< Dommer 21 >

1 Men Israels Mænd havde i Mizpa aflagt den Ed: "Ingen af os vil give en Benjaminit sin Datter til Ægte!"
Sasa watu wa Israeli walikuwa wameahidi huko Mispa, “Hakuna hata mmoja wetu atakayempa binti yake kuolewa na Mbenyamini.”
2 Da nu Folket var kommet til Betel, sad de der lige til Aften for Guds Åsyn og opløftede deres Røst, græd heftigt
Ndipo watu wakaenda Betheli, wakakaa huko mbele ya Mungu hata jioni; wakalia kwa sauti kubwa.
3 og sagde: "Hvorfor, HERRE, Israels Gud, er dog dette hændet i Israel, så at vi i Dag må savne en Stamme af Israel?"
Walipiga kelele, “Kwa nini, Bwana, Mungu wa Israeli, amefanya jambo hili kwa Waisraeli, kwamba moja ya makabila yetu linapotea leo?”
4 Tidligt næste Morgen byggede Folket et Alter der og ofrede Brændofre og Takofre.
Siku iliyofuata watu waliamka mapema na wakajenga madhabahu huko na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani.
5 Derpå sagde Israelitterne: "Hvem blandt alle Israels Stammer undlod at drage op med Forsamlingen til HERREN?" Der var nemlig svoret en dyr Ed på, at enhver, der undlod at drage op til HERREN i Mizpa, skulde dø.
Watu wa Israeli wakasema, “Ni nani kati ya kabila zote za Israeli hawakuja katika mkutano wa Bwana?” Kwa kuwa walikuwa wamefanya ahadi muhimu juu ya mtu yeyote ambaye hakuja kwa Bwana huko Mispa. Wakasema, “Hakika yeye atauawa.”
6 Men nu gjorde det Israelitterne ondt for deres Broder Benjamin, og de sagde: "I Dag er en Stamme hugget af Israel!
Watu wa Israeli walikuwa na huruma kwa ndugu yao Benyamini. Wakasema, “Leo hii kabila moja limekatiliwa mbali kutoka Israeli.
7 Hvad skal vi gøre for dem, der er tilbage, for at skaffe dem Hustruer, eftersom vi har svoret ved HERREN, at vi ikke vil give dem nogen af vore Døtre fil Ægte?"
Ni nani atakayewapa wale walioachwa wake, kwa kuwa tumeahidi kwa Bwana kwamba hatuwezi kuwaruhusu yeyote kati yao aoe binti zetu?”
8 Så spurgte de: "Er der måske en af Israels Stammer, der undlod at drage op til HERREN i Mizpa?" Og se, der var ingen kommet til Lejren, til Forsamlingen, fra Jabesj i Gilead.
Wakasema, “Ni nani kati ya kabila za Israeli hawakuja kwa Bwana huko Mispa? Ilionekana kuwa hakuna mtu aliyekuja kwenye mkusanyiko kutoka Jabeshi-Gileadi.
9 Så blev Folket mønstret, og se, der var ingen af Indbyggerne fra Jabesj i Gilead.
Kwa maana watu walipokuwa wamepangwa kwa utaratibu, tazama, hakuna hata mmoja wa wenyeji wa Yabeshi Gileadi.
10 Da sendte Menigheden 12000 Mand af de tapreste Folk derhen med den Befaling: "Drag hen og hug Indbyggerne i Jabesj i Gilead ned med Sværdet tillige med deres Kvinder og Børn.
Mkutano huo uliwatuma watu kumi na wawili wa watu wao wenye ujasiri kwa maagizo ya kwenda Jabeshi-gileadi na kuwaangamiza, na kuwaua, hata wanawake na watoto.
11 Således skal I bære eder ad: Alle af Mandkøn og alle Kvinder, der har haft Omgang med Mænd, skal I lægge Band på!"
“Fanya hivi unapaswa kuua kila mume na kila mwanamke aliyelala na mwanaume.”
12 De fandt så hos Indbyggerne i Jabesj i Gilead 400 unge Piger, der var Jomfruer og ikke havde haft Omgang med nogen Mand, og dem førte de til Lejren i Silo i Kana'ans Land.
Watu wale walikuta watu kati ya hao waliokaa Yabeshi-gileadi, wanawake mia nne ambao hawakulala na mwanaume, wakawapeleka kwenye kambi huko Shilo, huko Kanaani.
13 Derpå sendte hele Menigheden Sendebud hen for af underhandle med Benjaminiterne, der befandt sig på Rimmons Klippe, og tilbyde dem Fred.
Mkutano wote ukatuma ujumbe na kuwaambia watu wa Benyamini waliokuwa kwenye mwamba wa Rimoni kwamba walikuwa wanawapa amani.
14 På det Tidspunkt vendte Benjaminiterne så tilbage, og de gav dem de Kvinder fra Jabesj i Gilead, som man havde ladet i Live. Men de var ikke nok til dem.
Wabenyamini walirudi wakati huo na walipewa wanawake wa Yabeshi Gileadi, lakini hapakuwa na wanawake wa kutosha kwa wote.
15 Da gjorde det Folket ondt for Benjamin, fordi HERREN havde gjort et Skår i Israels Stammer.
Watu waliomboleza kwa kile kilichotokea Benyamini, kwa kuwa Bwana alifanya mgawanyiko kati ya makabila ya Israeli.
16 Og Menighedens Ældste sagde: "Hvad skal vi gøre for dem, der er tilbage, for at skaffe dem Hustruer, eftersom alle Kvinder i Benjamin er udryddet?"
Kisha wakuu wa mkutano wakasema, “Tutafanyaje ili Wabenyamini wapate wake, kwa kuwa wanawake wa Benyamini wameuawa?”
17 Og de sagde: "Hvorledes kan der reddes en Rest af Benjamin, så at ikke en Stamme i Israel går til Grunde?
Wakasema, 'Lazima kuwe na urithi kwa Wabenyamini waliosalia, ili kabila lisiharibiwe kutoka Israeli.
18 Vi kan jo ikke give dem nogen af vore Døtre til Ægte!" Israelitterne havde nemlig svoret og sagt: "Forbandet være den, som giver Benjaminiterne en Hustru!"
Hatuwezi kuwapa wake kutoka kwa binti zetu, kwa kuwa wana wa Israeli walikuwa wametoa ahadi, 'Na alaaniwe mtu atakayempa Benyamini mke.'”
19 Da sagde de: "Se, HERRENs Højtid fejres jo hvert År i Silo!" Det ligger norden for Betel, østen for Vejen, der fører op fra Betel til Sikem, og sønden for Lebona.
Wakasema, “Mnajua kuwa kuna sikukuu kwa Bwana kila mwaka huko Shilo ( ambayo ni kaskazini ya Betheli, mashariki ya barabara inayopanda kutoka Betheli hadi Shekemu, na kusini mwa Lebona).
20 Og de bød Benjaminiterne: "Gå hen og læg eder på Lur i Vingårdene!
Wakawaagiza wana wa Benyamini, wakisema, “Nendeni, mjifiche kwa siri, na kusubiri katika mashamba ya mizabibu.
21 Se så nøje til, og når de unge Kvinder fra Silo kommer ud for at opføre deres Danse, skal I komme frem af Vingårdene og røve hver sin Hustru af de unge Kvinder fra Silo og så drage hjem til Benjamins Land!
Tazama wakati ambapo wasichana kutoka Shilo watatoka kucheza, Tokeni nje ya mizabibu na kila mmoja wenu anapaswa kunyakua mke kutoka kwa wasichana wa Shilo, kisha kurudi kwenye nchi ya Benyamini.
22 Når så deres Fædre eller Brødre kommer for at gå i Rette med eder, skal I sige til dem: Skån os, thi vi fik os ikke alle en Hustru i Krigen! Det er jo ikke eder, der har givet os dem; i så Fald vilde I have forbrudt eder!"
Wakati baba zao au ndugu zao watakapokuja kutupinga, tutawaambia, 'Tupeni neema! Waache wabaki kwa sababu hatukupata wake kwa kila mtu wakati wa vita. Na ninyi hamna hatia juu ya ahadi, kwa sababu hamkuwapa wao binti zenu.'”
23 Det gjorde Benjaminiterne da, og de tog sig Hustruer af de dansende Kvinder, som de røvede, een til hver; derpå vendte de tilbage til deres Arvelod, opbyggede deres Byer og boede i dem.
Watu wa Benyamini walifanya hivyo. Walichukua idadi ya wake waliowahitaji kutoka kwa wasichana waliokuwa wakicheza, nao wakawachukua ili wawe wake zao. Wakaenda na kurudi mahali pa urithi wao; wakajenga tena miji, na wakaishi ndani yao.
24 Og samtidig drog Israelitterne derfra, hver til sin Stamme og Slægt, og de gik derfra hver til sin Arvelod,
Kisha watu wa Israeli wakatoka mahali hapo na kwenda nyumbani, kila mmoja kwa kabila lake na ukoo, na kila mmoja kwa urithi wake mwenyewe.
25 I de Dage var der ingen Konge i Israel; enhver gjorde, hvad han fandt for godt.
Siku hizo hapakuwa na mfalme huko Israeli. Kila mtu alifanya yaliyo sawa machoni pake mwenyewe.

< Dommer 21 >