< Job 26 >

1 Job antwoordde, en sprak
Kisha Ayubu akajibu:
2 Hoe goed weet ge den zwakke te helpen, De krachteloze arm te stutten?
“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
3 Hoe weet ge den onwetende raad te geven, En wat wijze lessen spreidt ge ten toon?
Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
4 Met wiens hulp hebt ge uw woord gesproken Wiens geest is van u uitgegaan?
Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
5 De schimmen beven onder de aarde De wateren sidderen met die erin wonen;
“Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
6 Het dodenrijk ligt naakt voor zijn oog, De onderwereld zonder bedekking. (Sheol h7585)
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol h7585)
7 Hij spant het Noorden over de baaierd, Hangt de aarde boven het niet;
Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
8 Hij knevelt de wateren in zijn zwerk, De wolken bersten niet onder haar last;
Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
9 Hij bedekt het gelaat der volle maan, En spreidt er zijn nevel over uit.
Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
10 Hij trekt een kring langs de waterspiegel, Waar het licht aan de duisternis grenst;
Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
11 De zuilen van de hemel staan te waggelen, Rillen van angst voor zijn donderende stem.
Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
12 Hij zwiept de zee door zijn kracht, Ranselt Ráhab door zijn beleid;
Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
13 Zijn adem blaast de hemel schoon, Zijn hand doorboort de vluchtende Slang!
Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
14 Is dit nog enkel de zoom van zijn wegen Hoe weinig verstaan wij ervan, En wie begrijpt dan de kracht van zijn donder?
Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”

< Job 26 >