< Psalmen 128 >

1 Een bedevaartslied. Gelukkig hij, die Jahweh vreest, En zijn wegen bewandelt.
Wimbo wa kwenda juu. Heri ni wale wote wamchao Bwana, waendao katika njia zake.
2 Want van uw arbeid zult gij eten, Voorspoedig en gelukkig zijn!
Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
3 Uw vrouw zal zijn als een vruchtbare wingerd Binnen uw huis; Uw zonen als ranken van de olijf Rondom uw dis.
Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako.
4 Zie, zó wordt de man gezegend, Die Jahweh vreest;
Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Bwana.
5 Zó zal Jahweh uit Sion U zegen bereiden! Dan moogt gij Jerusalems heil aanschouwen Al de dagen uws levens;
Bwana na akubariki kutoka Sayuni siku zote za maisha yako, na uone mafanikio ya Yerusalemu,
6 Nog de kinderen van uw kinderen zien: De vrede over Israël!
nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako. Amani iwe juu ya Israeli.

< Psalmen 128 >