< Ba Loma 9 >

1 Ndamwambila kasimpe muliKkilisito. Nsilokubeja pe, amamvwido angu alazuminana andime muMuuya uSalala.
Nasema ukweli mtupu; nimeungana na Kristo nami sisemi uongo. Dhamiri yangu ikiongozwa na Roho Mtakatifu inanithibitishia jambo hili pia.
2 Izyakuti mumoyo wangu mulikuusa kupati akuchisa kutamani.
Nataka kusema hivi: nina huzuni kubwa na maumivu yasiyopimika moyoni mwangu
3 Nkambo ndalikuyanda kwanzanisigwa aKkilisito kuti ndibe mutuke akambo kabakweu, anzubo nzyangu zyamunyama.
kwa ajili ya watu wangu, walio damu moja nami! Kama ingekuwa kwa faida yao, ningekuwa radhi kulaaniwa na kutengwa na Kristo.
4 Mba Izilayeli. Bakabweza, bulemu, zizuminano, achipo chamulawu, abukombi bwamung'anda yaLeza, azisyomezyo.
Hao ndio watu wa Israeli ambao Mungu aliwateua wawe watoto wake, akawashirikisha utukufu wake; aliagana nao, akawapa Sheria yake, imani ya kweli na ahadi zake.
5 Bamataata babo chiindi kwakazwa Kkilisto, kwiinda munyama - we kali Leza atala zyoonse. weelede kulumbayizigwa mane kutamani. Ameni. (aiōn g165)
Wao ni wajukuu wa mababu, naye Kristo, kadiri ya ubinadamu wake, ametoka katika ukoo wao. Mungu atawalaye juu ya yote, na atukuzwe milele! Amina. (aiōn g165)
6 Pele twakamba kuti ijwi lyaleza lyakalewulula. Nkambo boonse balimuIzilayeli te mbanaIzilayeli nchobeni.
Sisemi kwamba ahadi ya Mungu imebatilika; maana si watu wote wa Israeli ni wateule wa Mungu.
7 Nekuba loonse lunyungu lwaAbbulamu teensi mbana bakwe pe. Pele, muli Ayizeki muyowambwa lunyungu lwakwe.
Wala, si wazawa wote wa Abrahamu ni watoto wake wa kweli. Ila, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Wazao wake watatokana na Isaka.”
8 Nchikwaambwa kuti, bana banyama teensi mbana baLeza. Pele, bana bachisyomezyo mbawambwa mbuli lunyungu.
Nido kusema, wale waliozaliwa kimaumbile ndio watoto wa Mungu, bali wale waliozaliwa kutokana na ahadi ya Mungu ndio watakaoitwa watoto wake.
9 Nkaambo eli ndijwi lyachisyomezyo: “Mulinchichechi chiindi ndiyosika, elyo Sala uyopegwa mwana.”
Maana ahadi yenyewe ni hii: “Nitakujia wakati maalum, naye Sara atapata mtoto.”
10 Teensi mbubo luzutu, Pele alakwe Lebeka wakaba abula bwa mwalumi umwi, taata wesu Ayizeki -
Tena si hayo tu ila pia Rebeka naye alipata mapacha kwa baba mmoja, yaani Isaka, babu yetu.
11 bana kabatana zyalwa akutana chita chimwi chintu chibotu na chibi, kuti makanze aLeza kwindila mukusala bwiime, kutali akaambo kanchito, pele akaambo kayoyo uyita -
Lakini, ili Mungu aonekane kwamba anao uhuru wa kuchagua, hata kabla wale ndugu hawajazaliwa na kabla hawajaweza kupambanua jema na baya,
12 kwakambwa kuli nguw, “Mupati uyosanina munini.”
Rebeka aliambiwa kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia yule wa nyuma. Hivyo uchaguzi wa Mungu unategemea jinsi anavyoita mwenyewe, na si matendo ya binadamu.
13 Mbuli mbukulembedwe: “Jakkobo ndakamuyanda, pele Isawu ndakamusula.”
Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia.”
14 Lino twambe buti? Sa kuli kutalulama kwaLeza? Takwe ziliboobo.
Basi, tuseme nini? Je, Mungu amekosa haki? Hata kidogo!
15 Mbubobu mbaamba kuli Mozesi, “Njomvwida luse kufumbwa ngunjomvwida luse, njoyetelela kuliyoyo ngunjoyetelela.”
Maana alimwambia Mose: “Nitamhurumia mtu yeyote ninayetaka kumhurumia; nitamwonea huruma mtu yeyote ninayetaka.”
16 Aboobo tensi akaambo kayoyo uyanda, nekuba akaambo kayoyo uchijan, pele akaambo kaLeza, waluse.
Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu.
17 Mbobu malembe mbawamba kuliFalo akuti, “nchichecho nchindakakubusizya mumakanze akutondezya nguzu zyangu mulinduwe”, kuchitila kuti zina lyangu likambwe munyika yoonse.
Maana Maandiko Matakatifu yasema hivi kwa Farao: “Nilikufanya mfalme ili kwa njia yako, uwezo wangu ujulikane, na jina langu litangazwe popote duniani.”
18 Mbubo leza ulaluse kulingwayanda akulingwayand, ulamuyumya moyo.
Ni wazi, basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo.
19 Uyowamba chakuti kulindime, “Nkaambonzi nachitongawuka? Ngwani ukonzya kukaka makanze akwe?”
Labda utaniuliza: “Ikiwa mambo yako hivyo, Mungu anawezaje kumlaumu mtu? Nani awezaye kuyapinga mapenzi yake?”
20 Omwalumi nduweni ukuzyana aLeza? Kulichibumbwa na chaamba kuli sikuchibumba, “Wabonayi! Niwandibumba ayeyi nzila?”
Lakini, ewe binadamu, u nani hata uthubutu kumhoji Mungu? Je, chungu chaweza kumwuliza mfinyanzi wake: “Kwa nini umenitengeneza namna hii?”
21 Anu kuti mubumbi tajisi nguzu kubulongo bwakubumba chimbi chilongo chibotu achimwi chilongo chibi?
Mfinyanzi anaweza kuutumia udongo apendavyo na kufinyanga vyungu viwili kwa udongo uleule; kimoja kwa matumizi ya heshima, na kingine kwa matumizi ya kawaida.
22 Ani kuti Leza, wayanda kutondezya bukali bwakwe akuti ngunzu zyakwe zizibwe, wakakkazikila zilongo moyo mulamfu kubukali bwakabambilidwe kunyonyona?
Hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu. Alitaka kuonyesha ghadhabu yake na kujulisha uwezo wake, Basi, alikuwa na saburi sana, akiwavumilia wale ambao walikuwa lengo la ghadhabu yake, ambao walistahili kuangamizwa.
23 Nkutyeni nayanda kuzubula buvubi bwabulemu bwakwe kuzilongo zyaluse, nzyakambilide kale bulemu bwakwe kuzilongo zyaluse, nzyakambilide kale bulemu?
Alitaka pia kudhihirisha wingi wa utukufu wake ambao alitumiminia sisi tulio lengo la huruma yake; sisi ambao alikwisha kututayarisha kuupokea utukufu wake.
24 Ani kuti wachita obu akulindiswe, mbakayita, akati kamaJuda abamasi?
Maana sisi ndio hao aliowaita, si tu kutoka miongoni mwa Wayahudi bali pia kutoka kwa watu wa mataifa mengine.
25 Mbubonya mbwaamba muiHosiya kuti: “Njoyita bantu bangu bakatali bantu bangu pe, akuyanda wakatali kuyandwa.
Maana ndivyo asemavyo katika kitabu cha Hosea: “Wale waliokuwa Si watu wangu nitawaita: Watu wangu! Naye Sikupendi ataitwa: Mpenzi wangu!
26 Mpawo oko nkubakambilwa kuti, ' tamwensi bantu bangu; oko nkubayoyitwa kuti mbana baLeza muumi.'”
Na pale walipoambiwa: Ninyi si wangu hapo wataitwa: Watoto wa Mungu hai.”
27 Ayizaya ulalila atala a Izilayeli, “Nekuba kumweele wabana ba Isilayeli nkubali mbuli musele wamulwizi, kuyoba kabela kabache bayofutulwa.
Naye nabii Isaya, kuhusu Israeli anapaaza sauti: “Hata kama watoto wa Israeli ni wengi kama mchanga wa pwani, ni wachache tu watakaookolewa;
28 Nkaambo Mwami uyochita makanze ajwi lyakwe munyika chakumanisizya achakunonoka.
maana, Bwana ataitekeleza upesi hukumu yake kamili juu ya ulimwengu wote.”
29 Akwambwa kwa Ayizaya kuti, “Mwami wamakamu - makamu tatusila lunyungu, netwali kunoba mbuli Sodomu, akuba mbuliGomola.”
Ni kama Isaya alivyosema hapo awali: “Kama Bwana Mwenye Nguvu asingalituachia baadhi ya watoto wa Israeli, tungalikwisha kuwa kama Sodoma, tungalikwisha kuwa ma Gomora.”
30 Lino nkutyeni, Bamasi, bakatali kuyandula bululami, bakabujana bululami bwalusyomo.
Basi, tuseme nini? Ni hivi: watu wa mataifa ambao hawakutafuta kukubaliwa kuwa waadilifu, wamekubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani,
31 Pele Isilayeli, walikuyandula mulawu wabululami, takwe nebakasika kumulawu.
hali watu wa Israeli waliokuwa wakitafuta Sheria iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu, hawakuipata.
32 Nkaambonzi? Nkaambo tebakayandula chalusyomo, pele kumilomo yabo. Bakalebwa kuzwa kubbwe lyakabalebya.
Kwa nini? Kwa sababu walitegemea matendo yao badala ya kutegemea imani. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa
33 Mbuli mbukulembedwe, “Amubone, ndasitikizya muZayoni ibbwe lilebya amwala wamilandu. Oyo umusyoma takoyowusigwa bweme”
kama yesemavyo Maandiko Matakatifu: “Tazama! Naweka huko Sioni jiwe likwazalo, mwamba utakaowafanya watu waanguke. Mtu atakayemwamini yeye aliye hilo jiwe, hataaibishwa!”

< Ba Loma 9 >