< 4 Mosebog 10 >

1 HERREN talede fremdeles til Moses og sagde:
BWANA alinena na Musa, akasema,
2 Du skal lave dig to Sølvtrompeter; i drevet Arbejde skal du lave dem. Dem skal du bruge, når Menigheden skal kaldes sammen, og når Lejrene skal bryde op.
“tengenza tarumbeta mbili za fedha. Uzitengeneze kwa kufua hizo fedha. Utazitumia hizo tarumbeta kwa kuwaita watu waje pamoja na kwa kuwaita watu wote wakati wa kuondoka kwenye kambi zao.
3 Når der blæses i dem begge to, skal hele Menigheden samle sig hos dig ved Indgangen til Åbenbaringsteltet.
Makuhani watapiga tarumbeta kwa ajili ya kuwaita watu wote mbele yako kwenye lango la hema ya kukutania.
4 Blæses der kun i den ene, skal Øversterne, Overhovederne for Israels Stammer, samle sig hos dig.
Kama makuhani watapiga tarumbeta moja tu, basi viongozi, vichwa koo za Israeli ndipo watakapokutana kwako.
5 Når I blæser Alarm med dem, skal Lejrene på Østsiden bryde op;
Utakapopiga tarumbeta ya sauti kuu, ile kambi ya upande wa mashariki itaanza kusafiri.
6 blæser Alarm anden Gang, skal Lejrene på Sydsiden bryde op: tredje Gang skal Lejrene mod Vest bryde op, fjerde Gang Lejrene mod Nord; der skal blæses Alarm, når de skal bryde op.
Nawe utakapopiga tarumeta kwa sauti kuu mara ya pili, ile kambi ya upande wa kusini wataanza kusafiri. Watapiga tarumbeta kwa sauti kuu ili kuanza safari yao.
7 Men når Forsamlingen skal sammenkaldes skal I blæse på almindelig Vis, ikke Alarm.
Watu wote watakapokutana pamoja, piga hizo tarumbeta lakini si kwa sauti kuu.
8 Arons Sønner, Præsterne, skal blæse i Trompeterne; det skal være eder en evig gyldig Anordning fra Slægt til Slægt.
Wana wa Haruni, makuhani, watapiga hizo tarumbeta. Huu ndio utakaokuwa utaratibu wa watu wako kwa vizazi vyote.
9 Når I drager i Krig i eders Land mod en Fjende, der angriber eder, og blæser Alarm med Trompeterne, skal I ihukommes for HERREN eders Guds Åsyn og frelses fra eders Fjender.
Nanyi mtakapoenda vitani katika ardhi yenu dhidi ya maadui wenu wanaowakandamiza, ndipo mtakapotoa ishara ya sauti ya tarumbeta. Mimi, BWANA Mungu wako nitawaita kuwakumbuka na kuwaokoa kutoka kwa maadui wenu.
10 Og på eders Glædesdage, eders Højtider og Nymånedage, skal I blæse i Trompeterne ved eders Brændofre og Takofre; så skal de tjene eder til Ihukommelse for eders Guds Åsyn. Jeg er HERREN eders Gud!
Pia, wakati wa kusherehekea, sikukuu zenu za kawaida na katika miandamo ya miezi, mtapiga tarumbeta zenu kwa heshima ya sadaka zenu za kuteketezwa na kwa sadaka zenu za amani. Huu utakuwa ukumbusho wenu kwangu, Mungu wenu. Mimi ndimi BWANA Mungu wenu.”
11 Den tyvende Dag i den anden Måned af det andet År løftede Skyen sig fra Vidnesbyrdets Bolig.
Katika siku ya ishrini, mwezi wa pili, mwaka wa pili, Lile wingu liliinuliwa toka masikani ya amri za maagano.
12 Da brød Israeliterne op fra Sinaj Ørken, i den Orden de skulde bryde op i, og Skyen stod stille i Parans Ørken.
Wana wa Israeli wakaendelea na safari yao toka jangwa la Sinai. Lile wingu likasimama kwenye jangwa la Parani.
13 Da de nu første Gang brød op efter Guds Bud ved Moses,
Walifanya safari yao ya kwanza, kufuatia amri ya BWANA iliyotolewa kupitia kwa Musa.
14 var Judæernes Lejr den første, der brød op under sit Felttegn, Hærafdeling for Hærafdeling; deres Hær førtes af Nahasjon, Amminadabs Søn.
Kambi ya mahali pa uzao wa Yuda iliondoka ya kanza, wakiondoa majeshi yao binafsi. Nashoni mwana wa Aminadabu ndiye aliyeongoza jeshi la Yuda.
15 Issakariternes Stammes Hær førtes af Netanel, Zuars Søn,
Nethaneli mwana wa Zuari aliongoza jeshi la kabila la uzao wa Isakari.
16 og Zebuloniternes Stammes Hær af Eliab, Helons Søn.
Eliabu mwana wa Heloni aliongoza jeshi la kabila la Zabuloni.
17 Da derpå Boligen var taget ned, brød Gersoniterne og Merariterne op og bar Boligen.
Uzao wa Gerishoni na Merari, ambao walitunza masikani, na kuanza kusafiri.
18 Så brød Rubens Lejr op under sit Felttegn, Hærafdeling for Hærafdeling; deres Hær førtes af Elizur, Sjedeurs Søn.
Baadaye Walifuata jeshi la mahali pa kambi ya Reubeni walianza safari yao. Elizuri mwana wa Shedeuri alliongoza jeshi la Reubebni.
19 Simeoniternes Stammes Hær førtes af Sjelumiel, Zurisjaddajs Søn,
Shelumieli mwana wa Zurishadai aliliongoza jeshi la kabila la uzao wa Simeoni.
20 og Gaditernes Stammes Hær af Eljasaf, Deuels Søn.
Eliasafu mwana Deuli aliliongoza jeshi la kabila la uzao wa Gadi.
21 Så brød Kehatiterne, der bar de hellige Ting, op; og før deres Komme havde man rejst Boligen.
Kabila la Kohathi nalo lilianza safari. Wao walibebba vyombo vya mahali patakatifu. Wengine waliisimamisha masikani kabla ya Wakohathi kufika kambi inayofuata.
22 Så brød Efraimiternes Lejr op under sit Felttegn, Hærafdeling for Hærafdeling; deres Hær førtes af Elisjema, Ammihuds Søn.
Majeshi ya kabila la uzao wa Efraimu ndio waliofuata. Elishama mwana wa Amihudi ndiye aliyeongoza jeshi la Efraimu.
23 Manassiternes Stammes Hær førtes af Gamliel, Pedazurs Søn,
Gamalieli mwana wa Pedazuri aliongoza jeshi la uzao wa Manase.
24 og Benjaminiternes Stammes Hær af Abidan, Gidonis Søn.
Abidani mwana wa Gidioni aliongoza jeshi la uzao wa kabila la Benjamini.
25 Så brød Daniternes Lejr op under sit Felttegn som Bagtrop i hele Lejrtoget, Hærafdeling for Hærafdeling; deres Hær førtes af Ahiezer, Ammisjaddajs Søn.
Lile jeshi lililoweka kambi mahali pa bango la uzao wa Dani lilikuwa la mwisho kuondoka. Ahizeri mwana wa Amishadai ndiye aliyeongoza jeshi la Dani.
26 Aseriternes Stammes Hær førtes af Pagiel, Okrans Søn,
Pagieli mwana wa Okirani aliongoza jeshi la wana wa uzao wa Asheri.
27 og Naftalitemes Stammes Hær af Ahira, Enans Søn.
Ahira mwana wa Enani aliongoza jeshi la uzao wa kabila ya Naftali.
28 Således foregik Israelitternes Opbrud, Hærafdeling for Hærafdeling. Så brød de da op.
Hivi ndivyo majeshi ya wana wa Israeli yalivyosafiri.
29 Men Moses sagde til Midjaniten Hobab, Reuels Søn, Moses's Svigerfader: "Vi bryder nu op for at drage til det Sted, HERREN har lovet at give os; drag med os! Vi skal lønne dig godt, thi HERREN har stillet Israel gode Ting i Udsigt."
Musa alinena na Hobibu mwana wa Reueli wa Kabila la Midiani. Reueli alikuwa baba mke wa Musa. Musa akanena na Hobibu akasema, “Tunasafiri kuelekea mahali ambapo BWANA ametuahidi. BWANA alisema kuwa, “Nitawapeni ninyi hilo eneo, 'Njoni pamoja nasi na tutawatendea mema. BWANA ameahidi kuwafanyia mema Waisraeli.”
30 Men han svarede ham: "Jeg vil ikke drage med; nej, jeg drager til mit Land og min Slægt."
Lakini Hobibu akmwambia Musa, “Sitaambatana nanyi.”
31 Da sagde han: "Forlad os ikke! Du kender jo de Steder, hvor vi kan slå Lejr i Ørkenen; vær Øje for os!
Naye Musa akamjibu, “Tafadhali msituache. Mnajua jinsi ilivyo kuweka kambi jangwani. Tunaomba mtujali.
32 Drager du med os, skal vi give dig Del i alt det gode, HERREN vil give os."
Kama mtaambatana nasi tutawatendea mema sawa na jinsi BWANA anavyotutendea.”
33 Derpå brød de op fra HERRENs Bjerg og vandrede tre Dagsrejser frem, idet HERRENs Pagts Ark drog i Forvejen for at søge dem et Sted, hvor de kunde holde Hvil.
Walisafiri kutoka mlima wa BWANA kwa siku tatu. Sanduku la agano la BWANA liliwatangulia kwa siku tatu ili kupata mahali pa kupumzika.
34 Og HERRENs Sky svævede over dem om Dagen, når de brød op fra Lejren.
Wingu la BWANA lilikuwa juu yao muda wote wa mchana walipokuwa safarini.
35 Og hver Gang Arken brød op, sagde Moses: "Stå op, HERRE, at dine Fjender må splittes og dine Avindsmænd fly for dit Åsyn!"
Kila hilo sanduku liliposafiri kwenda mbele, Musa alisema, “Inuka BWANA, Uwatawanye maadui wako. Uwafanye wale wanaokuchukia kukukimbia.”
36 Og hver Gang den standsede, sagde han: "Vend tilbage, HERRE, til Israels Stammers Titusinder!"
Na kila lile sanduku liliposimama, Musa alisema, “BWANA uwarudie, hawa Waisraeli makumi elfu.”

< 4 Mosebog 10 >