fear the LORD your God always.
Mnapaswa kula mbele ya Yahwe Mungu wenu, katika eneo ambalo atachagua kama patakatifu pake, fungu la kumi la nafaka zenu, za mvinyo mpya, na mafuta yenu, na mzaliwa wa kwanza wa wanyama na mifugo, kwamba mnaweza kujifunza daima kumheshimu Yahwe Mungu wenu.
24 If the way is too long for you, so that you are not able to carry it because the place which the LORD your God shall choose to set his name there is too far from you, when the LORD your God blesses you,
Kama safari ni ndefu kwenu na kwamba hamwezi kuibeba, kwa sababu eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kama patakatifu pake ni mbali kwenu, basi, wakati Yahwe Mngu anawabariki,
25 then you shall turn it into money, bind up the money in your hand, and shall go to the place which the LORD your God shall choose.
mtabadilisha sadaka katika pesa. Fungeni pesa kwenye mkono, na nendeni kwenye eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua.
26 You shall trade the money for whatever your soul desires: for cattle, or for sheep, or for wine, or for strong drink, or for whatever your soul asks of you. You shall eat there before the LORD your God, and you shall rejoice, you and your household.
Huko mtatumia pesa kwa chochote mnatamani kwa ng'ombe au kondoo, au kwa mvinyo, au kwa kinywaji imara, au kwa chochote mnatamani; mtakula hapo mbele ya Yahwe Mungu wenu, na mtafurahi, nyie na nyumba zenu.
27 You shall not forsake the Levite who is within your gates, for he has no portion nor inheritance with you.
Mlawi ambaye yuko malangoni mwenu- msimsahau, kwa kuwa hana sehemu wala urithi pamoja nanyi.
28 At the end of every three years you shall bring all the tithe of your increase in the same year, and shall store it within your gates.
Mwisho mwa kila miaka mitatu mtawasilisha mafungu yote ya kumi ya mazao kwa mwaka huo huo, na mtatunza katika malango yenu;
29 The Levite, because he has no portion nor inheritance with you, as well as the foreigner living among you, the fatherless, and the widow who are within your gates shall come, and shall eat and be satisfied; that the LORD your God may bless you in all the work of your hand which you do.
na Mlawi, kwa sababu hana sehemu wala urithi pamoja nanyi, na mgeni, na yatima, na wajane walio ndani ya malango yenu, watakuja na kula na kurithika. Fanya hivyo kwa Yahwe Mungu wenu aweze kuwabariki katika kazi zote za mikono yenuo mnazofanya.

< Deuteronomy 14 >