< Josua 17 >

1 Og Loddet faldt for Manasses Stamme: thi han var Josefs førstefødte. Makir, Manasses førstefødte, Gileads Fader - han var nemlig Kriger - fik Gilead og Basan.
Na huu ndio mgao wa nchi kwa ajili ya kabila la Manase (aliyekuwa mzaliwa wa kwanza wa Yusufu), ambayo ilikuwa kwa ajili ya Makiri, mzaliwa wa kwanza wa Manase, ambaye alikuwa ni baba wa Gilieadi. Watoto wa Makiri walipewa nchi ya Gileadi na Bashani, kwasababu Makiri alikuwa ni mtu wa vita.
2 Og de øvrige Manassiter fik Land efter deres Slægter, Abiezers, Heleks, Asriels, Sjekems, Hefers og Sjemidas Sønner; det er Josef's Søn Manasses mandlige Efterkommere efter deres Slægter.
Nchi iliyobaki iligawiwa kwa kabila la Manase, walipewa kwa koo zao, ambazo ni Abi Ezeri, Heleki, Asrieli, Shekemu, Heferi, na Shemida. Hawa walikuwa ni watoto wa kiume wa Manase mwana wa Yusufu, waliwakilishwa na koo zao.
3 Men Zelofhad, en Søn af Hefer, en Søn af Gilead, en Søn af Makir, en Søn af Manasse, havde ingen Sønner, kun Døtre; og hans Døtre hed Mala, Noa, Hogla, Milka og Tirza.
Basi Zelofehadi mwana wa Heferi mwana wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase hakuwa na watoto wa kiume, bali alikuwa na watoto wa kike tu. Na majina ya binti zake yalikuwa Mahila, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.
4 De trådte frem for Præsten Eleazar og Josua, Nuns Søn, og Øversterne og sagde: "HERREN bød Moses give os Arvelod iblandt vore Brødre!" Da gav han dem efter HERRENs Bud en Arvelod iblandt deres Faders Brødre.
Walimwendea Eliazeri kuhani, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi na wakasema, “Yahweh alimwagiza Musa atupatie urithi wetu pamoja na kaka zetu.” Hivyo, kwa kuzingatia agizo la Yahweh, aliwapa wanawake hao urithi miongoni mwa ndugu za baba yao.
5 Således faldt ti Parter på Manasse foruden Landet Gilead og Basan hinsides Jordan.
Manase alipewa sehemu kumi za nchi katika Gileadi na Bashani, ambayo iko upande mwingine wa Yordani,
6 Thi Manasses døtre fik Arvelod blandt hans Sønner. Men Landet Gilead tilfaldt Manasses øvrige Efterkommere.
kwasababu ya binti za Manase walipokea urithi pamona na watoto wake wa kiume. Nchi ya Gileadi iligawanywa kwa kabila la Manase lililosalia.
7 Og Manasses Grænse går fra Aser til Mikmetat, som ligger østen for Sikem; derpå går Grænsen mod Syd til Befolkningen i En-Tappua.
Eneo la Manase lilianzia Asheri hadi Mikimethathi, ambayo iko mashariki mwa Shekemu. Kisha mpaka ulienda upande wa kusini kwa wale walioishi karibu na chemichemi ya Tapua.
8 Manasse fik Landskabet Tappua; men Byen Tappua ved Manasses Grænse tilfaldt Efraimiterne.
( Nchi ya Tapua ilikuwa ni miliki ya Manase, lakini mji wa Tapua katika mpaka wa Manase ilikuwa ni mali ya kabila la Efraimu.)
9 Derpå strækker Grænsen sig ned til Kanabækken, sønden om Bækken; Byerne der tilfaldt Efraim, midt iblandt Manasses Byer; Manasses Landområde ligger norden for Bækken. Grænsen ender derpå ved Havet.
Kisha mpaka ulishuka kuelekea kijito cha Kana. Miji hii kusini mwa kijito miongoni mwa miji ya Manase ilikuwa ni mali ya Efraimu. Mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa kijito, na ulikomea katika
10 Sydsiden tilhører Efraim og Nordsiden Manasse. Havet danner Grænse; mod Nord støder de op til Aser, mod Øst til Issakar.
bahari. Na nchi iliyokuwa upande wa kusini ilikuwa ni ya Efraimu, na nchi iliyo upande wa Kasikazini ilikuwa ni ya Manase; bahari ilikuwa ndoi mpaka. Kwa upande wa kaskazini ulifika hata Asheri, na upande wa mashariki, Isakari.
11 I Issakar og Aser tilfaldt følgende Byer Manasse: Bet-Sjean med Småbyer, Jibleam med Småbyer, Befolkningen i Dor med Småbyer, Befolkningen i En-Dor med Småbyer, Befolkningen i Ta'anak med Småbyer og Befolkningen i Megiddo med Småbyer, de tre Højdedrag.
Pia katika Isakari na katika Asheri, Manase alimiliki Bethi Shani na vijiji vyake, Ibleamu na vijiji vyake, wenyeji wa Dori na vijiji vyake, wenyeji wa Endori na vijiji vyake, wenyeji wa Taanaki na vijiji vyake, na wenyeji wa Megido na vijiji vyake (na mji wa tatu ni Nafethi).
12 Men Manassiterne kunde ikke drive disse Byers Indbyggere bort, det lykkedes Kana'anæerne at holde sig i disse Egne.
Lakini kabila la Manase halikuweza kuimiliki miji hiyo, kwa kuwa Wakanaani waliendelea kuishi katika nchi hii.
13 Da Israeliterne blev de stærkeste, gjorde de Kana'anæerne til Hoveriarbejdere, men drev dem ikke bort.
Hata wakati watu wa Israeli walipopata nguvu zaidi, hawakuwafukuzia mbali kabisa Wakanaani, bali waliwafanya kuwa watumwa.
14 Da talte Josefs Sønner til Josua og sagde: "Hvorfor har du kun givet mig een Lod og een Part til Arvelod, skønt jeg er et talrigt Folk, eftersom HERREN hidtil har velsignet mig?"
Kisha wazawa wa Yusufu wakamwambia Yoshua, wakisema, “Kwanini umetupa mgao mmoja wa nchi na sehemu moja kwa ajili ya urithi, kwa kuwa tuko wengi, na kwa muda wote Yahweh umetubaliriki?
15 Josua svarede dem: "Når du er et talrigt Folk, så drag op i Skovlandet og ryd dig Jord der i Perizziternes og Refaiternes Land, siden Efraims Bjergland er dig for trangt!"
Yoshua akawaambia, “Kama ninyi ni watu wengi katika hesabu, pandeni ninyi wenyewe katika msitu na kuisafisha nchi kwa ajili yenu wenyewe katika nchi ya Waperizi na ya Refaimu. Fanyeni hivi kwa kuwa nchi ya milima ya Efraimu ni ndogo kwenu.”
16 "Da sagde Josefs Sønner: "Bjerglandet er os ikke nok, og alle Kana'anærerne, som bor på Slettelandet, både de i Bet-Sjean med Småbyer og de på Jizre'elsletten, har jernbeslagne Vogne!"
Wazawa wa Yusufu wakasema, “Nchi ya milima haitutoshi. Lakini Wakanaani wote wanaoishi katika bonde wana magari ya chuma, wote walio katikaBethi Shani na vijiji vyake, na wale walio katika bonde la Yezreeli.”
17 Da sagde Josua til Josefs Slægt, til Efraim og Manasse: "Du er et talrigt Folk og har stor Kraft; du skal ikke komme til at nøjes med een Lod,
Kisha Yoshua akawaambi nyumba ya Yusufu, ambao ni Efraimu na Manase, “Ninyi ni watu mlio wengi katika hesabu, na mna nguvu kubwa. Hamtakiwi kuwa na sehemu moja ya nchi mliogawiwa.
18 men et Bjergland skal tilfalde dig, thi det er skovbevokset. og når du rydder det, skal det tilfalde dig med Udløberne derfra; thi du skal drive Kana'anæerne bort, selv om de har jernbeslagne Vogne; du er nemlig stærkere end de."
Nchi ya milima itakuwa yenu pia. Ingawa ni msitu, mtaufyeka na kuimiliki hata mipaka yake ya mbali. Mtawafukuzia mbali Wakanaani, ingawa wanayo magari ya chuma na ingawa pia wanazo nguvu.”

< Josua 17 >