< Job 21 >

1 Så tog Job til Orde og svarede:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 "Hør dog, hør mine Ord, lad det være Trøsten, I giver!
“Sikilizeni hotuba yangu kwa makini, hii na iwe faraja yenu.
3 Find jer nu i, at jeg taler, siden kan I jo håne!
Nimeteswa, lakini pia nitasema; nikisha kusema, endeleeni kudhihaki.
4 Gælder min Klage Mennesker? Hvi skulde jeg ej være utålmodig?
Lakini kwangu mimi, malalamikio yangu ni kwa mtu? Kwa nini nisiwe mwenye subira?
5 Vend jer til mig og stivn af Rædsel, læg Hånd på Mund!
Nitazameni na mshangae, nanyi wekeni mkono wenu midomoni mwenu.
6 Jeg gruer, når jeg tænker derpå, mit Legeme gribes af Skælven:
Ninapoyafikiria mateso yangu, ninaumizwa, mwili wangu unaogopa.
7 De gudløse, hvorfor lever de, bliver gamle, ja vokser i Kraft?
Kwa nini waovu wanaendelea kuishi, wanazeeka, na kuwa na uwezo katika madaraka?
8 Deres Æt har de blivende hos sig, deres Afkom for deres Øjne;
Wazao wao wanathibitishwa mbele zao, na uzao wao unaimarika machoni pao.
9 deres Huse er sikre mod Rædsler, Guds Svøbe rammer dem ikke;
Nyumba zao ziko salama mbali na hofu; wala fimbo ya Mungu haiko juu yao.
10 ej springer deres Tyr forgæves, Koen kælver, den kaster ikke;
Dume lao la ng'ombe linazalisha; halishindwi kufanya hivyo; ng'ombe wao anazaa na hafishi ndama wake akiwa mchanga.
11 de slipper deres Drenge ud som Får, deres Børneflok boltrer sig ret;
Wanawapeleka wadogo wao kama kundi la kondoo, na watoto wao hucheza.
12 de synger til Pauke og Citer, er glade til Fløjtens Toner;
Wanaimba kwa tari na vinubi na hufurahi kwa muziki na zomari.
13 de lever deres Dage i Lykke og synker med Fred i Dødsriget, (Sheol h7585)
Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol h7585)
14 skønt de siger til Gud: "Gå fra os, at kende dine Veje er ikke vor Lyst!
Wanamwambia Mungu, 'Ondoka kwetu kwani hatutaki ufahamu wowote juu ya njia zako.
15 Den Almægtige? Hvad han? Skal vi tjene ham? Hvad Gavn at banke på hos ham?"
Mwenye enzi ni nani, hata tumwabudu? Tutafaidika na nini tukimwabudu? Tutapata faida gani ikiwa tutamwomba?
16 Er ej deres Lykke i deres Hånd og gudløses Råd ham fjernt?
Tazama, je mafanikio yao hayamo katika mikono yao wenyewe? Sina cha kufanya na ushauri wa waovu.
17 Når går de gudløses Lampe ud og når kommer Ulykken over dem? Når deler han Loddet ud i sin Vrede,
Mara ngapi taa za waovu huzimwa, au kwamba majanga huja juu yao? Mara ngapi inatokea kwamba Mungu husambaza huzuni kwao kwa hasira?
18 så de bliver som Strå for Vinden, som Avner, Storm fører bort?
Ni mara ngapi inatokea kwamba wanakuwa kama mabua mbele ya upepo au kama makapi yanayopeperushwa na dhoruba?
19 Gemmer Gud hans Ulykkeslod til hans Børn? Ham selv gengælde han, så han mærker det,
Mnasema, 'Mungu huweka hatia ya mtu kwa watoto wake kuilipa.' Na alipe yeye mwenyewe, ili kwamba aweze kujua hatia yake mwenyewe.
20 lad ham selv få sit Vanheld at se, den Almægtiges Vrede at drikke!
Acha macho yake yaone uangamivu wake mwenyewe, na acha anywe gadhabu ya Mwenyezi.
21 Thi hvad bryder han sig siden om sit Hus, når hans Måneders Tal er udrundet?
Kwani anaangaliaje familia yake mbele yake idadi ya miezi yake inapokwisha.
22 Kan man vel tage Gud i Skole, ham, som dømmer de højeste Væsner?
Je kuna mtu anaweza kumfundisha Mungu maarifa kwa kuwa yeye huwaukumu hata walio juu?
23 En dør jo på Lykkens Tinde, helt tryg og så helt uden Sorger:
Mtu mmoja ufa katika nguvu zake kamili, akiwa na utulivu kabisa na kwa amani.
24 hans Spande er fulde af Mælk, hans Knogler af saftig Marv;
Mwili wake hauna uhitaji, na kiini cha mifupa yake ina unyevu na afya njema.
25 med bitter Sjæl dør en anden og har aldrig nydt nogen Lykke;
Mtu mwingine ufa kwa uchungu wa nafsi, bila kujifurahisha kwa jambo lolote jema.
26 de lægger sig begge i Jorden, og begge dækkes af Orme!
Wanazikwa kaburini wote kwa pamoja, funza wanawafunika wote.
27 Se, jeg kender så vel eders Tanker og de Rænker, I spinder imod mig,
Tazama, nayajua mawazo yenu, na jinsi mnavyotaka kunikosesha.
28 når I siger: "Hvor er Stormandens Hus og det Telt, hvor de gudløse bor?"
Kwa kuwa mwasema, 'Iko wapi sasa nyumba ya mwana wa mfalme? Liko wapi kao alipokaa mwovu?'
29 Har I aldrig spurgt de berejste og godkendt deres Beviser:
Je hamjawauliza wasafiri? Hamfahamu wanavyoweza kusema,
30 Den onde skånes på Ulykkens Dag og frelses på Vredens Dag.
kwamba mwovu anaepushwa na siku ya shida, na kwamba anawekwa mbali na siku ya gadhabu?
31 Hvem foreholder ham vel hans Færd, gengælder ham, hvad han gør?
Ni nani atakaye ituhumu siku ya mwovu mbele yake? Ni nani atakayemwadhibu kwa alichokifanya?
32 Til Graven bæres han hen, ved hans Gravhøj holdes der Vagt;
Hata hivyo atapelekwa kaburini; watu wataliona kaburi lake.
33 i Dalbunden hviler han sødt, Alverden følger så efter, en Flok uden Tal gik forud for ham.
Udongo wa bondeni utakuwa mtamu kwake; watu wote watamfuata, hata kuwe na watu wengi mbele yake.
34 Hvor tom er den Trøst, som I giver! Eders Svar - kun Svig er tilbage!
Ni jinsi gani basi mtanifariji bila kufikiri, kwa kuwa majibu yenu hayana lolote ila uongo?”

< Job 21 >