< Jeremias 45 >

1 Det ord som profeten Jeremias talte til Baruk, Nerijas søn, da han optegnede alle disse ord i en Bog efter Jeremiass Mund i Josiass Søns, Kong Jojakim af Judas, fjerde Regeringsår:
Hili ndilo nabii Yeremia alilomwambia Baruku mwana wa Neria katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, baada ya Baruku kuandika katika kitabu maneno ambayo yalitoka kinywani mwa Yeremia wakati ule:
2 Så siger HERREN, Israels Gud, om dig, Baruk:
“Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku:
3 Fordi Baruk siger: Ve mig, thi Kummer har HERREN føjet til min Smerte, jeg er træt af at sukke og finder ej Hvile!
Ulisema, ‘Ole wangu! Bwana ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu, nimechoka kwa kulia kwa uchungu wala sipati pumziko.’”
4 skal du sige til ham: Så siger HERREN: Se, hvad jeg har bygget, nedbryder jeg; hvad jeg har plantet, rykker jeg op; det gælder al Jorden
Bwana akasema, “Mwambie hivi: ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Nitakibomoa kile nilichokijenga, na kungʼoa kile nilichokipanda katika nchi yote.
5 og du søger store Ting for dig selv! Gør det ikke! Thi se, jeg sender Ulykke over alt Kød, lyder det fra HERREN. Men dig giver jeg dit Liv som Bytte, alle Vegne hvor du kommer.
Je, utajitafutia mambo makubwa kwa ajili yako mwenyewe? Usiyatafute hayo. Kwa kuwa nitaleta maangamizi juu ya watu wote, asema Bwana, lakini popote utakapokwenda, nitayaokoa maisha yako.’”

< Jeremias 45 >